Usafiri uitwao Neno

Usafiri uitwao Neno

Kutubu kwa binadamu na sio kwa Mungu ni aina gani ya kutubu?
Kuna watu wanatubu madhambi yao kwa watu, si kwa Mungu. Wanaamini anasamehe kupitia wao. Ila ukimkosea mtu unamwomba msamaha moja kwa moja akusamehe makosa yako kwake.

Kwa Mungu unatubu kwake kwa maana ya kujutia udhaifu wa moyo wako. Kumbuka, kabla hujamkosea mtu, unakuwa umetenda dhambi moyoni kwa Mungu. Anayeiba au kuzini hashtukizi ghafla, bali huanza mawazo ya wizi au uzinzi moyoni kabla ya kutenda. Mungu anaona ya moyoni asikoona mwanadamu yeyote. 1 Samweli 16:7
 
Anza kwa kusoma hiyo mistari michache ya Qur'an niliyokuwekea hapo juu. Na kila unapoiona rangi ya blue ni link itayokufikisha uisome zaidi Qur'an.

Jionee "ushuhuda" wa muujiza wa Qur'an:

 

Attachments

  • USHUHUDA_WA_MAMA_ALIYEPONYWA_NA_YESU_KRISTO_MKUTANO_WA_CFAN_G_MBOTO-DSM_SIKU_YA_MWISHO(144p).mp4
    3.5 MB
Ahsante kwa muongozo, tatioz binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
 
Kulitafakari neno la Mungu...

Hapa ndio Mungu anaonekana...

Asante kwa katufundisha...
 
Back
Top Bottom