Comment gni umeona nimekuja na hiyo habari ya kuwaambia masuala ya kulipwa!!?...kwanza ndio first time nacomment kuhusu mgogoro huu kwenye hili jukwaa na sina side kama wajinga wachache mnavyofanya humu..acha wengeWewe nae huwezi kuchangia bila kuleta hizo blah blah zako za analipwa na nani? Na wewe tukuulize unalipwa na Russia,maana kila.comment lazima uje na hiki ki sentence chako cha 'kulipwa'[emoji3]
Ukiwa ombaomba lazima utishiwe tu, hamna namna.Wacha wafe hiyo ndio gharama ya uhuru, huwezi kutishia watu kila siku kisa misaada
Simple, kataeni kuipokea na komeni kutembeza bakuli.Waambie watoe 100% ya misaada Yao waache kutishia watu nyau , hakuna nchi dunia inaweza kuendelea kwa misaada kile ni kifungo
Atakuwa anaenda Chatttle kuzuru kabuli la mungu wenuHivi ikitokea kafungiwa kabisa asikanyage Amerika na vile anavyopenda safari sijui itakuaje?
Tukatae vip wao ndio waache kuleta, kwani tumewashikia bunduki kuleta misaada?Simple, kataeni kuipokea na komeni kutembeza bakuli.
Wanajitekenya hao wazuie misaada yote, tuko imara sisi ni neutral kantriUkiwa ombaomba lazima utishiwe tu, hamna namna.
Hao ndo wanaijiita mabingwa wa demokrasia.. hawako vizuri labda demokrasia yao ni kwaajiki ya mashoga tuu..US to Reduce 40% of its aids to countries which did not vote against Russia in UN council , Tanzania inclusive
And those who supported aids will be reduced to 100%
Kinyaa cha nini wewe Kipwinto tuliza Kindanda Usukumiwe MotoHilo neno shoga kama halikupi kinyaa kulitajataja basi una dalili zake zote ila ni unafiki tu kama kawaida.
Ikatae kuipokea kama hauitaki kweli[emoji2][emoji2]Wanajitekenya hao wazuie misaada yote, tuko imara sisi ni neutral kantri
Kwan unashikiwa bunduki kuiomba na kuipokea[emoji23][emoji23]Tukatae vip wao ndio waache kuleta, kwani tumewashikia bunduki kuleta misaada?
Sasa kitu kimeletwa kwenye ardhi yangu niache? nachukua wewe uliekasirika Tanzania kuwa neutral acha kutupa misaada yakoKwan unashikiwa bunduki kuiomba na kuipokea[emoji23][emoji23]
Ikifika kwenye ardhi yangu ni mali yangu, wewe kama umechukia Tanzania kuwa neutral baki na misaada yako kwenuIkatae kuipokea kama hauitaki kweli[emoji2][emoji2]
Maswali: 1. Tanzania tuna uwezo kiasi gani (in milions litres) wa kutunza mafuta yaliyo tayari kutumika nchi nzima? Na je kwa siku tuna tumia wastani wa kiasi gani (in millions litres)?Utamkumbuka wewe mkuu kama umeshikiliwa akili manake seems umechagua ujinga wa kutoelewa kwamba hili ni tatizo la Dunia has nothing to do with an individual.
π¬π¬π¬π¬ Kote huku waambie wamkumbuke π
View attachment 2181163
View attachment 2181164
View attachment 2181165
View attachment 2181166
Wana bahati, 'Mwamba' amepumumzia!Hapa tukipiga U-Turn sababu ya Misaada taona kweli tumekuwa Mazuzu....
Yaani watu wa kupelekwa pelekwa tusio na Msimamo
Bravo[emoji122][emoji122]Kila mtu ashinde mechi zake