USA yalalamika kuwa Sergei Surovikin, kamanda mpya wa Urusi, ndiye ametembeza kipigo kisicho na huruma jana Ukraine

Sikirimimimasikini

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2019
Posts
2,926
Reaction score
15,634
Marekani yalalamika kuwa Sergei Surovikin, kamanda mpya anayeongoza mashambulizi ya Urusi nchini Ukraine, ndiye aliyesuka na kutembeza jana kipigo kitakatifu kisicho na chembe ya huruma koote Ukraine sambamba na kuipiga kibeiriti Kyiv.

Kipigo ambacho vyombo vya magharibi vinakiri kuwa ni kikubwa zaidi toka kuanza kwa operesheni ya kijeshi nchini Ukraine.

Eti MK254 hivi ni kweli hiyo?
======


 
Tuikatae vita kwa mbinu zote.

Tusimame kuhubiri amani na upatanisho
 
Huyu jamaa anaogopwa sana na CIA waliteseka sana allepo syria
 
Hahahahhaha hii ndio ile moment tulikuwa tunaisubiria kwa hamu kubwa. Uraaa!!!
Twende pamoja na Kamanda Sergei ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ uzuri wa Urusi anatoa dozi kwa awamu kulingana na kamanda.

Naona kifurushi hiki cha kamanda Surovikin kitakwenda kubadili sura ya vita kabisa ๐Ÿ˜‚ wa Gaykraine walishaona mchezo sasa kuvunja vunja madaraja. Wacha kiboko wa magaidi awaoneshe viwango.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