USA tells Russia : If you are wise America is a phenomena to avoid in war, if you want war with USA prepare someone to raise your Children

USA tells Russia : If you are wise America is a phenomena to avoid in war, if you want war with USA prepare someone to raise your Children

Hivi ww ni mfuatiliaji wa siasa za dunia kweli ?

Tangu kumalizika kwa vita ya pili ya dunia vita pekee ambayo Marekani alishinda ni vita ya Iraq tu , na hapo ni sababu tu Urusi haikuingilia hivyo vita sababu kipindi hicho ilikuwa dhahifu kwa maana hiyo Iraq ilikosa msaada kutoka nje tofauti na hapo tungeongea mengine.

Na mbaya zaidi hakuwa peke yake alikuwa na rundo la maswahiba wake.

Huko kwingine aliishia kupata kipigo na kukimbia kama paka mwizi kuanzia Vietnam alipigana zaidi ya miaka 8 lakini alishindwa kuteka hata kijiji mwisho anakimbia kwa aibu , akaja somalia kilicho mkuta hatosahau, akaja Afghanistan kapigana miaka 20 lakini kashindwa na kikundi cha wahuni wavaa kubanzi wakatoka nduki.
Unaijua vita ya Somalia na Afghanistan? Unafikiri hao jamaa wanapigana makombora? Hao watu hata Russia na Marekani wakiungana hawashindi, hapo unapigana na imani tena na viumbe havina hata silaha ila silaha yao ni imani zao tu.
 
Hahaha mikwara tena..

Mi nilidhani washapeleka jeshi Ukraine kumbe maneno ya kwenye khanga..
Wako jirani hapo mkuu wanachungulia tu.
Hata hiyo NATO hawaruhusu kuja kule ndani.ila wapo hapo ni kupewa tiki tu.
Vita ikipita huko mpakani wakifika main city wanaenda Finland.
Balaa litaanzia hapo
 
Hiyo ni hotuba ya kurudisha Imani iliyopotea kwa raia wa Marekani.
Hata Kiduku walimwbia hivyohivyo,"all option are on the table"- Kiduku bado yupo.
"Assad must go" Assad bado yupo.

Tuache unafiki Marekani sio wa kuipiga mkwara Urusi.
Au labda anazungzia matumizi ya nyukilia kwa kushitukiza.

Washabiki bana,mmekalia kushabikia vijineno Sasa.
Ooh Urusi amezoea safari hii wanamsubiri TU akiivamia Ukraine hawamwachi.kavamia Sasa imebaki vikao TU Kila siku na kupeleka vijisilaha vinavyoishia kuteketezwa.
Hebu tuache ushabiki wa kitoto,vita ya Urusi na Marekani haitakua kama vita tulizozizoea kuzisikia na kuziona.
Urusi sio Vietnam,Iraq,Afghanistan,Yugoslavia,Libya,Panama,Somalia,wala sio Alqaida,ISIS.
Kama alivyosema Rais wa Marekani Bideni Safari hii wanadili na moja ya jeshi kubwa Duniani.
Umechanganya Utumbo na mchicha. Ni mboga gani iyo?
 
Hivi ww ni mfuatiliaji wa siasa za dunia kweli ?

Tangu kumalizika kwa vita ya pili ya dunia vita pekee ambayo Marekani alishinda ni vita ya Iraq tu , na hapo ni sababu tu Urusi haikuingilia hivyo vita sababu kipindi hicho ilikuwa dhahifu kwa maana hiyo Iraq ilikosa msaada kutoka nje tofauti na hapo tungeongea mengine.

Na mbaya zaidi hakuwa peke yake alikuwa na rundo la maswahiba wake.

Huko kwingine aliishia kupata kipigo na kukimbia kama paka mwizi kuanzia Vietnam alipigana zaidi ya miaka 8 lakini alishindwa kuteka hata kijiji mwisho anakimbia kwa aibu , akaja somalia kilicho mkuta hatosahau, akaja Afghanistan kapigana miaka 20 lakini kashindwa na kikundi cha wahuni wavaa kubanzi wakatoka nduki.
Hiroshima
Vp
 
Marekani na washirika wake maama America ata akitaka kupigana na Tanzania ataomba support wa NATO.

Sent using Jamii Forums mobile app
anaombaje support unajua maana ya NATO? Unajua fees ambao anatoa. Kamuulize trump alivyokuta ma billion ya dola amerika inayochangia. Mpaka kutaka kujitoa au nchi wanachama waongeze michango.

Nato ni kibubu cha marekan anadunduliza hela kwa ajili ya ulinzi.
 
Hivi ww ni mfuatiliaji wa siasa za dunia kweli ?

Tangu kumalizika kwa vita ya pili ya dunia vita pekee ambayo Marekani alishinda ni vita ya Iraq tu , na hapo ni sababu tu Urusi haikuingilia hivyo vita sababu kipindi hicho ilikuwa dhahifu kwa maana hiyo Iraq ilikosa msaada kutoka nje tofauti na hapo tungeongea mengine.

Na mbaya zaidi hakuwa peke yake alikuwa na rundo la maswahiba wake.

