USA tells Russia : If you are wise America is a phenomena to avoid in war, if you want war with USA prepare someone to raise your Children

USA tells Russia : If you are wise America is a phenomena to avoid in war, if you want war with USA prepare someone to raise your Children

Latest version ya Taliban ni tofauti saana na ile ya mwanzo ya akina Mullar Omar, iliyokuwa inahifadhi na kufadhili magaidi Wakubwa akina Osama bin Laden.

Hawa wa sasa angalau walitubu, wakaongoka, wakakiri kubadilika, na wakaahidi kuwa kamwe hawatorudia dhambi ya kuruhusu ardhi yao kutumiwa tena kama hifadhi na maficho ya magaidi (terror haven), wala hawatafadhili magaidi kama mwanzo.

Kuna watu wanadhani Taliban walishinda ile vita. Lakini ukweli ni kuwa Taliban walikabidhiwa nchi yao kwa makubaliano maalum 'US - Taliban Agreement' yaliyosainiwa Doha, Qatar, baada ya majadiliano na makubaliano.

US aliona haina faida akaamua kuongea nao awaachie nchi na ndio maana hata walipokuwa wakiingia US alijua ila akaona aondoke, angetaka kutooondoka angebakia na hakuna ambalo lingefanyika maana uwezo alikuwa nao wa kuwa annihiliet
 
Kwa iyo unataka kusemaje!?
Kwamba somalia ina power kuliko marekani ndio maaana alipigwa vita ulivyoangalia kwenye movie ya black hawk down.

Aah aah aah jf ya sasa bhaaana.

Jifunze kuelewa nin maana ya vita, ushindi ni nini baada ya vita, lengo la vita ni nini, faida na hasara ya vita ni nini!?


Hivi kweli taifa lipigane na kikundi cha wahuni afu kikundi kishinde.
Humu watu ni wajuaji kwa vitu ambavyo hawajui .Hii Dunia ni Mali ya Marekani na Israel tunatakiwa kujua hivo kwa Sababu wanafanya chochote wapendacho na haukuna mtu wa kuwazuia na pia Kumbukeni NATO ni Mali ya USA.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe

Eti vita ya Vietnam USA alishindwa kuteka hata kijiji.... Hebu amka usingizini punguza chuki na mahaba.... Huyo mnaemshabikia Russia ametangaza mara ngap kuwa atakayemsaidia Ukraine atakutana na moto... Anataka Ukraine asidiwe vip USA anaisaidia Ukraine na Russia yupo katulia hana cha kufanya USA.... Leo wanaume walikuwa kyiv wamesema ule wakati ambao walikuwa wanausubir basi umewadia wanataka kutumia uzaifu huo
Soma hapa[emoji116]
ADVERTISEMENT



Ukraine war: US wants to see a weakened Russia​

By Matt Murphy
BBC News
Published9 hours ago
commentsComments
Share
Related Topics
Ukrainian President Zelensky with Secretaries Austin and Blinken
IMAGE SOURCE,EPA
Image caption,
Mr Austin (L) and Mr Blinken (R) became the highest level US officials to travel to Ukraine since the Russian invasion began
US Defence Secretary Lloyd Austin has said he hopes Russian losses in Ukraine will deter its leadership from repeating its actions elsewhere.
Ukraine can still win the war if given the right support, he added.
He also announced the US would allocate an extra $713m (£559m) of military aid to Ukraine and other European nations.
Russian President Vladimir Putin has accused the West of attempting to "split Russian society and destroy Russia from within".
Mr Austin, a retired four-star general, was speaking after meeting Ukraine's President Volodymyr Zelensky in Kyiv. Also involving Secretary of State Antony Blinken, the visit marked the highest-level trip to Ukraine by US officials since the invasion began over two months ago.

Alafu msome mchambuzi huyo
[emoji116]
President Biden's always made clear that the US won't directly intervene in the war in Ukraine. He won't be sending American troops to join the battle.
But the truth is that the US is getting more deeply involved - and that's been highlighted by the words of the US defence secretary.
America has dramatically increased the supply of weapons to Ukraine in recent weeks. Despite Russian warnings, it's made clear it'll be sending more. Mr Austin's words underline that America is not a bystander in this war. America wants to see Russia defeated.
More than that, it wants to see Russia's military machine reduced to such an extent that it will not be able to threaten any another European ally in the future. The fear, shared by Nato allies, is that any kind of defeat for Ukraine will only embolden President Putin's ambitions.
Mr Austin has now set out clearly that the US has its own strategic goals for this war - even if it's theoretically not participating. The goal is to stop President Putin and to weaken Russia's military to such an extent that it will no longer be able to threaten other nations.
To some extent that's already happened. Military experts already believe it will take years for Russia to recover from its military losses. That might also send a signal to another nation which the US is increasingly concerned about - namely China.
For President Putin it's more evidence that he's not just in a war with Ukraine. No doubt it will feed his own narrative for the purposes of domestic support. He's long portrayed Nato as a threat to Russia.
2px presentational grey line

In recent days Russia has refocussed its advance on Ukraine's eastern Donbas region and US sources believe that Moscow has committed over 76 battalion tactical groups inside Ukraine.
On Monday, the UK's ministry of defence said in an update that Moscow had made minor advances in the region but had "yet to achieve a breakthrough" because of logistical issues.
The update said: "Ukraine's defence of Mariupol has also exhausted many Russian units and reduced their combat effectiveness."
Source BBC
Ni tajie hata mtaa alio uteka alio uteka acha mapovu.
Au nitajie vita ya ardhini ambayo Marekani ameshinda tofauti ya Iraq.
 
