Ili tueleweSawa,
Lakini kulikuwa na ulazima gani wa kuitaja Tanzania specifically?
Sawa,
Lakini kulikuwa na ulazima gani wa kuitaja Tanzania specifically?
US ni ma mbwa tu hiyo misaada si wapeleke Somalia au Kenya kwenye njaaUS to Reduce 40% of its aids to countries which did not vote against Russia in UN council , Tanzania inclusive
And those who supported aids will be reduced to 100%....
DuMaushungi bado anasikilizia swaumu
walikuwa kimya kina nani?na wakati wao ndio waliokuwa wanaua nani angewapigia kelele?wakati wao ndio wapiga kelele.Wewe unafkr Kwa nn huko walikuwa kimya ? Hakuna mchongo wa maana , Ukraine kuna mtu walikuwa wanamtegea tego , hakuna rangi utaacha kuona mpak wamnase Kwa Gharama iwayo yote ile
Ukikua utaelewa misaada yao ina msaada gani kwetuHatutaki misaada yao, hawawezi kutupangia cha kufanya kisa misaada
Reporter ni mtanzania halisi.Sawa,
Lakini kulikuwa na ulazima gani wa kuitaja Tanzania specifically?
Poa tu. Wameuwa waasisi wa ukombozi afrika tupo kimya. Wamevamia libya kwa mabavu kimya. Wamevamia iraq. Tupo kimya. Wamevamia vietnam. Kimya. Ghafla mwenzao kapewa kibano basi mkuki kwa nguruweβ¦..waende zao huko!US to Reduce 40% of its aids to countries which did not vote against Russia in UN council , Tanzania inclusive
And those who supported aids will be reduced to 100%...
Yemen wanapigwa na Saudi Arabia . Waislam ni wajinga Sana . Marekani haihudiki kuipiga YemenNasema baaaado.View attachment 2179756
Harafu........halafuHuwezi kula hela ya mwanaume harafu usiilipie .
"Eidha uko na sisi au wao " G . Bush
Hata mungu hapendi watu vuguvugu .
Yaani lazma uwe baridi au moto .
ππππ asante mkuu ,,,,,,!!!!!!ππππππ.Harafu........halafu
Eidha..........aidha
mungu......Mungu
Huyo jamaa Mpumbavu Sana.Kiwango chake cha ujinga akina mfano toka kuumbwa kwa huu ulimwengu.Hii account kumbe yako we jamaa..hivi huwa mnalipwa na serikali ya ukraine??...Ni Tanzania pekee ndiye aliyekuwa against mpaka atajwe yeye kwenye hii tweet??!..napata mashaka hii ni account yako
Tujaribu kuwa na heshima kwa raisi,
Alafu mwisho wa siku wanamuacha Melo anashinda mahakamani peke yake.
abstaining ni jambo la kawaida.Tanzania inatetea uvamizi, US wako sahihi.
Kwa wewe ni mkongo?Sawa,
Lakini kulikuwa na ulazima gani wa kuitaja Tanzania specifically?
Misaada inatumika kama fimbo ya kuwachapa wategemezi watukutu.US to Reduce 40% of its aids to countries which did not vote against Russia in UN council , Tanzania inclusive
And those who supported aids will be reduced to 100%