Huko kwingine aliishia kupata kipigo na kukimbia kama paka mwizi kuanzia Vietnam alipigana zaidi ya miaka 8 lakini alishindwa kuteka hata kijiji mwisho anakimbia kwa aibu , akaja somalia kilicho mkuta hatosahau, akaja Afghanistan kapigana miaka 20 lakini kashindwa na kikundi cha wahuni wavaa kubanzi wakatoka nduki.
hujui historia fuatilia acha pupa , hujui china imewai kupigana na USA , vipo vita vingi huvijui kwa vile unasubir tbc ikutangazie
 
Alisikika akisema Mkuu wa majeshi ya Marekani

Anasema Marekani ni Taifa kuliko watu wanavyodhani anasema huu ujumbe nadhani Urusi, Iran, IS na North Korea wanaangalia , Kama una akili timamu amerika ni Nchi ya kuikimbia kwenye vita maana imeona vita, imecheza vita na unajua vita na haipendi vita Lakin ukipenda vita na marekani andaa wa kulea watoto wako maana hutabaki salama! Vita siyo sehemu ya maonesho ya Bunduki Kwa amerika bali ni vitendo
Kunazidi kucha
 
Hiyo ni hotuba ya kurudisha Imani iliyopotea kwa raia wa Marekani.
Hata Kiduku walimwbia hivyohivyo,"all option are on the table"- Kiduku bado yupo.
"Assad must go" Assad bado yupo.

Tuache unafiki Marekani sio wa kuipiga mkwara Urusi.
Au labda anazungzia matumizi ya nyukilia kwa kushitukiza.

Washabiki bana,mmekalia kushabikia vijineno Sasa.
Ooh Urusi amezoea safari hii wanamsubiri TU akiivamia Ukraine hawamwachi.kavamia Sasa imebaki vikao TU Kila siku na kupeleka vijisilaha vinavyoishia kuteketezwa.
Hebu tuache ushabiki wa kitoto,vita ya Urusi na Marekani haitakua kama vita tulizozizoea kuzisikia na kuziona.
Urusi sio Vietnam,Iraq,Afghanistan,Yugoslavia,Libya,Panama,Somalia,wala sio Alqaida,ISIS.
Kama alivyosema Rais wa Marekani Bideni Safari hii wanadili na moja ya jeshi kubwa Duniani.
akili za mswahili hazijawai kuwa timamu , wenzio hujipa muda wa kufanya mambo , tulia ipo siku utaanza kumlaumu mzungu
 
Unaijua vita ya Somalia na Afghanistan? Unafikiri hao jamaa wanapigana makombora? Hao watu hata Russia na Marekani wakiungana hawashindi, hapo unapigana na imani tena na viumbe havina hata silaha ila silaha yao ni imani zao tu.
wazungu hawakulenga kushinda vita kwenye hayo maeneo bali walilenga kuacha machafuko ili nchi iwe busy kwenye machafuko pindi wanapoenda kuiba mali , jiulize hao Taliban walikuwa wanatoa wap silaha , maradhi na vyakula kwa kipind chote cha miaka 20 , so hao waliundwa tu kulinda maslai ya mabeberu na ndio maana serikali ya Afghanstan ilipoanza kumletea kibesi USA ndipo USA ikasema inaondoa majeshi yake na baada ya wiki Taliban wakaanza kushambulia , jiulize Taliban walikuwa wanaua hovyo ila hawakishambulia uwanja wa ndege ambao ulikuwa na wanajeshi wa marekani
 
Alichonifurahisha alipambana Afghanistan kwa miaka 20 kuwaondoa Taliban ili kuwaweka Taliban

Sent from my SM-G5500 using JamiiForums mobile app
Latest version ya Taliban ni tofauti saana na ile ya mwanzo ya akina Mullar Omar, iliyokuwa inahifadhi na kufadhili magaidi Wakubwa akina Osama bin Laden.

Hawa wa sasa angalau walitubu, wakaongoka, wakakiri kubadilika, na wakaahidi kuwa kamwe hawatorudia dhambi ya kuruhusu ardhi yao kutumiwa tena kama hifadhi na maficho ya magaidi (terror haven), wala hawatafadhili magaidi kama mwanzo.

Kuna watu wanadhani Taliban walishinda ile vita. Lakini ukweli ni kuwa Taliban walikabidhiwa nchi yao kwa makubaliano maalum 'US - Taliban Agreement' yaliyosainiwa Doha, Qatar, baada ya majadiliano na makubaliano.

 
Hivi ww ni mfuatiliaji wa siasa za dunia kweli ?

Tangu kumalizika kwa vita ya pili ya dunia vita pekee ambayo Marekani alishinda ni vita ya Iraq tu , na hapo ni sababu tu Urusi haikuingilia hivyo vita sababu kipindi hicho ilikuwa dhahifu kwa maana hiyo Iraq ilikosa msaada kutoka nje tofauti na hapo tungeongea mengine.

Na mbaya zaidi hakuwa peke yake alikuwa na rundo la maswahiba wake.

