USA wako serious sana. Uchumi wao ni mkubwa sana 30 trillion USD

USA wako serious sana. Uchumi wao ni mkubwa sana 30 trillion USD

Ndivyo ilivyo au unataka iwe hivyo?
Kuna tofauti kubwa kati ya situations hizo mbili. Hakuna duniani nchi inayoikaribia marekani katika technology. Tofautisha technology na MVA (Manufacturing Value Added).
Yaani Qualcomm ni kampuni iliyopo Chicago na Samsung ipo South Korea.

The whole brain is coming from Chicago (Qualcomm's Snapdragon), user interface licensed by a San Fransisco company (Google) ila simu Manufactured by Samsung.
Jeshi na Sarafu?
GPS is owned by US, yaani imeachia private GPS free itumiwe duniani na ikitaka inazima GPS.
Na hakuna nchi duniani inayoipita Marekani kwa kuuza chakula Duniani, au mazao ya kilimo.
Hizo tech ndo nchi nyingien gaina au umekaririshwa hapo
 
Mkuu kuna watu wamezoea vile viwanda vya kichina vya mitaji ya tsh. Million 10 kama vile vya Mwijage wa kipindi cha jiwe vilivyotapakaa China basi wanajua uyo ndo anazalisha. Hawajui kwamba kampuni moja ya kimarekani kama coca cola mtaji wake ni mamia ya viwanda vya kichina
Kabisa mkuu. Na viwanda vya US ni viwanda kweli sio hv processinh
 
Uchumi wa China ni mkubwa kwa kutumia kigezo cha PPP, ndo maana marekani wameshindwa kushindana nae kwenye soko huru wanaishia kuweka vikwakwazo. Mtu akiwa na dola 100 china anawwza kuafford vitu vingi zaidi kuliko aliyoko USA mwenye kiasi hicho hicho
 
huwa nashangazwa sana na waafrika wanapoicheka uchina kuwa na uchumi mdogo vs USA, vp khs afrika yenu vs USA? kwa nini mnaiponda China? au wewe ni USA au EU labda? au unajisahau na kufikiri wewe ni mzungu labda? mnasahahu miaka ya 60’ china ilikuwa masikini kama au klk hata afrika yetu, miaka 60 baadaye wameondoa njaa, wameboresha maisha ya watu wao, leo hii ni one of the most important countries duniani, wakati afrika yenu imerudi nyuma, per capital income ya afrika yetu ilikuwa higher wakati wa ukoloni klk leo hii, bado tunahangaika na chakula tu milo 3 kwa siku shida, sijaongelea mambo ya afya au hata makazi lkn bado unacheka Uchina?
Mkuu,

Wape nafasi Waafrika wanaotaka kujadili chumi kubwa za dunia wazijadili bila kuweka ulazima wa chumi za Africa ambazo hazimo katika list ya chumi kubwa za dunia.

Ifikie wakati wanaotaka kufanya maongezi ya kidhahania kuhusu nchi nyingine waweze, si kila kitu kazima kitaje Africa ili kuwa na maana.

Mwishowe watu wataanza kujadili michezo ya winter kama skiing ambayo Africa haipo, na hapo napo utataka kuichomeka Africa.

Kama tunalinganisha chumi mbili kubwa za dunia obviously tutaongelea US na China. Hapo kutaka kuichomeka Africa ni ubishi tu.
 
Uchumi wa China ni mkubwa kwa kutumia kigezo cha PPP, ndo maana marekani wameshindwa kushindana nae kwenye soko huru wanaishia kuweka vikwakwazo. Mtu akiwa na dola 100 china anawwza kuafford vitu vingi zaidi kuliko aliyoko USA mwenye kiasi hicho hicho
Mkuu,

Ukiongelea soko huru Mchina naye amefanya hela yake Yuan iwe na thamani ndogo kuliko inavyopanda kwa soko huru ili ku promote exports za viwanda vyake.

Hivyo usiseme upande mmoja tu wa soko huru, kuna upande mwingine wa soko huru ambao China haiutaki na ukiruhusiwa itapata shida kushindana na Marekani.
 
Na deni la taifa ni $36 trillion
Hahaa.

Ukipima debt to GDP ratio ndiyo utaelewa kwa nini Mwigulu Nchemba anasema "deni letu linahimilika".

Ingawa ukisema deni linahimilika kila siku na kuendelea kukopa kuna siku halitahimilika.
 
Muda si mrefu Uchumi wa USA unafika 30 trillion USD.

Uchumi wa USA ni mkubwa Sana. Ni rahisi kuitawala dunia kwa huo uchumi

Mchina ana safari ndefu Sana.

Ana watu 1.4 billion na uchumi bado ni 18 trillion.
Mchina alipo toka na alipo sasa hivi si pakubeza.
 
Uchumi mzuri ni ule unao zalisha na sio unao toa huduma.
Hapana siyo kweli. Ndiyo maana hizo nchi ulizotaja zinategemea kwa zaidi ya asilimia 70 kwenye huduma.
 
huwa nashangazwa sana na waafrika wanapoicheka uchina kuwa na uchumi mdogo vs USA, vp khs afrika yenu vs USA? kwa nini mnaiponda China? au wewe ni USA au EU labda? au unajisahau na kufikiri wewe ni mzungu labda? mnasahahu miaka ya 60’ china ilikuwa masikini kama au klk hata afrika yetu, miaka 60 baadaye wameondoa njaa, wameboresha maisha ya watu wao, leo hii ni one of the most important countries duniani, wakati afrika yenu imerudi nyuma, per capital income ya afrika yetu ilikuwa higher wakati wa ukoloni klk leo hii, bado tunahangaika na chakula tu milo 3 kwa siku shida, sijaongelea mambo ya afya au hata makazi lkn bado unacheka Uchina?
Unatakiwa uwafungulie darasa maalumu la mambo haya. Maana wanaonekana ni weupe sana vichwani.
 
