Usafiri wa Anga Tanzania chini ya ATCL ni ghali kuliko hata usafiri kutoka Bara moja kwenda lingine kwa mataifa mengine

Usafiri wa Anga Tanzania chini ya ATCL ni ghali kuliko hata usafiri kutoka Bara moja kwenda lingine kwa mataifa mengine

Kwanini umeassume hajui? Ukimsoma vizuri unaona ni mtu asiyejua?

Punguza kuwa sensitive, ATC si ukoo wa mtu.
Hajui sababu hajengi fact ndege alixopanda kwanza za hadhi gani,status na season gani na alikata kipindi cha muda gani ksbla kupanda hizo ndege zake koko na alipanda class gani ya ndege ndege brand aina gani za kikorea,kirusi ,kichina au Airbus au Boeing,Hiyo route kutoka hapo Airport alipanda demand ikoje kutoka hapo kwenda huko aendako na je hixo ndege alipanda hizo route ni mpya kwao kuwa walikuwa na bei za chini za promotion nk?

Swali lake nonsense kuna vitu vingi anatakiwa kufafanua sio hiyo generalisation yake anaonyesha hajui hata kama alipanda matongotongo ya ushamba bado yako machoni mwake
 
Hajui hata maana ya low season na high season kwenye ticket za ndrge

Na route zenye high demand bei huwa juu kuliko route zenye low demand

Pia hajui kuna low cost airlines za walala hoi Tanzania hatuna kuna moja ilikuwepo fast jet na Community airlines hazipo .Binafsi nilishawahi safari na fast Jet hadi Harare low season kws elfu 70 tu hadi Harare Zimbabwe nikapanda basi toka Harare hadi South Africa sababu kulipa ticket ya ndege za hadhi ya juu kama KQ na South African Airways,ATCL nk nilikuwa sina pesa hiyo nikaona nichukue cheap airline hadi Harare na from Harare nichukue basi

Mleta mada mshamba fulani sio airlines zote zinafanana kwa bei , status ,nk zingine ni kama daladala tu na bei zake ziko.chini

Kuja kutuletea ushamba wake wa ndege na kujitia kuponda ATCL ni mjinga sana
I second you. 🫡
 
Hoja yako ni nzuri na ina mashiko lkn sio sawa kulinganisha bara la africa na mabara mengine, vilevile ungeweza kulinganisha kwa umbali/kilometa/Neutical mile ingekuwa sawa, nchi ulizotulinganisha nazo yawezekana mafuta wao wanapata lita moja ni kwa senti 200 na sisi ikawa ni kwa dollar 10 yawezekana wao service ya kwaida ya ndege ni dollar 20,000 lkn sisi ni dollar dollar elfu 70.
 
Tanzania imewahi kuona uwepo wa hizo unazozitanabaisha kama low budget airlines, ni nini kilipekea kusitisha huduma zake ilhali zilikuwa zinatengeneza faida?
Community airlines ilikuwa ndege ya mumiliki wa Star TV ANTONY Diallo ilikuwa moja tu na alinunua ndege used iliyokuwa grounded ya shirika la Air Tanzania waliyoamua kuiuza kwa mnada akaifufua akaianzishia shirika la ndege la Community Airlines lakini matengenezo baadaye yalimshinda akafunga kampuni kwa kushindwa kuifanyia service

Fast Jet ilikuwa shirika la ndege la vigogo serikallini wakishirikiana na vibaka wa nje
Mmoja aliyekuwa na mkono wake humo ni waziri Masha wakawa hawakawa hawalipi kodi stahiki.

