USA tells Russia : If you are wise America is a phenomena to avoid in war, if you want war with USA prepare someone to raise your Children

USA tells Russia : If you are wise America is a phenomena to avoid in war, if you want war with USA prepare someone to raise your Children

Kwa hiyo wale wadada na wamama wa mitaani wanaoshinda kwenye vigodoro wanapigana psychological war fare?
Kwa mantiki yako unamaanisha USA ni shangingi tu anayebweka bila vitendo.

Acha utani huwezi kumtisha Russia kwa maneno kama unaongea na burundi.
Shida Nini mkuu. Nilimaanisha Kwamba anachofanya Marekani Ni kutisha Russia kupitia Psychological warfare. Hii hufanywa ilimradi tu kuifanya nchi hasimu Inferior na hivyo kushindwa Vita moyoni na kiakili kabla Vita haijaanza.
Ila kiuhalisi Vita ya Us na Russia Kama itapiganwa direct itakuwa Ni yenye madhara makubwa
 
Alichonifurahisha alipambana Afghanistan kwa miaka 20 kuwaondoa Taliban ili kuwaweka Taliban

Sent from my SM-G5500 using JamiiForums mobile app
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Screenshot_20220417-163540.jpg
 
Kinachowapa jeur americans ni pesa... Anaweza pigana vita miaka 10 na bao uchumi wake ukasimama.. sasa wew unaepigana nae utaweza simama..?
Bajet ya jeshi la marekan kwa mwaka ni 800bil$ wakat rusia ni 90bil$ kwa mwaka
Budget ya Vietnam ilikua Ni kiasi gani?
 
Vita ni uchumi na mwenye uchumi mkubwa ndiye Huwa mshindi wa vita ipo hivo tangu kuumbwa kwa Dunia ,mfano Babel na Rumi zilitawala Dunia kwa Sababu ya uchumi wao ulikuaga mkubwa,kwa hiyo Urusi hawezi shindana na Marekani kwa Sababu hiyo ya uchumi na anaebisha ni wa kumuonea huruma tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Taliban uchumi/uwezo wao wa kifedha ukoje mkuu?
 
Hata Iraq sio ushindi. Bado hali ni mbaya. Lakini jua hizo ni vita zinazopiganwa mbali nje ya USA. Lengo la Marekani sio kuzikalia hizo nchi bali kufanikisha interest zao maalum ambazo ni kuvuruga tawala hasimu na vikundi vya magaidi. Kwao haijalishi kama wameshinda au hawakushinda pambano.

Lengo kubwa sana ilikuwa kuua ukomunisti duniani. Leo angalia Urusi, China, Vietnam hata huko North Korea. Ukomunisti ulitoweka na himaya ya USSR ikafa. Urusi imebakia na udikteta na crony capitalism. Angalau China wana mfumo imara wa kidikteta kusimamia uchumi wa soko. Vietnam ni mabepari kamili. Wote uchumi wao unategemea mahsiano na nchi za Magharibi.
Hata Urusi lengo lake sio kuikalia Ukraine kwa sababu Uchumi wa taifa hilo hauna uwezo wa kuhimili hilo.

Lengo la Urusi ni Ukraine iwe dhahifu kijeshi na kiuchumi na ndio maana wanataka kuigawa maana Ukraine yenye nguvu kiuchumi na kijeshi ni hatari sana kwa Urusi na kwa hilo wanakaribia kufanikiwa.
 
Hata Urusi lengo lake sio kuikalia Ukraine kwa sababu Uchumi wa taifa hilo hauna uwezo wa kuhimili hilo.

Lengo la Urusi ni Ukraine iwe dhahifu kijeshi na kiuchumi na ndio maana wanataka kuigawa maana Ukraine yenye nguvu kiuchumi na kijeshi ni hatari sana kwa Urusi na kwa hilo wanakaribia kufanikiwa.
Ukraine yenye nguvu kijeshi ni hatari kwa Urusi kwanini? Urusi ina nguvu kijeshi, ni hatari kwa majirani zake? Ni sahihi nao wakitafuta namna ya kujilinda nae?
 