Huko kwingine aliishia kupata kipigo na kukimbia kama paka mwizi kuanzia Vietnam alipigana zaidi ya miaka 8 lakini alishindwa kuteka hata kijiji mwisho anakimbia kwa aibu , akaja somalia kilicho mkuta hatosahau, akaja Afghanistan kapigana miaka 20 lakini kashindwa na kikundi cha wahuni wavaa kubanzi wakatoka nduki.
Kwa iyo unataka kusemaje!?
Kwamba somalia ina power kuliko marekani ndio maaana alipigwa vita ulivyoangalia kwenye movie ya black hawk down.

Aah aah aah jf ya sasa bhaaana.

Jifunze kuelewa nin maana ya vita, ushindi ni nini baada ya vita, lengo la vita ni nini, faida na hasara ya vita ni nini!?


Hivi kweli taifa lipigane na kikundi cha wahuni afu kikundi kishinde.
 
Wewe

Eti vita ya Vietnam USA alishindwa kuteka hata kijiji.... Hebu amka usingizini punguza chuki na mahaba.... Huyo mnaemshabikia Russia ametangaza mara ngap kuwa atakayemsaidia Ukraine atakutana na moto... Anataka Ukraine asidiwe vip USA anaisaidia Ukraine na Russia yupo katulia hana cha kufanya USA.... Leo wanaume walikuwa kyiv wamesema ule wakati ambao walikuwa wanausubir basi umewadia wanataka kutumia uzaifu huo
Soma hapa👇
ADVERTISEMENT



Ukraine war: US wants to see a weakened Russia​

By Matt Murphy
BBC News
Published9 hours ago
commentsComments
Share
Related Topics
Ukrainian President Zelensky with Secretaries Austin and Blinken
IMAGE SOURCE,EPA
Image caption,
Mr Austin (L) and Mr Blinken (R) became the highest level US officials to travel to Ukraine since the Russian invasion began
US Defence Secretary Lloyd Austin has said he hopes Russian losses in Ukraine will deter its leadership from repeating its actions elsewhere.
Ukraine can still win the war if given the right support, he added.
He also announced the US would allocate an extra $713m (£559m) of military aid to Ukraine and other European nations.
Russian President Vladimir Putin has accused the West of attempting to "split Russian society and destroy Russia from within".
Mr Austin, a retired four-star general, was speaking after meeting Ukraine's President Volodymyr Zelensky in Kyiv. Also involving Secretary of State Antony Blinken, the visit marked the highest-level trip to Ukraine by US officials since the invasion began over two months ago.

Alafu msome mchambuzi huyo
👇
President Biden's always made clear that the US won't directly intervene in the war in Ukraine. He won't be sending American troops to join the battle.
But the truth is that the US is getting more deeply involved - and that's been highlighted by the words of the US defence secretary.
America has dramatically increased the supply of weapons to Ukraine in recent weeks. Despite Russian warnings, it's made clear it'll be sending more. Mr Austin's words underline that America is not a bystander in this war. America wants to see Russia defeated.
More than that, it wants to see Russia's military machine reduced to such an extent that it will not be able to threaten any another European ally in the future. The fear, shared by Nato allies, is that any kind of defeat for Ukraine will only embolden President Putin's ambitions.
Mr Austin has now set out clearly that the US has its own strategic goals for this war - even if it's theoretically not participating. The goal is to stop President Putin and to weaken Russia's military to such an extent that it will no longer be able to threaten other nations.
To some extent that's already happened. Military experts already believe it will take years for Russia to recover from its military losses. That might also send a signal to another nation which the US is increasingly concerned about - namely China.
For President Putin it's more evidence that he's not just in a war with Ukraine. No doubt it will feed his own narrative for the purposes of domestic support. He's long portrayed Nato as a threat to Russia.
2px presentational grey line

In recent days Russia has refocussed its advance on Ukraine's eastern Donbas region and US sources believe that Moscow has committed over 76 battalion tactical groups inside Ukraine.
On Monday, the UK's ministry of defence said in an update that Moscow had made minor advances in the region but had "yet to achieve a breakthrough" because of logistical issues.
The update said: "Ukraine's defence of Mariupol has also exhausted many Russian units and reduced their combat effectiveness."
Source BBC
Kwa hiyo wamesubiri Ukraine imekwisha sambaratishwa ndo wamezinduka usingizini?
 
Kinachowapa jeur americans ni pesa... Anaweza pigana vita miaka 10 na bao uchumi wake ukasimama.. sasa wew unaepigana nae utaweza simama..?
Bajet ya jeshi la marekan kwa mwaka ni 800bil$ wakat rusia ni 90bil$ kwa mwaka
Vita ni uchumi na mwenye uchumi mkubwa ndiye Huwa mshindi wa vita ipo hivo tangu kuumbwa kwa Dunia ,mfano Babel na Rumi zilitawala Dunia kwa Sababu ya uchumi wao ulikuaga mkubwa,kwa hiyo Urusi hawezi shindana na Marekani kwa Sababu hiyo ya uchumi na anaebisha ni wa kumuonea huruma tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom