Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Homelessness ndio ubepari wenyewe, ni namna ya kucontrol uvivu kibepari. Amka ukafanye kazi, ishi kwenye mifumo ili upate one, two and three. Usipofanya kazi au ukiishi nje ya mfumo utakosa moja mbili tatu.Uchumi wakati watu kibao ni homeless kwenye Hilo Taifa
Africa hata haina demokrasia ukiacha nchi chache kama za Africa Kusini, Botswana, Kenya, Senegal, Zambia, Namibia, na MauritiusDemokrasia ni ungese mkubwa kinyama,we need Hitler kadhaaa afrika mbona tunawapita hao jamaa Kama wamesimama
Toka uhuru hadi leo Afrika ndio bara ambalo limetawaliwa sana na madikteta kuliko karibu mabara yote lakini leo hii ndio bara maskini kuliko mabara yote duniani.Demokrasia ni ungese mkubwa kinyama,we need Hitler kadhaaa afrika mbona tunawapita hao jamaa Kama wamesimama
Hakuna uhusiano wa maendeleo ya nchi fulani na mfumo unao iongoza.Toka uhuru hadi leo Afrika ndio bara ambalo limetawaliwa sana na madikteta kuliko karibu mabara yote lakini leo hii ndio bara maskini kuliko mabara yote duniani.
Maendeleo sio kwamba uwe na utawala wa kiimla kwani ingekuwa hivyo basi leo hii Russia au Korea Kaskazini ndizo zingekuwa mataifa tajiri sana duniani.
Upo uhusiano mkubwa kati ya mfumo wa kiutawala na maendeleo, exceptions zipo pia kama za uarabuniHakuna uhusiano wa maendeleo ya nchi fulani na mfumo unao iongoza.
Tanzania bado changa kaka.huwa nashangazwa sana na waafrika wanapoicheka uchina kuwa na uchumi mdogo vs USA, vp khs afrika yenu vs USA? kwa nini mnaiponda China? au wewe ni USA au EU labda? au unajisahau na kufikiri wewe ni mzungu labda? mnasahahu miaka ya 60’ china ilikuwa masikini kama au klk hata afrika yetu, miaka 60 baadaye wameondoa njaa, wameboresha maisha ya watu wao, leo hii ni one of important countries duniani, wakati afrika yenu imerudi nyuma, per capital income ya afrika yetu ilikuwa higher wakati wa ukoloni klk leo hii, bado tunahangaika na chakula tu milo 3 kwa siku shida, sijaongelea mambo ya afya au hata makazi lkn bado unacheka Uchina?
Kweli uchumi wao unaonekana mkubwa, ila ukiangalia kwa karibu, unapata maswali yanayoweza kufikirisha. Kwa mfano, Marekani inasema uchumi wake ni $30 trilioni, lakini deni lake ni $33 trilioni. Hii ni kama mtu anayesema ana pesa nyingi, lakini ukweli ni kwamba pesa zake zote ni za mkopo—si zake halisi. Je, unadhani mtu wa aina hii anaweza kusema ni tajiri kweli?
Pia, pesa nyingi za Marekani zinahesabiwa kwenye huduma kama benki na masoko ya hisa, sio kwenye uzalishaji wa vitu halisi kama viwanda au kilimo. Hii ni kama mtu anayependa kuuza ndoto badala ya bidhaa halisi. Uchumi wa aina hii unategemea sana imani ya watu badala ya vitu vya kweli.
Zaidi ya hayo, pesa hizo $30 trilioni hazigawiwi sawa kwa watu wote. Matajiri wachache sana ndio wanamiliki karibu pesa zote, huku watu wa kawaida wakipambana kuishi. Hii ni kama familia inayojigamba kuwa na pesa nyingi, lakini baba peke yake ndiye anayeishi maisha ya kifahari huku watoto wake wakihangaika kupata chakula.
Na usisahau, serikali ya Marekani hutumia pesa nyingi sana kwenye mambo kama jeshi, na pesa hizo nyingi zinatoka kwa mikopo. Hii ni kama mtu anayejenga nyumba kubwa kwa mikopo, lakini hajui atairudishaje pesa hiyo baadaye.
