USA wako serious sana. Uchumi wao ni mkubwa sana 30 trillion USD

USA wako serious sana. Uchumi wao ni mkubwa sana 30 trillion USD

Uongo mkubwa. Marekani haizalishi??
Wew unatumia mini
Huwezi kulinganisha uzalishaji wake na nchi kama China au Japan; USA ukiangalia kampuni kubwa sana zinazoingiza pato kubwa hata hazizalishi bidhaa bali huduma; fikiria kampuni kama Meta (FB, Whatsapp, instagram etc), hawa wanatengeneza pesa ndefu ila wanaajiri watu wachache
Nenda nchi zenye viwanda vingi au kilimo ndio uti wa mgongo hata utajiri uliopo nchini unaakisi asilimia kubwa maendeleo ya watu
Jiulize tajiri kama Elon Musk, yaani ndio tajiri wa kwanza duniani lakini karibia kampuni zake zote bado hazizalishi faida kujustify yeye kuwa tajiri wa kwanza duniani (utajiri wake wa $400 B upo kwenye makaratasi pamoja na imani juu yake katika soko la hisa na kukopesheka mabenki)
Babble economic ukitokea threat yoyote dunia unaporomoka hatakama ni ya uongo
 
huwa nashangazwa sana na waafrika wanapoicheka uchina kuwa na uchumi mdogo vs USA, vp khs afrika yenu vs USA? kwa nini mnaiponda China? au wewe ni USA au EU labda? au unajisahau na kufikiri wewe ni mzungu labda? mnasahahu miaka ya 60’ china ilikuwa masikini kama au klk hata afrika yetu, miaka 60 baadaye wameondoa njaa, wameboresha maisha ya watu wao, leo hii ni one of the most important countries duniani, wakati afrika yenu imerudi nyuma, per capital income ya afrika yetu ilikuwa higher wakati wa ukoloni klk leo hii, bado tunahangaika na chakula tu milo 3 kwa siku shida, sijaongelea mambo ya afya au hata makazi lkn bado unacheka Uchina?
Miaka ya sitini china wanaweza kuwa walikuwa na uchumi mdogo lakini hawakuwa masikini
 
Uchumi wa masoko ya hisa hauna tofauti na uwe na simba wa makaratasi, anaweza kuogopesha wetu kwa mbali ila akisogolewa jirani anapoteza maajabu

USA ukiondoa jeshi na sarafu yake kuwa global reserve currency uchumi wake hauna maajabu; kapoteza hadi industrial capacity ya kuzalisha silaha zoke kama vita ya pili ya dunia, na mbaya zaidi ya hapo kahamishia shughuli za uzalishaji Asia na nchi za Amerika ya kusini; misingi yote aliyotumia kujenga uchumi wake sahizi imekuwa tope
Ndivyo ilivyo au unataka iwe hivyo?
Kuna tofauti kubwa kati ya situations hizo mbili. Hakuna duniani nchi inayoikaribia marekani katika technology. Tofautisha technology na MVA (Manufacturing Value Added).
Yaani Qualcomm ni kampuni iliyopo Chicago na Samsung ipo South Korea.

The whole brain is coming from Chicago (Qualcomm's Snapdragon), user interface licensed by a San Fransisco company (Google) ila simu Manufactured by Samsung.
Jeshi na Sarafu?
GPS is owned by US, yaani imeachia private GPS free itumiwe duniani na ikitaka inazima GPS.
Na hakuna nchi duniani inayoipita Marekani kwa kuuza chakula Duniani, au mazao ya kilimo.
 
Umemuuliza vzr. Hizo hisa za hewa..? Kama sio makampuni makubwa saana imagine kampuni kama apple ambayo ni kubwa sana njoo kule boeing nk makampuni/viwanda vikubwa vipo US aaache upuuzi wake. Eti Us haina viwanda 😂😂😂😂 eti haizalishi. Hizo boeing, iphone nk ni mawe yakuokota ty ama
Mkuu kuna watu wamezoea vile viwanda vya kichina vya mitaji ya tsh. Million 10 kama vile vya Mwijage wa kipindi cha jiwe vilivyotapakaa China basi wanajua uyo ndo anazalisha. Hawajui kwamba kampuni moja ya kimarekani kama coca cola mtaji wake ni mamia ya viwanda vya kichina
 
Ndivyo ilivyo au unataka iwe hivyo?
Kuna tofauti kubwa kati ya situations hizo mbili. Hakuna duniani nchi inayoikaribia marekani katika technology.
Una hakika na unachosema au unaishi katika nyakati zilizopita ?
 
