Taja vita yeyote ya ardhini aliyo pigana Marekani na washirika wake wakashinda tofauti na vita ya Iraq pamoja na huo uchumi wake.Vita ni uchumi na mwenye uchumi mkubwa ndiye Huwa mshindi wa vita ipo hivo tangu kuumbwa kwa Dunia ,mfano Babel na Rumi zilitawala Dunia kwa Sababu ya uchumi wao ulikuaga mkubwa,kwa hiyo Urusi hawezi shindana na Marekani kwa Sababu hiyo ya uchumi na anaebisha ni wa kumuonea huruma tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
The USA hates you for sure.I love USA genius
Mbona Urusi alipo jiondoa kiev kwa makubaliano ya Ukraine kukubali baadhi ya masharti ya Urusi kwenye rasimu ya amani mlikuja kwa kasi mara Urusi kashidwa vita.US aliona haina faida akaamua kuongea nao awaachie nchi na ndio maana hata walipokuwa wakiingia US alijua ila akaona aondoke, angetaka kutooondoka angebakia na hakuna ambalo lingefanyika maana uwezo alikuwa nao wa kuwa annihiliet
Russia sio Iraq hivyo hakuna kitu kinaitwa kuchoka, bali ni taifa kubwa lenye nguvu sawasawa na USA.Ujumbe wa utangulizi.. Hii inaitwa fungua njja kuna kitu kinakuja.. Wanamsubiri Putin achoke kisha waanze kumcharaza
Kile kichapo alichokipata kule Vietnam ilikuwaje Sasa?
Mbona walikimbia huko Afghanistan ?Alisikika akisema Mkuu wa majeshi ya Marekani
Anasema Marekani ni Taifa kuliko watu wanavyodhani anasema huu ujumbe nadhani Urusi, Iran, IS na North Korea wanaangalia , Kama una akili timamu amerika ni Nchi ya kuikimbia kwenye vita maana imeona vita, imecheza vita na unajua vita na haipendi vita Lakin ukipenda vita na marekani andaa wa kulea watoto wako maana hutabaki salama! Vita siyo sehemu ya maonesho ya Bunduki Kwa amerika bali ni vitendo
Ujuaji mnao nyinyi mnao shinda humu kuinanga Urusi sijui imedhindwa kuiteka Ukraine kwa hiyo ni dhahifu,eti ilitakiwa kuiteka Ukraine ndani ya wiki utadhani vita ni kucheza ngoma.Humu watu ni wajuaji kwa vitu ambavyo hawajui .Hii Dunia ni Mali ya Marekani na Israel tunatakiwa kujua hivo kwa Sababu wanafanya chochote wapendacho na haukuna mtu wa kuwazuia na pia Kumbukeni NATO ni Mali ya USA.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yale machuma yenu vp?Nimekuambia baada ya vita ya pili ya dunia.
Alafu hata kwa Japan alikuwa amesha kula kichapo cha maana ndio maana akakimbilia kutumia nyukilia.
Kwa hiyo wale wadada na wamama wa mitaani wanaoshinda kwenye vigodoro wanapigana psychological war fare?Duh hiyo huitwa psychological war fare unapigwa kwa maneno ushundwe moyoni kabla ya uwanjani vitani.
Punguza kusoma propaganda na kuangalia too much of hollywood flicks.Unajuwa anacho kisema anamanisha USA hawalali na wana jeshi hatari sana kiasi wanajiogopa. Uwezo wao wakingukilia ni hatari kiasi wanaweza kuifuta china na Russia ktk uso wa dunia kwa wakati mmoja this guy ni nyoko....
Umeongea apoint ambayo nawaambiaga wanaziba masikioUjumbe wa utangulizi.. Hii inaitwa fungua njja kuna kitu kinakuja.. Wanamsubiri Putin achoke kisha waanze kumcharaza
Hakuna mtu atakaye jaribu kufanya direct confrontation na Russia.Amewaonyaa kuwa...
Tunawaona Urusi China North Korea tuna wanyamazia tuu...
Wakidhani tunaogopa vita.
Vita tuna ijua...
Dadekiii vitaa hiyoo ya Tatu
Hakika nakueleza Jamaa bado wana kusanya sababu na ushaidi wa kutoshaa dadekiiHakuna mtu atakaye jaribu kufanya direct confrontation na Russia.
Hii comment itabaki milele hapa utakuja kuisoma baada ya miaka 10.
Ushahidi wa nini?Hakika nakueleza Jamaa bado wana kusanya sababu na ushaidi wa kutoshaa dadekii
Kikundi cha wahuni wavaa kubazi kilimfurusha sio[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hivi ww ni mfuatiliaji wa siasa za dunia kweli ?
Tangu kumalizika kwa vita ya pili ya dunia vita pekee ambayo Marekani alishinda ni vita ya Iraq tu , na hapo ni sababu tu Urusi haikuingilia hivyo vita sababu kipindi hicho ilikuwa dhahifu kwa maana hiyo Iraq ilikosa msaada kutoka nje tofauti na hapo tungeongea mengine.
Na mbaya zaidi hakuwa peke yake alikuwa na rundo la maswahiba wake.
Huko kwingine aliishia kupata kipigo na kukimbia kama paka mwizi kuanzia Vietnam alipigana zaidi ya miaka 8 lakini alishindwa kuteka hata kijiji mwisho anakimbia kwa aibu , akaja somalia kilicho mkuta hatosahau, akaja Afghanistan kapigana miaka 20 lakini kashindwa na kikundi cha wahuni wavaa kubanzi wakatoka nduki.
SureKinachowapa jeur americans ni pesa... Anaweza pigana vita miaka 10 na bao uchumi wake ukasimama.. sasa wew unaepigana nae utaweza simama..?
Bajet ya jeshi la marekan kwa mwaka ni 800bil$ wakat rusia ni 90bil$ kwa mwaka
We unafikiri wale wanaoitwa mercenaries ni wanajeshi wa wapi?? Na wanachapika vizuri tuna wakipeleka mnadai ni wachokoz , waswahili bana
Washajua udhaifu na ndo maana storage zao zinapigwa pamoja na kuwa S400 ipoUmeongea apoint ambayo nawaambiaga wanaziba masikio
Hivi ww ni mfuatiliaji wa siasa za dunia kweli ?
Tangu kumalizika kwa vita ya pili ya dunia vita pekee ambayo Marekani alishinda ni vita ya Iraq tu , na hapo ni sababu tu Urusi haikuingilia hivyo vita sababu kipindi hicho ilikuwa dhahifu kwa maana hiyo Iraq ilikosa msaada kutoka nje tofauti na hapo tungeongea mengine.
Na mbaya zaidi hakuwa peke yake alikuwa na rundo la maswahiba wake.
Huko kwingine aliishia kupata kipigo na kukimbia kama paka mwizi kuanzia Vietnam alipigana zaidi ya miaka 8 lakini alishindwa kuteka hata kijiji mwisho anakimbia kwa aibu , akaja somalia kilicho mkuta hatosahau, akaja Afghanistan kapigana miaka 20 lakini kashindwa na kikundi cha wahuni wavaa kubanzi wakatoka nduki.