Alichonifurahisha alipambana Afghanistan kwa miaka 20 kuwaondoa Taliban ili kuwaweka Taliban

Sent from my SM-G5500 using JamiiForums mobile app
Shida yetu ni kudhani tunayajua malengo yao ya vita kuliko wao wanaoenda vitani. Kuna vita haziwi kabisa na lengo la kushinda, bali kutimiza wanachotaka. Wakimaliza wanarudi makwao wanawaachia magofu
 
Wewe

Eti vita ya Vietnam USA alishindwa kuteka hata kijiji.... Hebu amka usingizini punguza chuki na mahaba.... Huyo mnaemshabikia Russia ametangaza mara ngap kuwa atakayemsaidia Ukraine atakutana na moto...

Anataka Ukraine asidiwe vip USA anaisaidia Ukraine na Russia yupo katulia hana cha kufanya USA.... Leo wanaume walikuwa kyiv wamesema ule wakati ambao walikuwa wanausubir basi umewadia wanataka kutumia uzaifu huo
Soma hapa[emoji116]

Ukraine war: US wants to see a weakened Russia​

By Matt Murphy
BBC News
Published9 hours ago
commentsComments
Share
Related Topics
Ukrainian President Zelensky with Secretaries Austin and Blinken
IMAGE SOURCE,EPA
Image caption,
Mr Austin (L) and Mr Blinken (R) became the highest level US officials to travel to Ukraine since the Russian invasion began.

US Defence Secretary Lloyd Austin has said he hopes Russian losses in Ukraine will deter its leadership from repeating its actions elsewhere.
Ukraine can still win the war if given the right support, he added.

He also announced the US would allocate an extra $713m (£559m) of military aid to Ukraine and other European nations.

Russian President Vladimir Putin has accused the West of attempting to "split Russian society and destroy Russia from within".

Mr Austin, a retired four-star general, was speaking after meeting Ukraine's President Volodymyr Zelensky in Kyiv. Also involving Secretary of State Antony Blinken, the visit marked the highest-level trip to Ukraine by US officials since the invasion began over two months ago.

Alafu msome mchambuzi huyo
[emoji116]
President Biden's always made clear that the US won't directly intervene in the war in Ukraine. He won't be sending American troops to join the battle.

But the truth is that the US is getting more deeply involved - and that's been highlighted by the words of the US defence secretary.

America has dramatically increased the supply of weapons to Ukraine in recent weeks. Despite Russian warnings, it's made clear it'll be sending more. Mr Austin's words underline that America is not a bystander in this war. America wants to see Russia defeated.

More than that, it wants to see Russia's military machine reduced to such an extent that it will not be able to threaten any another European ally in the future. The fear, shared by Nato allies, is that any kind of defeat for Ukraine will only embolden President Putin's ambitions.

Mr Austin has now set out clearly that the US has its own strategic goals for this war - even if it's theoretically not participating. The goal is to stop President Putin and to weaken Russia's military to such an extent that it will no longer be able to threaten other nations.

To some extent that's already happened. Military experts already believe it will take years for Russia to recover from its military losses. That might also send a signal to another nation which the US is increasingly concerned about - namely China.

For President Putin it's more evidence that he's not just in a war with Ukraine. No doubt it will feed his own narrative for the purposes of domestic support. He's long portrayed Nato as a threat to Russia.
2px presentational grey line

In recent days Russia has refocussed its advance on Ukraine's eastern Donbas region and US sources believe that Moscow has committed over 76 battalion tactical groups inside Ukraine.

On Monday, the UK's ministry of defence said in an update that Moscow had made minor advances in the region but had "yet to achieve a breakthrough" because of logistical issues.

The update said: "Ukraine's defence of Mariupol has also exhausted many Russian units and reduced their combat effectiveness."

Source BBC
Unamwambia mwana aache mahaba na wewe unaweka mahaba.

Ni kweli Russia alisema atakaye ingilia directly. Hakusema indirectly ndo maana alisema siraha zote kutoka West zitakuwa legitimate target.

