USA wako serious sana. Uchumi wao ni mkubwa sana 30 trillion USD

USA wako serious sana. Uchumi wao ni mkubwa sana 30 trillion USD

Muda si mrefu Uchumi wa USA unafika 30 trillion USD.

Uchumi wa USA ni mkubwa Sana. Ni rahisi kuitawala dunia kwa huo uchumi

Mchina ana safari ndefu Sana.

Ana watu 1.4 billion na uchumi bado ni 18 trillion.
Wait and see.
 
huwa nashangazwa sana na waafrika wanapoicheka uchina kuwa na uchumi mdogo vs USA, vp khs afrika yenu vs USA? kwa nini mnaiponda China? au wewe ni USA au EU labda? au unajisahau na kufikiri wewe ni mzungu labda? mnasahahu miaka ya 60’ china ilikuwa masikini kama au klk hata afrika yetu, miaka 60 baadaye wameondoa njaa, wameboresha maisha ya watu wao, leo hii ni one of the most important countries duniani, wakati afrika yenu imerudi nyuma, per capital income ya afrika yetu ilikuwa higher wakati wa ukoloni klk leo hii, bado tunahangaika na chakula tu milo 3 kwa siku shida, sijaongelea mambo ya afya au hata makazi lkn bado unacheka Uchina?
 
Muda si mrefu Uchumi wa USA unafika 30 trillion USD.

Uchumi wa USA ni mkubwa Sana. Ni rahisi kuitawala dunia kwa huo uchumi

Mchina ana safari ndefu Sana.

Ana watu 1.4 billion na uchumi bado ni 18 trillion.
Ngoja waje wale wanaoichukia USA bila sababu za msingi watakuambia Canada na China ndizo zipo juu kiuchumi.
 
Muda si mrefu Uchumi wa USA unafika 30 trillion USD.

Uchumi wa USA ni mkubwa Sana. Ni rahisi kuitawala dunia kwa huo uchumi

Mchina ana safari ndefu Sana.

Ana watu 1.4 billion na uchumi bado ni 18 trillion.
Atamvuta muda si mrefu
 
huwa nashangazwa sana na waafrika wanapoicheka uchina kuwa na uchumi mdogo vs USA, vp khs afrika yenu vs USA? kwa nini mnaiponda China? au wewe ni USA au EU labda? au unajisahau na kufikiri wewe ni mzungu labda? mnasahahu miaka ya 60’ china ilikuwa masikini kama au klk hata afrika yetu, miaka 60 baadaye wameondoa njaa, wameboresha maisha ya watu wao, leo hii ni one of important countries duniani, wakati afrika yenu imerudi nyuma, per capital income ya afrika yetu ilikuwa higher wakati wa ukoloni klk leo hii, bado tunahangaika na chakula tu milo 3 kwa siku shida, sijaongelea mambo ya afya au hata makazi lkn bado unacheka Uchina?
Walizaliana mno na wakawa na utawala wa kibabe. Mfano jpm angetawala hata miaka 40-50 nadhani tungeweza kwenda mbali mno
 
Back
Top Bottom