Uchaguzi 2020 US Senate on Tanzania: We are concerned by Magufuli’s use of increasingly repressive measures against opposition, CSOs and the Press

Uchaguzi 2020 US Senate on Tanzania: We are concerned by Magufuli’s use of increasingly repressive measures against opposition, CSOs and the Press

They have no moral authority on this matter!! What have they done to Saud Arabia, to their own people especially Latinos, Asians and African Americans!! Abusive of human rights of these groups of American citizens in most cases is part and parcels to them!

I urge Mr. Medenzes to restrain from actions, which do not serve the credibility of US to be a country leading some global matters by example!!
Tunachotaka watukomboe sisi Watanzania hayo mengine watajijua wao
 
Sijui anachokifanya bwana Trump katika nchi yao hawakioni.

Unapambana kutoa taka kwa Jirani wakati Nyumba yako inateketea kwa moto!

.....China.
Trump na Magufuli kitabia hawatofautiani sana. Sema tu kuwa US wanazo mechanisms za kuwadhibiti viongozi wendawazimu.
 
Mkiiba kura safari hii hakita eleweka!Naona mnalazimisha machafuko kwa nguvu!
Hakitaeleweka kwenye mitandao naona mmeandaa povu la kufulia nguo za nchi nzima.....mikwara yenu kawapigeni wapumbavu wenzenu tulieni mpapaswe mrudi na mapovu
 
Hakitaeleweka kwenye mitandao naona mmeandaa povu la kufulia nguo za nchi nzima.....mikwara yenu kawapigeni wapumbavu wenzenu tulieni mpapaswe mrudi na mapovu
Endeleeni kuishi kwa mazoea na muharibu amani ya nchi hii kwa uchu wenu wa madaraka!Mtakuja kushtuka mambo tameharibika!
Uchaguzi huru na haki ndio jambo la kukumbushana hapa!
Tanzania sio kisiwa!
 
Endeleeni kuishi kwa mazoea na muharibu amani ya nchi hii kwa uchu wenu wa madaraka!Mtakuja kushtuka mambo tameharibika!
Uchaguzi huru na haki ndio jambo la kukumbushana hapa!
Tanzania sio kisiwa!
Tanzania sio ubeligiji
 
Hawa wamarekani hela zao tunazitaka lakini hayo mambo yao ya kuingilia uchaguzi wetu hatuyataki, wakiendeleza ubishi tutaigeuza New York iwe vumbi ndani ya dakika sifuri
Wao ndo uingia gharama kubwa Sana za kuhudumia wakimbizi pindi kikinuka thus Wana haki ya kuingilia
 
Hizi nyakati nyingine, wangepelekwa ICC kina kagame, museveni. Hila hayo mataifa yanalinda maslahi yao tuu hawana mpango na demokrasia yetu, na hata hiyo ICC inawalinda wao pia ndio maana mataifa mengine yamejitoa, USA haziwezi kuharibu uhusiano na Tanzania, halafu hiyo nafasi itumiwe na china.
Usa haina shida na tz Ina shida na jiwe
 
Usa haina shida na tz Ina shida na jiwe
Jiwe ndio rais wa tz, kumtoa jiwe ni kuitoa CCM madarakani. Jea marekani ataitoa CCM madarakani kwa nguvu inawezekana, hila haitokua rahisi kiasi hicho CCM nayo ina washirika wake ambao huusiano mbaya wa TZ na westerners kwao ni advantage kubwa, coz na wao wanaitaka TZ kwa nguvu zote, umeona hata matamko ya CHINA, na hapo ndipo jeuri ya CCM na Jiwe inapokuja.
 
Back
Top Bottom