Uchaguzi 2020 US Senate on Tanzania: We are concerned by Magufuli’s use of increasingly repressive measures against opposition, CSOs and the Press

Uchaguzi 2020 US Senate on Tanzania: We are concerned by Magufuli’s use of increasingly repressive measures against opposition, CSOs and the Press

Mahera kashaufyata yale matamko ya kuropoka ropoka kaacha. Bado anamtumikia bwana wake kwa vitendo
US anawapa joto CCM hawajawah ona tangu nyakati za nyerere;na Hii next week haiwaachi CCM salama,balozi wa marekani Yupo consistent na anachokisema tokea mwanzo na habadilishi maneno-Akimaanisha Yupo serious kwa vitendo;tokea amekuja august baada ya senators Kuihimiza serikali yao imlete balozi wa kudumu tanzania kushughulikia uvunjwaji wa demokrasia hapo ndipo nilianza kuusoma mchezo kwamba US government mean business this time na ndo tunashuhudia.
 
Acha arguments za kijinga. Wapi nimesema hivyo? Kutaka haki itendeke Tanzania haina uhusiano wowote na Marekani. Vitabu vya dini vinapoongelea haki huwa vinaihusisha na Maremani. Acha upumbvu.
Hujui hata usimamie nini, unarukaruka na jazba nyingi, haki itatendeka Tanzania na itasimamiwa na watanzania, siku zote ndivyo ilivyo na hata uchaguzi huu ndio itakavyokuwa.
 
US won't do anything about Tanzania's democratic choices. They just want to put their puppet the way they had done in Iraq after toppling Saddam Hussein.
Wait and see!! USA really means business this year. They ain’t playing with fools
 
Tamko hili nimelisoma lote hadi mwisho jamani tumuombee sana rais wetu mungu ampe maarifa na hekima amalize huu uchaguzi salama,ukiona wenye Dunia yao wanakuandamana,inatakiwauchutame, tumia akili yako ya ziada uone namna ya kuepukana nao,hili tamko sio zuri kabisaaaaaa,kwa mtu anayeelewa siasa za dunia hii atakuwa amenielewa!
 
Naomba kuuliza hiyo barua ina-impact gani endapo ccm watapuuza?
Utaekewa vikwazo hakuna kuuza wala kununua nje no,ARVs ,no mafuta,korosho zenu mtaishia kutafuna wenyewe,njaa,magonjwa,vifo kuongezeka kwa jiwe and company no problem chuki dhidi ya serikali itazidi sababu ya dhiki
 
Ohooo;kaa kizembe kama hujatawaliwa hadi na mkeo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23] hapana mkuu tutajitahidi hayo yasitukute, ndio hapa tunapambana na agents wa neo-colonialism.
 
Tamko hili nimelisoma lote hadi mwisho jamani tumuombee sana rais wetu mungu ampe maarifa na hekima amalize huu uchaguzi salama,ukiona wenye Dunia yao wanakuandamana,chutama tumia akili ya ziada uone namna ya kuepukana nao,hili tamko sio zuri kabisaaaaaa,kwa mtu anayeelewa siasa za dunia hii atakuwa amenielewa!
Na Kikwete na Mkapa walishayaona mapema-hv vitu vinahitaji busara na hekima na siyo itikad au kushindana,kikubwa waite wenzako muyajenge kama alivyofanya Uhuru Kenyatta,washauri wanamdanganya Rais Ila kiukweli Tanzania haiwez survive hata miwezi 2 jamaa wakitupiga pini na jinsi tena nchi Jiran hatuna mahusiano mazuri ndo balaa
 
Watanzania tusiruhusu dikteta mmoja toka kijijini aliingize Taifa kwenye msuguano na jumuiya ya kimataifa. Tusimame kidete, kama ambavyo tumedhamiria kumuondoa katika uchaguzi huu....na jumuiya ya kimataifa imeshathibitisha kwamba iko pamoja na wananchi. Huu ndio mwisho wake.
 
Na Kikwete na Mkapa walishayaona mapema-hv vitu vinahitaji busara na hekima na siyo itikad au kushindana,kikubwa waite wenzako muyajenge kama alivyofanya Uhuru Kenyatta,washauri wanamdanganya Rais Ila kiukweli Tanzania haiwez survive hata miwezi 2 jamaa wakitupiga pini na jinsi tena nchi Jiran hatuna mahusiano mazuri ndo balaa
Kwa mara ya kwanza tamko hili limemtaja moja kwa moja stone yaaani kifupi US haimtaki,na jumuia zingine za kitaifa hazimtaki,
Nchi ikishakuwa na kiongozi ambaye hakubariki kimataifa mmekwishaa
 
Watanzania tusiruhusu dikteta mmoja toka kijijini aliingize Taifa kwenye msuguano na jumuiya ya kimataifa. Tusimame kidete, kama ambavyo tumedhamiria kumuondoa katika uchaguzi huu....na jumuiya ya kimataifa imeshathibitisha kwamba iko pamoja na wananchi. Huu ndio mwisho wake.
Kweli kabisa yaaani tutakuja kuumia wote,inakuwaje mtu mmoja analiangamiza taifa ilihali uwezo wa kumuondoa upo??
 