Walipoanza kudaiwa kodi wakajitia ohh tutalipa .Siku hiyo ndege zote zikaruka zikakimbia nchi asubuhi watu wanaenda ofisi yao imefungwa kuanzia wafanyakazi wakabaki wameduwaa waliokata tickets hadi leo ticket wanazo hawakusafiri na ofisi ziliifugwa ghafla pale mtaa wa samora sio na serikali walifunga wenyewe na kutoroka



Tax evasion hakuna ali
 
Tatizo wanataka faida kubwa badala ya kuongeza miruko na seat cap
Washushe bei kama Fastjet kisha miruko iwe mingi hata miruko 100 kwa siku.
Dar Mwanza iwe 150,000/ return 280,000/
Dar Dodoma iwe 120,000/
Dar Mbeya iwe 150,000
Dar Kia iwe 150,000/

Hapo watakuwa na uhakika wa kurusha ndege kila baada ya Masaa 2
 
Hoja yako ni nzuri na ina mashiko lkn sio sawa kulinganisha bara la africa na mabara mengine, vilevile ungeweza kulinganisha kwa umbali/kilometa/Neutical mile ingekuwa sawa, nchi ulizotulinganisha nazo yawezekana mafuta wao wanapata lita moja ni kwa senti 200 na sisi ikawa ni kwa dollar 10 yawezekana wao service ya kwaida ya ndege ni dollar 20,000 lkn sisi ni dollar dollar elfu 70.
Sahihi factors nyingi mno anaongelea tu general kama layman tu
 
Kwanza unatakiwa ujue hakuna bei ya moja kwa moja ya ndege.

Kwa mfano; kutoka Dar es Salaam kwenda Bukoba ambapo wewe umeweka 631,000/- mtu anaweza kwenda kwa 335,100/- kama atapata lowest fare.

Mbeya kwenda Mwanza kupitia Dar es Salaam ambapo wewe umeweka 1,100,000/- mtu anaweza kwenda kwa 546,700/- kama atapata lowest fare.

Muhimu unapaswa kujua bei za ndege zipo determined na laws of demand and supply. Jitahidi kukata ticket mapema ambapo demand inakuwa chini kwa ndege husika na hivyo bei inakuwa chini.

Tuweni fair. Haya hufanyika duniani kote kwa airlines zote.

Pamoja na hayo yote, bado usafiri wa ndege Tanzanaia ni gharama sana tusitake kuhalalisha huu uharamia, haijalishi unawahi kukata tiketi kwa muda gani tofauti haiwezi kuwa kubwa kiasi hicho tena hasa safari za ndani, Kuna option Kwa safari za ndani hazimati sana labda international flight.

Utofauti mkubwa wa gharama unakuwa kwenye aina ya shirika, class unayokata, huduma za ndani, muda wa kusubiri connection, pahala unapofanyia connection nk, hii inafanya kazi sana kwenye international flight na sio hizi local flight.
Mfano kwenda Europe kutoka Tanzania, ukapita DXB na Emirates, au Hamad na Qatar au Bole Addis haiwezi kuwa sawa na direct connection ya KLM amsterdam au BA kutoka Joburg.
 
Usafiri wa anga nchini Tanzania ni usafiri ghali na wa gharama ya juu hadi kufikirisha ukilinganisha na mataifa mengine yakihusisha na safari kutoka bara moja hadi bara jingine.

Usafiri wa anga chini ya Air Tanzania kwa kiasi kikubwa ukisaidiana na Precision Air unaonekana kama umewalenga wanasiasa na wafanyabishara wakubwa.

Safari ya ndege ya moja kwa moja kutoka Caracas, Venezuela hadi Madrid, Uhispania ni takriban $290 sawa na TZS 864,311 - hiyo ni nchi hadi nchi kwenye mabara mawili tofauti.

Safari ya ndege ya moja kwa moja kutoka Bukoba, Tanzania hadi Dar es Salaam, Tanzania ni takriban TZS 631,000 sawa na €212 - hiyo ni mji hadi mji ndani ya nchi.

Safari ya ndege ya moja kwa moja kutoka Fort Lauderdale, USA hadi Cartagena au Barranquilla, Colombia ni takriban $69 sawa na TZS 189,000 - hiyo ni nchi hadi nchi.