So kwa lugha rahisi ni kuwa Chochote kutoka West iwe troops or silaha zitakuwa ni legitimate targets but only if zikiwa ndani ya mipaka ya Ukraine.
 
Kinachowapa jeur americans ni pesa
Nguvu ya Pesa ya Marekani ipo kwenye kuitumia kuuza na kununua mafuta. Russia ni mmoja ya wauzaji wakubwa wa mafuta duniani, sasa ameamua kuuza mafuta yake kwa Ruble. Na nchi nyingine zimeanza kuiga utaratibu huo. Na tumeelezwa mwezi huu Russia kauza mafuta mengi kuliko kawaida. Hii maana yake pesa ya Marekani inazidi kupungua jeuri ya nguvu ama nguvu ya jeuri!! Kiasi ambacho, kikao cha leo huko Uholanzi lazima kitagusia jambo hili kwa uzito wake.
 
Vita vya Vietnam 1955-1975: north vietnam ilikuwa supported na soviet union na south vietnam walikuwa supported na US wakala kichapo cha mbwa koko then wakakimbia vita.
Vita vya kiraia Urussi 1918-1920: wakala kichapo wakakimbia vita.
Vita vya kiraia Laotian, CIA wanaita the secret war 1953-1975: USA wakala kichapo tena wakakimbia uwanja wa vita.
Bay of Pigs Invasion cuba 1961: USA walikuwa wanatoa msaada kwa siri na kuratibu kila kitu mpaka kutuma Brigade 2506, lakini wakepewa kipondo na kukimbia vita.
Multinational Force in Lebanon 1982–1984: USA na wenzake wakala tena kichapo na kuacha virago vitani.
Cambodian Civil War 1967–1975: USA katatindikwa tena.
First U.S. Intervention in the Somali Civil War 1992–1995: USA kapigwa tena.
Vita ndani ya Afghanistan au Taliban war 2001–2021: USA amehangaika kwa miaka 20 mfululizo na mwisho wa siku kama kawaida yake kakimbia vita.

Hizi ni vita vinavyoendela kwa miaka na hakuna dalili ya ushindi kwa USA tena wanaopigana nao ni magaidi ya kiarabu sasa sidhani kama wataweza moto wa Russia.
American intervention in Yemen 2002-mpaka leo bado wanahangaika.
Second U.S. Intervention in the Somali Civil War 2007-mpaka leo.
American-led intervention in Syria 2014–mpaka leo.

Marekani na mikwala yake ya hollywood movies na white supremacy shit, zaidi ya hapo ameshapoteza heshima yake hasa kwenye mgogoro huu wa Russia na Ukraine.
Na kamwe hawatojaribu kwenda direct kupambana na Russia kama wanavyofanya huko kwengine, papa amekutana na simba.
Aah aah bado haujajua maana ya vita.,msako, operetion, mikwara, washawasha n.k


Eti lebanon... Dah

Elimu ya darasani inavuruga saana vijana wetu.... Mtu anameza anakuja kutema kamaliza.

Na hapo ana uhakika kabisa anavimba
 
Alisikika akisema Mkuu wa majeshi ya Marekani

Anasema Marekani ni Taifa kuliko watu wanavyodhani anasema huu ujumbe nadhani Urusi, Iran, IS na North Korea wanaangalia , Kama una akili timamu Amerika ni Nchi ya kuikimbia kwenye vita maana imeona vita, imecheza vita na unajua vita na haipendi vita.

Lakin ukipenda vita na Marekani andaa wa kulea watoto wako maana hutabaki salama! Vita siyo sehemu ya maonesho ya Bunduki kwa amerika bali ni vitendo.

View attachment 2200587
Vitisho hivi labda akamtishe mkewe, ila sio Urusi
 
Russia anafahamu madhara yanayoweza kumpata endapo atashambulia misafara inayopeleka silaha Ukraine toka kwa nchi wanachama wa Nato.

Ninasubiri kuona Russia atafanya nini wiki chache zijazo pale Finland na Sweden watakapopeleka maombi ya kujiunga na Nato.
 
Back
Top Bottom