Kweli kabisa yaaani tutakuja kuumia wote,inakuwaje mtu mmoja analiangamiza taifa ilihali uwezo wa kumuondoa upo??
Wajinga wa Lumumba wanachekelea wakidhani hizo sanctions ni dhidi ya Magufuli....hawajui kama bibi na mama zao vijijini wataathirika kwa kukosa madawa ba mipira ya kujifungulia....hiyo yote wanatetea maslahi ya kijinga ya mtu mmoja anaewalaghai kaja kuwaletea maendeleo
 
Bashiru,Polepole ,Musiba, Kheri wametuletea Siasa mbaya sana Tanzania. Tumekosa mahusiano mazuri na Nchi zilizokuwa zinatuletea wataliii wengi, misaada mingi ambayo ilikua ni fedha toka nje japo hao hao CCM walikua wanagawana na Leo wamekua mabilionea kupitia fedha walizokula toka nje wanawaita Mabeberu.

Polepole, alitajirika na kujulikana kupitia fedha za katiba mpya zilizotoka kwa hao hao Mabeberu Leo anahamasisha siasa za Chuki na kuuana na kusababisha Rais wetu anapata wakati mgumu kwenye siasa za ndani na nje.

Hivi palikua na Ugumu gani kujenga Fly over bila kuwateka watu au kuzuia mikutano mpaka ya ndani ya siasa au kuzuia Haki za binadamu. Hivi ni dhambi kumpa binadamu haki yake ya kuongea au kulalamika?

Eti wachaMungu labda mungu wa Diamond na wasanii wengine. mungu wa madansi ya kutikisa viuno kuashiria ngono ni Lusifer.
Kuna watu wamemchafulia sana Rais Wetu kwa muda wote ,wameijaza nchi yetu kashifa ya umwagaji wa damu na kuwaacha watu wengi wakiwa mayatima huku wao wakila na kunywa na kusaza kupitia dhulma zao.
 
Asanteeeeee sana Marekani. Kawachezea sana sharubu huyu mtu , sasa muonesheni kweli nyie ni nani!!!

We support your actions towards Magufuli and his regime
Ni kweli kabisa , Wasiache mpaka majanga yatokee.
Lisu ni Mpango wa Mungu .
Uchaguzi wa mwaka huu akina Kheri na Musiba wangepiga watu risasi hadharani tena kwenye mikutano ya hashara na hakuna mtu angewauliza wala kuwakataza. Mauaji yangekua mengi sana kwa wapinzani na CCM isingefanya kampeni zaidi ya kuwamaliza wapinzani wote kuanzia madiwani ,wabunge n.k. Urais usingewapa shida mana akina Lipumba na Membe ni wenzao na wangeishiwa pumzi mapema.

Lisu ameokoa sana Watanzania kwa maelfu ambao wangekua wanapotezwa na kumalizwa kwa falsafa za Musiba.
 
Jiwe dunia nzima haikutaki wewe ondoka to kwa amsni usiwasikilize vibaraka wako kina Chakubanga Polepole wanakudanganya haya ma warska you're yanakulenga wewe binafsi elewa hivyo na huna ubavu wa kupambana na mabeberu sepa mapema hutaki subiri yakukute ya Bokhali , utayakumbuka madnfishi haya wewe Jiwe na puppets wako.
 
Mna waste time tuu na haya matamko, hayana maana yoyote, ccm itashinda na magufuli ndio rais wa awamu ijayo.
Kushinda sio tatizo mana hata akishinda anayefaidika wa kwanza ni watu wa familia yake.

Asitumie Ikulu kama Mali yake na familia yake. Asitendee wengine yale ambayo hata yeye hataki kutendewa.
Asitendee vyama vingine mambo ambayo hata yeye mwenyewe asingependa Chama chake kitendewe

Asitumie mamlaka yake kuwaumiza watu wengine.
Pesa za kununua ndege na kuwanunua wapinzani sio Mali yake ni Mali ya wote wanaolipa Kodi. Tena yeye ndio ameondolewa nafasi ya kulipa kodi.
Wananchi wanapokupa madaraka yenye ulaji mkubwa kama urais ni vyema ukawa mtu wa haki ili kila mtu ajitathimini mwenyewe kama anasimamia haki au anavunja haki na kuumiza wengine.

Tangu mfumo wa vyama vingi uanze mpaka leo Wakurugenzi wameumiza sana watu kwa kuvunja sheria waliyoapa kuisimamia . Hawa walipaswa wakemewe na nani kama sio aliyewateua?? Au hao nao wasubiri Marekani iseme!
Hivi uhuni wanaofanya wasimamizi wa uchaguzi hapati taarifa zake kupitia vyombo vyake vya itelijensia au ni jeuri tu na kupuuza maisha ,amani,uhai,furaha na Uhuru wa wanadamu wenzake ambao baada ya miaka hata kama ni mia lakini wote wataiacha Dunia na vitu vyote.
 
Back
Top Bottom