USA tells Russia : If you are wise America is a phenomena to avoid in war, if you want war with USA prepare someone to raise your Children

USA tells Russia : If you are wise America is a phenomena to avoid in war, if you want war with USA prepare someone to raise your Children

Alisikika akisema Mkuu wa majeshi ya Marekani

Anasema Marekani ni Taifa kuliko watu wanavyodhani anasema huu ujumbe nadhani Urusi, Iran, IS na North Korea wanaangalia , Kama una akili timamu Amerika ni Nchi ya kuikimbia kwenye vita maana imeona vita, imecheza vita na unajua vita na haipendi vita.

Lakin ukipenda vita na Marekani andaa wa kulea watoto wako maana hutabaki salama! Vita siyo sehemu ya maonesho ya Bunduki kwa amerika bali ni vitendo.

View attachment 2200587
Historical Russian are war mongers they born and raised in war, they participated in every big wars in the world and their presence had a positive outcomes unlike Americans who fought wars with minorities Russians fought with giants and won.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Kiduku aliambiwa kama unataka kuona moto ambao hujawahi kushuhudiwa toka dunia iumbwe basi arushe hata jiwe popote duniani kwenye maslahi ya USA aone.... Mpaka Leo Kiduku anaishiaga kurusha hewani kama maputo
Soma hapa[emoji116]
Hivi huwa mnajiona nyie ndio mnasoma na kufuatilia taarifa za duniani peke yenu, si US walio zuia na kusema watamdhibiti mtu yeyote atakayeunda Silaha za nyuklia nini wamefanya kwa North Korea mpaka leo zaidi ya maneno na ng'ebe?

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Huwa ana shindwa lakini huwa anaacha uharibifu na mauaji makubwa.
Hata Urusi akishindwa Ukraine bado maafa aliyo yaacha Ukraine yatadumu kwa muda mrefu sana.
Kwamba wameeua maelfu ya raia, sidhani kama hata wenyewe wanaweza wakajisifia kwa hili.
 
Kiduku aliambiwa kama unataka kuona moto ambao hujawahi kushuhudiwa toka dunia iumbwe basi arushe hata jiwe popote duniani kwenye maslahi ya USA aone.... Mpaka Leo Kiduku anaishiaga kurusha hewani kama maputo
Soma hapa[emoji116]
Yaani arushe tu jiwe bila ya sababu
Hata kama uchizi huu utakua umezidi kama wanataka arushe hata jiwe warushe hata jani pale kwa KIDUKU
 
Afghanistan kapigwa na nani?... Punguzaga mahaba kuna mimba za uzeeni USA alienda Afghanistan kwa malengo yametimia wameondoka kuna sehemu yoyote USA ataikalia Afghanistan milele?
Walienda kwamalengo gani !!?
 
Ni kweli Marekani vita ya Vietnam Haku fanikiwa kuchukua kijiji hata kimoja... Vita ambavyo Marekani Alipigana baada ya vita ya pili ya kwa mafanikio ni Iraq tu napo alitumia takribani siku 38 kuiangusha Baghdad peke yake..... Urusi walionya mtu atakae ingilia vita atakiona cha moto mpaka Sasa hakuna nchi hata moja ilioingilia vita na nategemea mpaka urusi atafanikiwa anachokitaka Ukraine hakuna atakae fanikiwa,.. 2008 urusi alivamia Georgia USA ma wa shirika wake waliishia kupiga mdomo na kutoa silaha mpaka vita inakwisha... Mkuu mimi sio shabiki wa urusi na Marekani ila unapoona mbane mwenzio anamuonea mdhaifu inabidi umsaidie mdhaifu kwa mikwara ya mbali maana unajua uwezo wa mbabe mwenzio na ukiruhusu kumwingilia mtaishia kuumia wote.... Marekani na urusi Hawa wote ni super powers,. Amna wakumzingua mwenzie wanaogopana japo urusi huwa Hawana porojo nyingi uwa w anafanya vitendo zaidi
Siku 22 tu Baghdad ishatekwa na utawala wa Saddam ushaangushwa, Ukraine imeshasaidiwa na viongozi wa juu wa UK na US wamefika kyiv na kuahidi kumsaidia Zelensky.
 
