zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,930
Wenye mabasi wataongeza ufanisi, ajali zitapunguwa, huduma zitaboreshwa na bei zitakuwa za kawaida.
Tunaisubiri kwa hamu sana, itachochea sana maendeleo, unakwenda Mwanza tok Dar asubuhi, unafaya shughuli zako, jioni unaondoka kurudi kulala nyumbani Dar, hata kama itakuwa Dollar 100 one way, still ni bora kuliko kulala hoteli.
Tunaisubiri kwa hamu sana, itachochea sana maendeleo, unakwenda Mwanza tok Dar asubuhi, unafaya shughuli zako, jioni unaondoka kurudi kulala nyumbani Dar, hata kama itakuwa Dollar 100 one way, still ni bora kuliko kulala hoteli.