Mkuu kuna watu wamezoea vile viwanda vya kichina vya mitaji ya tsh. Million 10 kama vile vya Mwijage wa kipindi cha jiwe vilivyotapakaa China basi wanajua uyo ndo anazalisha. Hawajui kwamba kampuni moja ya kimarekani kama coca cola mtaji wake ni mamia ya viwanda vya kichina
Unaongea ujinga hakuna kiwanda cha mtaji wa Tshs 10mln mtaji usiofikia hata pesa ya kufungulia genge la kuuzia bidhaa za majumbani.

Huna akili
 
Kweli uchumi wao unaonekana mkubwa, ila ukiangalia kwa karibu, unapata maswali yanayoweza kufikirisha. Kwa mfano, Marekani inasema uchumi wake ni $30 trilioni, lakini deni lake ni $33 trilioni. Hii ni kama mtu anayesema ana pesa nyingi, lakini ukweli ni kwamba pesa zake zote ni za mkopo—si zake halisi. Je, unadhani mtu wa aina hii anaweza kusema ni tajiri kweli?

Pia, pesa nyingi za Marekani zinahesabiwa kwenye huduma kama benki na masoko ya hisa, sio kwenye uzalishaji wa vitu halisi kama viwanda au kilimo. Hii ni kama mtu anayependa kuuza ndoto badala ya bidhaa halisi. Uchumi wa aina hii unategemea sana imani ya watu badala ya vitu vya kweli.

Zaidi ya hayo, pesa hizo $30 trilioni hazigawiwi sawa kwa watu wote. Matajiri wachache sana ndio wanamiliki karibu pesa zote, huku watu wa kawaida wakipambana kuishi. Hii ni kama familia inayojigamba kuwa na pesa nyingi, lakini baba peke yake ndiye anayeishi maisha ya kifahari huku watoto wake wakihangaika kupata chakula.

Na usisahau, serikali ya Marekani hutumia pesa nyingi sana kwenye mambo kama jeshi, na pesa hizo nyingi zinatoka kwa mikopo. Hii ni kama mtu anayejenga nyumba kubwa kwa mikopo, lakini hajui atairudishaje pesa hiyo baadaye.

Kwa hiyo, ingawa uchumi wao unaonekana mkubwa, ukweli ni kwamba sehemu kubwa ya ukuaji huo ni wa bandia. Kama ungekuwa na mwenzako anayejisifu kwa mali alizonazo, lakini mali hiyo ni ya kukopa, ungemshauri ajijenge vizuri zaidi. Ndivyo tunavyoweza kujifunza kutoka Marekani.

Kama ni hivyo Marekani watakua wanaishia kwa dhiki sana kumbe hamna kitu. Sasa kwanini wachina kila siku wanakimbilia Marekani?
 
Kiwanja ni kimoja tu- USA.

Kila mtu duniani ndoto yake ni kufika Marekani. Kizimkazi nasikia kacheza green card lottery 😅
 
Uchumi wa masoko ya hisa hauna tofauti na uwe na simba wa makaratasi, anaweza kuogopesha wetu kwa mbali ila akisogolewa jirani anapoteza maajabu

USA ukiondoa jeshi na sarafu yake kuwa global reserve currency uchumi wake hauna maajabu; kapoteza hadi industrial capacity ya kuzalisha silaha zoke kama vita ya pili ya dunia, na mbaya zaidi ya hapo kahamishia shughuli za uzalishaji Asia na nchi za Amerika ya kusini; misingi yote aliyotumia kujenga uchumi wake sahizi imekuwa tope
Now ndio wako kwenye program ya kurudisha manufacturing US, imekuwa ni sera ya trump tokea aliposhika madaraka awamu ya kwanza, lakini pia even biden kalizungumzia hili suala sana.
Wameshaanza kujenga baadhi ya viwanda, starting with chips manufacturing, wanaondoa dependency kutoka taiwan, incase wakivamiwa na china

