Uchaguzi 2020 US Senate on Tanzania: We are concerned by Magufuli’s use of increasingly repressive measures against opposition, CSOs and the Press

Uchaguzi 2020 US Senate on Tanzania: We are concerned by Magufuli’s use of increasingly repressive measures against opposition, CSOs and the Press

US won't do anything about Tanzania's democratic choices. They just want to put their puppet the way they had done in Iraq after toppling Saddam Hussein.
 
Wanasapoti watanzania wepi kama sio Njaa zao tu nakujipendekeza, wawasapoti wamarekani zidi ya Koona, tanzania watuachie
 
Akili yako mbovu. Umeambiwa kuna mtu anamshabikia mtu hapa? Watanzania sisi wenyewe tunataka kura zetu ziheshimiwe. Hakuna ushabiki wala mama yake ushabiki.
Hao unaowashabikia jua kwamba hawana urafiki, washafanya hayo mambo sehemu nyingi kama unadhani US wana mapenzi sana na wewe unajidanganya.
 
Akili yako mbovu. Umeambiwa kuna mtu anamshabikia mtu hapa? Watanzania sisi wenyewe tunataka kura zetu ziheshimiwe. Hakuna ushabiki wala mama yake ushabiki.
Hacha jazba, tulia, taratibu, kura za US ulishwahi kwenda kuzishuhudia ukajua kama zinaheshimiwa au vp?
 
Wakati twasaidia Namibia, Msumbiji, Zimbabwe,Afrikakusini na nchi zingine kusini mwa Africa ni kwamba sie tulikuwa shwari sana?It's only nature.
Sijui anachokifanya bwana Trump katika nchi yao hawakioni.
Unapambana kutoa taka kwa Jirani wakati Nyumba yako inateketea kwa moto!


.....China.
 
Mabeberu hawana maana zaidi ya kutamani rasilimali zetu.
Raslimali zako ni zipi hizo??!

Wananchi wanataka kura zao ziheshimike, pombe au yeyote akichaguliwa kihalali na wengi, safi tu.

Hizi figisu za ccm za wizi, udanganyifu na utapeli kwny uchaguzi zitafanya wananchi walio wengi waunge mkono wageni ili kumng'oa mkoloni mweusi
 
Mimi ni Mtanzania naongelea kura za Tanzania yangu. Wewe kama ni Mmarekani nenda kaangalie hizo za Marekani. Mbona mashabiki wa CCM mna arguments za kijinga hivi. CCM inafaidika na ujinga. Sasa kama uchaguzi wa US una matatizo wewe unataka wa Tanzania nao uwe hivyo. Kweli hapo ndipo akili yako inapoishia? Argument ya kipumbvu.
Hacha jazba, tulia, taratibu, kura za US ulishwahi kwenda kuzishuhudia ukajua kama zinaheshimiwa au vp?
 
Hii inaitwa "MAMA MKANYE MWANAO".

Ila wamesahau kumkanya jamaa kuacha "UONGO" mara moja. Miradi ya msaada aache kusema kajenga yeye.
 
Mimi ni Mtanzania naongelea kura za Tanzania yangu. Wewe kama ni Mmarekani nenda kaangalie hizo za Marekani. Mbona mashabiki wa CCM mna arguments za kijinga hivi. CCM inafaidika na ujinga. Sasa kama uchaguzi wa US una matatizo wewe unataka wa Tanzania nao uwe hivyo. Kweli hapo ndipo akili yako inapoishia? Argument ya kipumbvu.
Sasa kama we mtanzania kwann unahitaji mmarekani akuangalizie uchaguzi wako, kwann usisimamie uchaguzi wako mwenyewe? Na sasa upo hapa unashabikia nini?
 
Hahaaa makubwa.
Matamko yao wapeleke huko na Magu anashinda 12 asubuhi wata do?
Au wanafikiri yao hatuyaoni kweeeeenda kabisa,TZ ni nchi huru kama wao,tusipangiane.
 
Back
Top Bottom