Vita vya Vietnam 1955-1975: north vietnam ilikuwa supported na soviet union na south vietnam walikuwa supported na US wakala kichapo cha mbwa koko then wakakimbia vita.
Vita vya kiraia Urussi 1918-1920: wakala kichapo wakakimbia vita.
Vita vya kiraia Laotian, CIA wanaita the secret war 1953-1975: USA wakala kichapo tena wakakimbia uwanja wa vita.
Bay of Pigs Invasion cuba 1961: USA walikuwa wanatoa msaada kwa siri na kuratibu kila kitu mpaka kutuma Brigade 2506, lakini wakepewa kipondo na kukimbia vita.
Multinational Force in Lebanon 1982–1984: USA na wenzake wakala tena kichapo na kuacha virago vitani.
Cambodian Civil War 1967–1975: USA katatindikwa tena.
First U.S. Intervention in the Somali Civil War 1992–1995: USA kapigwa tena.
Vita ndani ya Afghanistan au Taliban war 2001–2021: USA amehangaika kwa miaka 20 mfululizo na mwisho wa siku kama kawaida yake kakimbia vita.

Hizi ni vita vinavyoendela kwa miaka na hakuna dalili ya ushindi kwa USA tena wanaopigana nao ni magaidi ya kiarabu sasa sidhani kama wataweza moto wa Russia.
American intervention in Yemen 2002-mpaka leo bado wanahangaika.
Second U.S. Intervention in the Somali Civil War 2007-mpaka leo.
American-led intervention in Syria 2014–mpaka leo.

Marekani na mikwala yake ya hollywood movies na white supremacy shit, zaidi ya hapo ameshapoteza heshima yake hasa kwenye mgogoro huu wa Russia na Ukraine.
Na kamwe hawatojaribu kwenda direct kupambana na Russia kama wanavyofanya huko kwengine, papa amekutana na simba.
Kabisaaa
 
Alisikika akisema Mkuu wa majeshi ya Marekani

Anasema Marekani ni Taifa kuliko watu wanavyodhani anasema huu ujumbe nadhani Urusi, Iran, IS na North Korea wanaangalia , Kama una akili timamu Amerika ni Nchi ya kuikimbia kwenye vita maana imeona vita, imecheza vita na unajua vita na haipendi vita.

Lakin ukipenda vita na Marekani andaa wa kulea watoto wako maana hutabaki salama! Vita siyo sehemu ya maonesho ya Bunduki kwa amerika bali ni vitendo.

View attachment 2200587
Ujue hapo wametishika ndio maana. Wameona wamechunguliwa.
Hakuna Superpower aliyebaki milele. Ingekuwa hivyo basi Ottoman, Roman, Mongolia empires zingekuwepo hata leo.
 
Latest version ya Taliban ni tofauti saana na ile ya mwanzo ya akina Mullar Omar, iliyokuwa inahifadhi na kufadhili magaidi Wakubwa akina Osama bin Laden.

Hawa wa sasa angalau walitubu, wakaongoka, wakakiri kubadilika, na wakaahidi kuwa kamwe hawatorudia dhambi ya kuruhusu ardhi yao kutumiwa tena kama hifadhi na maficho ya magaidi (terror haven), wala hawatafadhili magaidi kama mwanzo.

Kuna watu wanadhani Taliban walishinda ile vita. Lakini ukweli ni kuwa Taliban walikabidhiwa nchi yao kwa makubaliano maalum 'US - Taliban Agreement' yaliyosainiwa Doha, Qatar, baada ya majadiliano na makubaliano.