Unaijua vita ya Somalia na Afghanistan? Unafikiri hao jamaa wanapigana makombora? Hao watu hata Russia na Marekani wakiungana hawashindi, hapo unapigana na imani tena na viumbe havina hata silaha ila silaha yao ni imani zao tu.
Yeye si superpower ?anashindwaje sasa na wahuni?
 
Alisikika akisema Mkuu wa majeshi ya Marekani

Anasema Marekani ni Taifa kuliko watu wanavyodhani anasema huu ujumbe nadhani Urusi, Iran, IS na North Korea wanaangalia , Kama una akili timamu amerika ni Nchi ya kuikimbia kwenye vita maana imeona vita, imecheza vita na unajua vita na haipendi vita Lakin ukipenda vita na marekani andaa wa kulea watoto wako maana hutabaki salama! Vita siyo sehemu ya maonesho ya Bunduki Kwa amerika bali ni vitendo
Unajuwa anacho kisema anamanisha USA hawalali na wana jeshi hatari sana kiasi wanajiogopa. Uwezo wao wakingukilia ni hatari kiasi wanaweza kuifuta china na Russia ktk uso wa dunia kwa wakati mmoja this guy ni nyoko....
 
Humu watu ni wajuaji kwa vitu ambavyo hawajui .Hii Dunia ni Mali ya Marekani na Israel tunatakiwa kujua hivo kwa Sababu wanafanya chochote wapendacho na haukuna mtu wa kuwazuia na pia Kumbukeni NATO ni Mali ya USA.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hichi ulichoandika hapa hata USA atakukana. USA ni taifa kubwa lenye nguvu ila haliimiliki dunia. Yaheshimu mataifa mengine pia likiwemo taifa lako.
 
Latest version ya Taliban ni tofauti saana na ile ya mwanzo ya akina Mullar Omar, iliyokuwa inahifadhi na kufadhili magaidi Wakubwa akina Osama bin Laden.

Hawa wa sasa angalau walitubu, wakaongoka, wakakiri kubadilika, na wakaahidi kuwa kamwe hawatorudia dhambi ya kuruhusu ardhi yao kutumiwa tena kama hifadhi na maficho ya magaidi (terror haven), wala hawatafadhili magaidi kama mwanzo.

Kuna watu wanadhani Taliban walishinda ile vita. Lakini ukweli ni kuwa Taliban walikabidhiwa nchi yao kwa makubaliano maalum 'US - Taliban Agreement' yaliyosainiwa Doha, Qatar, baada ya majadiliano na makubaliano.

Acha maneno mengi Marekani na washirika wake walishindwa vita nchini Afghanistan hayo mengine ni porojo.
 
Vita vya Vietnam 1955-1975: north vietnam ilikuwa supported na soviet union na south vietnam walikuwa supported na US wakala kichapo cha mbwa koko then wakakimbia vita.
Vita vya kiraia Urussi 1918-1920: wakala kichapo wakakimbia vita.
Vita vya kiraia Laotian, CIA wanaita the secret war 1953-1975: USA wakala kichapo tena wakakimbia uwanja wa vita.
Bay of Pigs Invasion cuba 1961: USA walikuwa wanatoa msaada kwa siri na kuratibu kila kitu mpaka kutuma Brigade 2506, lakini wakepewa kipondo na kukimbia vita.
Multinational Force in Lebanon 1982–1984: USA na wenzake wakala tena kichapo na kuacha virago vitani.
Cambodian Civil War 1967–1975: USA katatindikwa tena.
First U.S. Intervention in the Somali Civil War 1992–1995: USA kapigwa tena.
Vita ndani ya Afghanistan au Taliban war 2001–2021: USA amehangaika kwa miaka 20 mfululizo na mwisho wa siku kama kawaida yake kakimbia vita.

Hizi ni vita vinavyoendela kwa miaka na hakuna dalili ya ushindi kwa USA tena wanaopigana nao ni magaidi ya kiarabu sasa sidhani kama wataweza moto wa Russia.
American intervention in Yemen 2002-mpaka leo bado wanahangaika.
Second U.S. Intervention in the Somali Civil War 2007-mpaka leo.
American-led intervention in Syria 2014–mpaka leo.

Marekani na mikwala yake ya hollywood movies na white supremacy propaganda, zaidi ya hapo ameshapoteza heshima yake hasa kwenye mgogoro huu wa Russia na Ukraine.
Na kamwe hawatojaribu kwenda direct kupambana na Russia kama wanavyofanya huko kwengine, papa amekutana na simba.
 
Kwa iyo unataka kusemaje!?
Kwamba somalia ina power kuliko marekani ndio maaana alipigwa vita ulivyoangalia kwenye movie ya black hawk down.

Aah aah aah jf ya sasa bhaaana.

Jifunze kuelewa nin maana ya vita, ushindi ni nini baada ya vita, lengo la vita ni nini, faida na hasara ya vita ni nini!?


Hivi kweli taifa lipigane na kikundi cha wahuni afu kikundi kishinde.
Kwa hiyo nyinyi mnapo sema Ukrain imeishinda Urusi ina maana Ukraine ina nguvu kuizidi Urusi?
 
Back
Top Bottom