Safari ya ndege ya unganisho kutoka Mbeya, Tanzania hadi Mwanza, Tanzania ni takriban 1,100,000 sawa na $403 - hiyo ni jiji hadi jiji ndani ya nchi.

Hii ni mifano midogo sana maana kuna safari za kutoka Seoul, Korea Kusini hadi Barcelona kwa TZS 1,023,000.

Swali langu ni kwanini ATCL na washirika wake ndani ya nchi wana gharama kubwa katika usafirishaji! Je wanatumia teknolojia na mifumo tofauti na ghali ukilinganisha na mataifa mengine?

Ni sababu zipi za msingi zinazofanya flights za ndani ya nchi kuwa ghali maradufu kiuhalisia na hata ukilinganisha na mataifa mengine?

Ni maelekezo kutoka juu kuendelea kuwafinya watanzania wazidi kuishi kijamaa?

JamiiForums naomba msaada wa kuwatafuta ATCL, Mamlaka ya Anga na Wizara ya Uchukuzi watupatie ufafanuzi na statistics zinazohalalisha gharama za usafiri wa anga.
Pascal Mayalla pitia hapa...
 
Sahihi factors nyingi mno anaongelea tu general kama layman tu
Hoja yako ni nzuri na ina mashiko lkn sio sawa kulinganisha bara la africa na mabara mengine, vilevile ungeweza kulinganisha kwa umbali/kilometa/Neutical mile ingekuwa sawa, nchi ulizotulinganisha nazo yawezekana mafuta wao wanapata lita moja ni kwa senti 200 na sisi ikawa ni kwa dollar 10 yawezekana wao service ya kwaida ya ndege ni dollar 20,000 lkn sisi ni dollar dollar elfu 70.
Caracas to Madrid
4347 miles / 6995.82 km / 3777.44 nautical miles.

Bukoba to Dar es Salaam
638 miles / 1027 kilometers / 555 nautical miles.

So the other fact inayobaki ni mafuta na services ndiyo ina-determine gharama?!
 
Caracas to Madrid
4347 miles / 6995.82 km / 3777.44 nautical miles.

Bukoba to Dar es Salaam
638 miles / 1027 kilometers / 555 nautical miles.

So the other fact inayobaki ni mafuta na services ndiyo ina-determine gharama?!
Venezuela uliko uwanja wa ndege huo wa carcas ni wazalishaji wakubwa wa mafuta yakiwemo ya ndege sisi tunanunua nje hatuzalishi domestically kama wao hivyo haiwezekani utulinganishe nao
 
Kwanza unatakiwa ujue hakuna bei ya moja kwa moja ya ndege.

Kwa mfano; kutoka Dar es Salaam kwenda Bukoba ambapo wewe umeweka 631,000/- mtu anaweza kwenda kwa 335,100/- kama atapata lowest fare.

Mbeya kwenda Mwanza kupitia Dar es Salaam ambapo wewe umeweka 1,100,000/- mtu anaweza kwenda kwa 546,700/- kama atapata lowest fare.

Muhimu unapaswa kujua bei za ndege zipo determined na laws of demand and supply. Jitahidi kukata ticket mapema ambapo demand inakuwa chini kwa ndege husika na hivyo bei inakuwa chini.

Tuweni fair. Haya hufanyika duniani kote kwa airlines zote.
Kuna wakati mwingine una lazimika kusafiri kwa dharula. Utakataje mapema?
 
Venezuela uliko uwanja wa ndege huo wa carcas ni wazalishaji wakubwa wa mafuta yakiwemo ya ndege sisi tunanunua njev hatuzalishi domestically kama wao
Oke,

Seoul, South Korea to Oslo, Norway
4797 miles / 7720.02 km / 4168.48 nautical miles.

Bangkok, Thailand to Frankfurt, Germany
5599 miles / 9011 kilometers / 4866 nautical miles.
 
Back
Top Bottom