Uchaguzi 2020 US Senate on Tanzania: We are concerned by Magufuli’s use of increasingly repressive measures against opposition, CSOs and the Press

Huyo senator huwa anachuki binafsi nadhani maana haachi kuleta pua yake hapa kila mara.

Hatuhitaji chochote toka kwake aendelee na mambo ya kwao marekani ya kwetu atuache nayo.
 
Anatolewa kwa demokrasia na nguvu ya umma next week. Kanuni ya kuongoza nchi yeyeto duniani ni mbili. Ambazo jiwe amezikiuka lzm ang'oke
1.usisomeshe namba watu wako
2.usigombane na wakubwa wa dunia.

Ukisomesha watu namba wataungana na adui zako kukuondoa madarakani.
China ndie mnufaika na mfadhili mkuu wa madikteta yote duniani china hakuna haki za binadamu wao pesa kwanza utu baadae. China ni rafiki wa kwel wa raslimali zetu.

Jiwe hauziki si magaribi Wala mashariki, ni blind kuhusu modern world
 
Huyo senator huwa anachuki binafsi nadhani maana haachi kuleta pua yake hapa kila mara.

Hatuhitaji chochote toka kwake aendelee na mambo ya kwao marekani ya kwetu atuache nayo.
Mabalozi hawawezi kaa nchi zenye watu wahuni huni tu.Kumbuka sisi sio kisiwa ni sehemu ya dunia.
Bila Hawa weupe nakuhakikishia watawala sampuli ya jiwe wangetugeuza mishikaki usiku na mchana furaha yao ni kuona machozi ya watu,vilio vya watu kwao ni music hofu ya kukosa misaada na kupelekwa the Hague ndio uwapunguza speed ya kumaliza watu
 
Kwa nini tunaweweseka tukisikia
Free and fair election?
Why are guys hate this statement
 
must you expose your stupidity?
 
must you expose your stupidity?
This quote is a very good example indicating someone who can not control him/herself even if he/she is absolutely unable to create a simple and effective argument for the public consumption!!!
 
Wait and see!! USA really means business this year. They ain’t playing with fools

Tuongee baada ya 28 October. US kamwe hawawezi kuwa wakombozi wako. Tutajikomboa wenyewe. Mnaofikiri ukombozi wa kweli utaletwa na ndege ya kukodi, mnajihangaisha
 
Tuongee baada ya 28 October. US kamwe hawawezi kuwa wakombozi wako. Tutajikomboa wenyewe. Mnaofikiri ukombozi wa kweli utaletwa na ndege ya kukodi, mnajihangaisha
USA 🇺🇸 wanajua nchi hii inamadini na gesi nyingi sana...... Sasa sisi Tunawaomba kama vile Libya walivyowaomba...
Tafadhali leteni silaha mchukue madini na gesi yote sisi tutafutane na tuonyeshane Kazi Ndio heshima itarudi
Tumechoka kunyanyaswa ndani ya nchi yetu
Huyu bwana alikua waziri Libya Sasa ni mjasiria Mali kule misri.. Anapiga Kazi tu
Wazee wa Mavi 8 watakua waosha magari
 

Attachments

  • IMG_20201025_085656.jpg
    129.9 KB · Views: 1
Magu apingwe kwa ukatili wake na ufisadi mkubwa tangu 2015.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…