Kwa hiyo, ingawa uchumi wao unaonekana mkubwa, ukweli ni kwamba sehemu kubwa ya ukuaji huo ni wa bandia. Kama ungekuwa na mwenzako anayejisifu kwa mali alizonazo, lakini mali hiyo ni ya kukopa, ungemshauri ajijenge vizuri zaidi. Ndivyo tunavyoweza kujifunza kutoka Marekani.
27.36 trillion USD
Lakini wakati huo deni lake ni kubwa kuliko GDP yake.
Uongo mkubwa. Marekani haizalishi??Kweli uchumi wao unaonekana mkubwa, ila ukiangalia kwa karibu, unapata maswali yanayoweza kufikirisha. Kwa mfano, Marekani inasema uchumi wake ni $30 trilioni, lakini deni lake ni $33 trilioni. Hii ni kama mtu anayesema ana pesa nyingi, lakini ukweli ni kwamba pesa zake zote ni za mkopo—si zake halisi. Je, unadhani mtu wa aina hii anaweza kusema ni tajiri kweli?
Pia, pesa nyingi za Marekani zinahesabiwa kwenye huduma kama benki na masoko ya hisa, sio kwenye uzalishaji wa vitu halisi kama viwanda au kilimo. Hii ni kama mtu anayependa kuuza ndoto badala ya bidhaa halisi. Uchumi wa aina hii unategemea sana imani ya watu badala ya vitu vya kweli.
Zaidi ya hayo, pesa hizo $30 trilioni hazigawiwi sawa kwa watu wote. Matajiri wachache sana ndio wanamiliki karibu pesa zote, huku watu wa kawaida wakipambana kuishi. Hii ni kama familia inayojigamba kuwa na pesa nyingi, lakini baba peke yake ndiye anayeishi maisha ya kifahari huku watoto wake wakihangaika kupata chakula.
Na usisahau, serikali ya Marekani hutumia pesa nyingi sana kwenye mambo kama jeshi, na pesa hizo nyingi zinatoka kwa mikopo. Hii ni kama mtu anayejenga nyumba kubwa kwa mikopo, lakini hajui atairudishaje pesa hiyo baadaye.
Kwa hiyo, ingawa uchumi wao unaonekana mkubwa, ukweli ni kwamba sehemu kubwa ya ukuaji huo ni wa bandia. Kama ungekuwa na mwenzako anayejisifu kwa mali alizonazo, lakini mali hiyo ni ya kukopa, ungemshauri ajijenge vizuri zaidi. Ndivyo tunavyoweza kujifunza kutoka Marekani.
Ingekuwa hivyo basi nchi zinazo ongozwa kwa democracy yote yangekuwa tajiri na yale yanayo itwa ya kidkiteta yote yangekuwa masikini lakini ni tofauti.Upo uhusiano mkubwa kati ya mfumo wa kiutawala na maendeleo, exceptions zipo pia kama za uarabuni
Sijasema demokrasia inaleta utajiri wala udikteta unaleta umaskini, nimeongelea pia exceptionsIngekuwa hivyo basi nchi zinazo ongozwa kwa democracy yote yangekuwa tajiri na yale yanayo itwa ya kidkiteta yote yangekuwa masikini lakini ni tofauti.
Usilete ubishi GDP ya Marekani ukuaji wake kwa kiasi kikubwa unategemea hisa na masoko ya kifedha na sio viwanda kama China , Ujerumani au JapanUongo mkubwa. Marekani haizalishi??
Hisa za nini? Za hewa? Sio za za makampuni na viwanda??Usilete ubishi GDP ya Marekani ukuaji wake kwa kiasi kikubwa unategemea hisa na masoko ya kifedha na sio viwanda kama China , Ujerumani au Japan
Ndio maana nimesema kuwa hakuna uhusiano wa maendeleo ya nchi na mfumo unao tumika kuongoza nchi.Sijasema demokrasia inaleta utajiri wala udikteta unaleta umaskini, nimeongelea pia exceptions