Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Kama watanzania tanashindwa kutatua changamoto nyepesi kama hii, hivi sisi tunaweza nini sasa!Kulitafutia ufumbuzi hili ni changamoto kwasababu ya haiba ya abiria.
Kuna wengine hicho kitu wanapenda na wachache wetu hatupendi. Hizo movie za kina mkojani zinapendwa na wengi wanaotumia huo usafiri.
Mtaani hayo mamovie yalitafsiliwa ndo yamejaa na wateja ndo hao hao abiria sasa.
Wakiyazima kuna viumbe huwa wanaingia na redio au masim ya mchina yale. Kama hiyo siku kuna mechi kubwa baai viumbe hupanda na redio ama sim za kichina zenye bonge la sauti kuskiliza mpira mubasahara, na usiombe wawepo wawili ama watatu waliosupport kuaikiliza pamoja nae basi basi zima mtasikiliza mpira ni kubadili stations kila mtapoacha mkoa.
Bado hatujafika huko, Yani bado kabisa si unaona basi zetu nyingi zilivyo mbovu halafu ndo comfortable hizo tunaziita...basi tulizonazo zinaakisi uwezo wa kiuchumi watu walionao, hakuna tajiri aliyetayari kununua basi zenye headphones sijui vikolombwezo kibaovya kisasa kwa Sasa hv wakati anajua kabisa atapata hasara, labda kumi kwa mmojabasi nyingi zlzopo tunazijua.Kwa teknoljia ya sasa na mifumo ya kutunza data iliyopo , huwezi kuiba headphones kwenye Bus usipatikane. Tiketi za siku hizi ni Electronic. Huwezi kijificha.
Tatua mkuu.Kama watanzania tanashindwa kutatua changamoto nyepesi kama hii, hivi sisi tunaweza nini sasa!
Hata hili mnataka mzungu aje atusadie?
[emoji1754][emoji1600][emoji1600]"Napenda kumaliza kwa kusema kelele ina uhusiano mkubwa sana na umasikini, ujinga." Naunga mkono hoja.
Jet leeNi keroo kama haya mabus ya nyanda za juu kusini yamegeuka vibanda umiza wanaweka movies zilizotafrisiwa mara za mkojani mara nyimbo za Wasafii ni keroo tupu mamlaka husika angalieni hili.
Hoja yako ina mashiko.Kutokana na hali mbaya ya uchumi, watu wengi tunatumia usafiri wa Basi kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine. Mabasi ya siku hizi yanakuja na Tv set. Wamiliki wa mabasi haya wana tabia ya kufungua mziki kwa sauti kubwa sana wakidhani labda ni burudani kwa abiria wote waliomo ndani ya basi husika.
Kiwango cha sauti kinapokuwa kikubwa hugeuka kuwa kero hasa unapokuwa na safari ndefu ya kutoka Dar mpaka Mwanza. Siyo kila mtu anahitaji hizo kelele. Wapo watu wanasafiri na Tablets au vitabu wangependa kujisomea ndani ya basi wakiwa wanasafir safari ndefu kama hiyo. Wapo watu wanaopenda utulivu na ukimya ili watafakari mambo yao wakiwa safarini, hawa mziki wa sauti ya juu ni kero kwao.
Ningependa kushauri wamiliki wa mabasi waweke Headphones kwenye kila siti ili anayependa kusikiliza mziki afanye hivyo kwa manufaa yake binfsi. Mazingira ya chombo cha usafiri yasigeuke kero.
Napenda kumaliza kwa kusema kelele ina uhusiano mkubwa sana na umasikini, ujinga. Jiulize maswali haya:
1. Kwa nini kwenye usafiri wa ndege hakupigwi mziki mkubwa? Halafu Angalia aina ya watu wanaopanda ndege
2. Kwanini maeneo wanaoyoishi watu wenye mafanikio hayana makelele? Angalia Masaki, Osterbey au Upanga, halafu linganisha na maeneo wanaishi watu masikini.