But yes hiyo ilikuwa moja ya mistakes, japokuwa idea ilikuwa ni kupata cheap labour na ku expand ushawishi dunian
 
Umemuuliza vzr. Hizo hisa za hewa..? Kama sio makampuni makubwa saana imagine kampuni kama apple ambayo ni kubwa sana njoo kule boeing nk makampuni/viwanda vikubwa vipo US aaache upuuzi wake. Eti Us haina viwanda 😂😂😂😂 eti haizalishi. Hizo boeing, iphone nk ni mawe yakuokota ty ama
Utajiri wa soko la hisa sio lazima uakisi uhalisia wa kilichopo
Kama ni hivyo Marekani watakua wanaishia kwa dhiki sana kumbe hamna kitu. Sasa kwanini wachina kila siku wanakimbilia Marekani?
Wanapenda Marekani sio wachina kapuku, anaeyeenda Marekani tayari anajiweza; huko unakuta wanaenda kwajili ya fursa mpya za kiuchumi na elimu (utakuwaje kiwanda cha uzalishaji wa bidhaa za dunia bila watu wako kwenda hizo nchi kuteka masoko)
 
Now ndio wako kwenye program ya kurudisha manufacturing US, imekuwa ni sera ya trump tokea aliposhika madaraka awamu ya kwanza, lakini pia even biden kalizungumzia hili suala sana.
Wameshaanza kujenga baadhi ya viwanda, starting with chips manufacturing, wanaondoa dependency kutoka taiwan, incase wakivamiwa na china

But yes hiyo ilikuwa moja ya mistakes, japokuwa idea ilikuwa ni kupata cheap labour na ku expand ushawishi dunian
Washachelewa; by the time wafanikiwe kuridhisha viwanda nyumbani China itakua ishaanza expand manufacturing base kwenda third world economies
 
Washachelewa; by the time wafanikiwe kuridhisha viwanda nyumbani China itakua ishaanza expand manufacturing base kwenda third world economies
Thats right, in their vision mpaka 2035 watakuwa wameondoa dependency on outside manufacturing
 
Miaka ya sitini china wanaweza kuwa walikuwa na uchumi mdogo lakini hawakuwa masikini

inategemea kwako umaskini maana yake nini, mamilioni ya watu (>50 million) walikufa njaa china wakati wa mao, sasa tajiri atakufaje njaa, kama mtu mwenye akili timamu anakufa njaa maana yake ni kwamba hana chakula na hana uwezo wa kununua chakula, hapa siongelei lishe au sijui utapia mlo ambapo mtu anakosa afya kwa kukosa lishe bora bali naongelea kukosekana kwa chakula kabisa na kufariki kwa njaa, ilitokea china miaka 60’ , sasa sijawahi kusikia tanzagiza watu wengi namna hiyo wakifa kwa kukosa chakula labda ilishatokea lkn sina ushahidi lkn ilitokea Ethiopia pia …
 
Hisa za nini? Za hewa? Sio za za makampuni na viwanda??
Coca-Cola, adidas, iPhone, dell, Pfizer n.k wakiuza hisa sio viwanda vimeuza hisa??
Umemuuliza vzr. Hizo hisa za hewa..? Kama sio makampuni makubwa saana imagine kampuni kama apple ambayo ni kubwa sana njoo kule boeing nk makampuni/viwanda vikubwa vipo US aaache upuuzi wake. Eti Us haina viwanda 😂😂😂😂 eti haizalishi. Hizo boeing, iphone nk ni mawe yakuokota ty aman
Utajiri wa soko la hisa sio lazima uakisi uhalisia wa kilichopo
Wanapenda Marekani sio wachina kapuku, anaeyeenda Marekani tayari anajiweza; huko unakuta wanaenda kwajili ya fursa mpya za kiuchumi na elimu (utakuwaje kiwanda cha uzalishaji wa bidhaa za dunia bila watu wako kwenda hizo nchi kuteka masoko)
Nitajie kiwanda cha china kinachozidi tu boeing..?
 
Back
Top Bottom