Usafi Wa Mavazi

Usafi Wa Mavazi

Sikutaka kusema ila kiukweli.... kuna friend of mine yamemkuta
mmmmh I smell something fishy! kama vile ni wewe mwenyewe! maana humu jf watu huwa wanaleta uzi wanajifanya wao ni third party, mareporter si msemege tu mwenzenu yamenikuta na mnaomba yasiwakute wengine?
 
mmmmh I feel something fishy! kama vile ni wewe mwenyewe! maana humu jf watu huwa wanaleta uzi wanajifanya wao ni third party, mareporter si msemege tu mwenzenu yamenikuta na mnaomba yasiwakute wengine?
Sipo kihivyo wangu.....
 
wajua haya mengine, watu wanaona poa tu....
 
Mm kweli joto la dar na shughuli zangu siwezi kuvaa boxer

Kabisa we ni kama mimi Nina boxer nyingi lakin sina hata inerest za kuzivaa! Huwa napenda kuvaa pensi tu au bukta naziacha bom zinapigwa upepo!
 
Unakuta mtu anasafiri amejaza boxer na vest nyingi kuliko nguo za kawaida. Unakuta begi hilo
 
kuna mtu atakuja kukwambia humu faida ya kutovaa chupi, tena ni maarufu kwenye jukwaa hili. ila hata mimi sioni faida ya pichu
 
Kabisa we ni kama mimi Nina boxer nyingi lakin sina hata inerest za kuzivaa! Huwa napenda kuvaa pensi tu au bukta naziacha bom zinapigwa upepo!

Lazima uache vifaa vipumue. juu imebana chini imebana hata hewa hakuna
 
Back
Top Bottom