3. Kwanini baa au sehemu za kupumzika wanazoenda watu waliofanikiwa hazina mziki mkubwa? Halafu linganisha na baa za makabwela.
Pia na benki tv zake sauti ziko chini mno Mana hela ama mafanikio hayataki makelele zitapeperukaKutokana na hali mbaya ya uchumi, watu wengi tunatumia usafiri wa Basi kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine. Mabasi ya siku hizi yanakuja na Tv set. Wamiliki wa mabasi haya wana tabia ya kufungua mziki kwa sauti kubwa sana wakidhani labda ni burudani kwa abiria wote waliomo ndani ya basi husika.
Kiwango cha sauti kinapokuwa kikubwa hugeuka kuwa kero hasa unapokuwa na safari ndefu ya kutoka Dar mpaka Mwanza. Siyo kila mtu anahitaji hizo kelele. Wapo watu wanasafiri na Tablets au vitabu wangependa kujisomea ndani ya basi wakiwa wanasafir safari ndefu kama hiyo. Wapo watu wanaopenda utulivu na ukimya ili watafakari mambo yao wakiwa safarini, hawa mziki wa sauti ya juu ni kero kwao.
Ningependa kushauri wamiliki wa mabasi waweke Headphones kwenye kila siti ili anayependa kusikiliza mziki afanye hivyo kwa manufaa yake binfsi. Mazingira ya chombo cha usafiri yasigeuke kero.
Napenda kumaliza kwa kusema kelele ina uhusiano mkubwa sana na umasikini, ujinga. Jiulize maswali haya:
1. Kwa nini kwenye usafiri wa ndege hakupigwi mziki mkubwa? Halafu Angalia aina ya watu wanaopanda ndege
2. Kwanini maeneo wanaoyoishi watu wenye mafanikio hayana makelele? Angalia Masaki, Osterbey au Upanga, halafu linganisha na maeneo wanaishi watu masikini.
3. Kwanini baa au sehemu za kupumzika wanazoenda watu waliofanikiwa hazina mziki mkubwa? Halafu linganisha na baa za makabwela.
So mnajitenga sio Tanzania huko mkuu Ila kwa uzuri tu ndio inakuwa TanzaniaMabasi ya route za kaskazini hayana huo ushamba
Bogus kweli unatafakari nini kwenye bus sasa? ππ tafakari kwako ni mwendo wa mangoma tu otherwise upande bus za Tabora zilizojaa wabibi ukafaulishwe hukoWapo watu wanaopenda utulivu na ukimya ili watafakari mambo yao wakiwa safarini
Kumbe nusu uchi nilidhani uchi kabisa shida iko wapi sasa?Halafu pia kuna haka katabia kakibazazi kakuweka miziki ya wasanii waliovaa nusu uchi inakera sana.
Hebu fikiria umepanda bus na familia yako au wazazi wako then kwenye screen kuna mamiss bantu yanakata viuono nusu uchi lahaula!!! Sura yako unaiweka wapi ukizingatia na hao wazazi wako wanaona pia.
Acheni hizi tabia mnatuharibia watoto wetu na kuwatweza wazazi wetu.
Ndugu siyo lazima kila mtu anapaswa kujua kuwa huna akili. Kwani ikiwa siri yako kuna tatizo gani?Bogus kweli unatafakari nini kwenye bus sasa? [emoji13][emoji13] tafakari kwako ni mwendo wa mangoma tu otherwise upande bus za Tabora zilizojaa wabibi ukafaulishwe huko
[emoji23][emoji23][emoji23]Panda mabasi mabovu mabovu utakuja kunishukuru. Kila kitu kibovu isipokuwa injini tu, yaani tv mbovu, radio mbovu, port za kuchajia mbovu nk. Wao wanakuwa wanazingatia kitu kimoja tu, kukutoa sehemu moja kwenda nyingine basi.
Masikini wewe katafakari kwako. Vigezo vya bus kuwa semi luxury unavijua?Ndugu siyo lazima kila mtu anapaswa kujua kuwa huna akili. Kwani ikiwa siri yako kuna tatizo gani?