Mbona hawakuipiga Pakistan hata baada ya kumkuta Usama kwao!?
Usiamini sana habari unazolishwa na vyombo vya habari vya mashoga

Sent from my SM-G5500 using JamiiForums mobile app
 
Hiyo ni hotuba ya kurudisha Imani iliyopotea kwa raia wa Marekani.

Hata Kiduku walimwbia hivyohivyo,"all option are on the table"- Kiduku bado yupo.

"Assad must go" Assad bado yupo.

Tuache unafiki Marekani sio wa kuipiga mkwara Urusi.

Au labda anazungzia matumizi ya nyukilia kwa kushitukiza.

Washabiki bana,mmekalia kushabikia vijineno Sasa.

Ooh Urusi amezoea safari hii wanamsubiri TU akiivamia Ukraine hawamwachi.kavamia Sasa imebaki vikao TU Kila siku na kupeleka vijisilaha vinavyoishia kuteketezwa.

Hebu tuache ushabiki wa kitoto,vita ya Urusi na Marekani haitakua kama vita tulizozizoea kuzisikia na kuziona.

Urusi sio Vietnam, Iraq, Afghanistan, Yugoslavia, Libya, Panama, Somalia, wala sio Alqaida, ISIS.

Kama alivyosema Rais wa Marekani Bideni Safari hii wanadili na moja ya jeshi kubwa Duniani.
hakuna siku itaja tokea US VS RUSSIA wakapigana head on, haipo!
kwa sababu hapatakuwa na mshindi, na wao wanajua hilo.... ila ulaya itabaki vumbi!
 
Mbona hawakuipiga Pakistan hata baada ya kumkuta Usama kwao!?
Usiamini sana habari unazolishwa na vyombo vya habari vya mashoga

Sent from my SM-G5500 using JamiiForums mobile app
Pakistan ndo walisaidia kuelekeza maficho ya Osama.
Tuwekee hapa habari zako za kweli basi..
And by the way, mashoga wapo kibao tu Zenji hapo na ukanda wa Pwani!
 
Aisee ndo maana marekani wanashindaga vita Hotuba ya Jamaa imejaa ushawishi hata Kama hamtaki Mtaenda si Kama warusi wanaolazimishwa

Hamna kitu hapo. Wangekuwa na jeuri kiasi hicho kusingekuwa na kina Kiduku aliyewalazimisha kwenda kumpigia magoti walipoona ameanza kujipanga.

Kusingekuwa na viongozi kama Maduro wanaosimama mpaka kesho dhidi yao. Kusingekuwa na serikali kama za Cuba waliojitetea na kusimama bila woga dhidi ya Marekani mpaka leo.

Kimsingi, nachojaribu kusema ni kwamba. Ni kweli huko nyuma Marekani alikuwa tishio, kiuchumi, kijasusi na kivita. Hii iliwapa mataifa mengi hasira kwasababu Marekani alitumia nafasi yake kuwanyanyasa wengine na sisi binadamu huwa tuna kitu ndani yetu, mtu akikunyanyasa inajengeka hasira ndani yetu ya kutaka kukomesha hiyo kadhia.

Hii ilipelekea mataifa mengi kuamua kuwekeza kwenye silaha hatari pamoja na vikwazo. Mataifa yaliamua kusema hakuna kutiwa vidole na Marekani eti kisa nguvu ya kijeshi.

Matokeo yake leo hii Marekani anaishia kubwaka tu kwa Urusi na matiaifa mengine. Ameshindwa kuiondoa Taleban, kumuondoa Maduro, kumuondoa Asaad na Kiduku ujue siyo rahisi tena.

Kadiri siku zinavyokwenda, wengi wanaanza kuelewa ukatili wa Marekani na unyanyasaji wake ni wa muda tu.

Mataifa yanafanya uchunguzi ya kila aina kupunguza ujinga wa Marekani duniani.

Binafsi natamani nguvu ya Marekani ipunguzwe tutakuwa na amani duniani.
 
Back
Top Bottom