Hizo tech ndo nchi nyingien gaina au umekaririshwa hapo
Technology zao ni za hali ya chini kulinganisha na Marekani. Ila kulinganisha na Africa ni kama mbingu na nchi.
Huo ni ukweli.
 
Mkuu,

Wape nafasi Waafrika wanaotaka kujadili chumi kubwa za dunia wazijadili bila kuweka ulazima wa chumi za Africa ambazo hazimo katika list ya chumi kubwa za dunia.

Ifikie wakati wanaotaka kufanya maongezi ya kidhahania kuhusu nchi nyingine waweze, si kila kitu kazima kitaje Africa ili kuwa na maana.

Mwishowe watu wataanza kujadili michezo ya winter kama skiing ambayo Africa haipo, na hapo napo utataka kuichomeka Africa.

Kama tunalinganisha chumi mbili kubwa za dunia obviously tutaongelea US na China. Hapo kutaka kuichomeka Africa ni ubishi tu.

kujadili ni tofauti na kucheka na kukejeri, sijamkataza na wala sina uwezo wa kumkataza mtu kujadili chochote ila tu kwangu inashangaza kidogo kucheka na kudharau mtu ambaye amefanya jitihada kubwa kujinasua wakati wewe unayemcheka uko chini kabisa kwa vipimo vyote vya kibinadamu tuvijuavyo, tanzagiza ukinunua gari dogo wanakucheka kwamba ni gari kike wakati hao wanaokucheka hata milo 3 kwa siku ni shida, ni ngumu kidogo kuelewa ni hivyo tu …
 
kujadili ni tofauti na kucheka na kukejeri, sijamkataza na wala sina uwezo wa kumkataza mtu kujadili chochote ila tu kwangu inashangaza kidogo kucheka na kudharau mtu ambaye amefanya jitihada kubwa kujinasua wakati wewe unayemcheka uko chini kabisa kwa vipimo vyote vya kibinadamu tuvijuavyo, tanzagiza ukinunua gari dogo wanakucheka kwamba ni gari kike wakati hao wanaokucheka hata milo 3 kwa siku ni shida, ni ngumu kidogo kuelewa ni hivyo tu …
Umejuaje kama yeye ni Muafrika na siyo mmarekani?
 
Mkuu,

Wape nafasi Waafrika wanaotaka kujadili chumi kubwa za dunia wazijadili bila kuweka ulazima wa chumi za Africa ambazo hazimo katika list ya chumi kubwa za dunia.

Ifikie wakati wanaotaka kufanya maongezi ya kidhahania kuhusu nchi nyingine waweze, si kila kitu kazima kitaje Africa ili kuwa na maana.

Mwishowe watu wataanza kujadili michezo ya winter kama skiing ambayo Africa haipo, na hapo napo utataka kuichomeka Africa.

Kama tunalinganisha chumi mbili kubwa za dunia obviously tutaongelea US na China. Hapo kutaka kuichomeka Africa ni ubishi tu.
Saudi Arabia wanajenga ski city ya $billion 500 kwa ajili ya michezo ya barafu.
 
kujadili ni tofauti na kucheka na kukejeri, sijamkataza na wala sina uwezo wa kumkataza mtu kujadili chochote ila tu kwangu inashangaza kidogo kucheka na kudharau mtu ambaye amefanya jitihada kubwa kujinasua wakati wewe unayemcheka uko chini kabisa kwa vipimo vyote vya kibinadamu tuvijuavyo, tanzagiza ukinunua gari dogo wanakucheka kwamba ni gari kike wakati hao wanaokucheka hata milo 3 kwa siku ni shida, ni ngumu kidogo kuelewa ni hivyo tu …
Nani kacheka au kukejeli na kacheka au kakejeli kwa muktadha gani?

Weka post hapa tuichambue.

Mtu anaweza kuicheka au kuikejeli China kwa muktadha wa kutoka Marekani na akawa sawa tu. Kwa sababu mjadala ni kati ya China na Marekani Tanzania haipo hapo.

Ni sawa na mtu anavyoweza kuikejeli Manchester United kwa kuilinganisha na Manchester City bila kuhitaji kuichomeka Simba wala Yanga.

Ukileta habari za Tanzania unalazimisha tu.
 
Saudi Arabia wanajenga ski city ya $billion 500 kwa ajili ya michezo ya barafu.
Saudi Arabia si Africa mkuu. Nimeitaja Africa.

Yani nimesema watataka kuichomekea Africa hiyo ukaona haitoshi wewe umeichomekea Saudi Arabia.

Mradi uchomekee tu.
 
Hapana siyo kweli. Ndiyo maana hizo nchi ulizotaja zinategemea kwa zaidi ya asilimia 70 kwenye huduma.
Kati Instagram na mafuta ni kipi muhimu katika maisha ya kila siku kwa binadamu?
Hivi ulisha wahi kujiuliza ni kwa nini Urusi na Ukrain zina GDP ndogo lakini baada ya kuingia vitani uchumi wa dunia nzima ulitikisika ?
 
Back
Top Bottom