Usafiri wa Dar - Mtwara umenikosha roho

geniveros, nahisi nakufahamu pia!! anyway mastory yenu nahisi tulishawahi mingle somewhere..LOL

yap km kwa km unakaa kwa jionee maana mi dukani kwangu ni coco beach au pale mdule mpya (villa park)
coco beach kunnua matunda matunda na njia yangu ilikua kuelekea kazini
watu maarufu mtwara koo
MBELENJE
SHILINGI
CHAMPIONI
MPINI
KWEKA
MASSAWE
KOKA
MANDANDA
NDUGURU
VIJANA MAARUFU
SAIDI LIMBEGA
P.DIDY(HAJJI MNALY)
MAREHEMU SHANGWE
NA WALE WA MZEE MANDANDA
ATHUMANI CHICHIBI AKA BOSS MTOTO
WENGINE MTAWAWEKA NIMESAHAU
 
Last edited by a moderator:

Hahaha hivi Litingi si ndo kuna shule ya King David maeneo hayo sijui kama ile club bado ipo. Na Blantayre naona sikuiz pamekuwa Open University ile club imekufa au imehamishwa?

Hako kaminisuper market nimewah kaona ila friji la ice cream za Azam utakuta wameweka njegere hahaha.
Safari lounge sikuiz pameanza kufulia vumbi tu la maduka makubwa limepaharibu.

Ushirika nadhani sikuizi hakuna disco toto tena pamekufa jirani kuna bank ya BOA.

Naf Beach.. BRN Royal Pam.. Msimbati nasikia sikuiz ndio kuna hit bila kusahau Msemo Beach, Makonde,Maisha club n.k
 

Msaada tutani kuna jengo linajengwa jirani na shule ya msingi rahaleo pale zilipokuwa kota za vigaeni kwa sasa zimebomolewa. Lile jengo la ghorofa ni la nini ofisi au?
 
Je usafiri wa Dar Mtwara ukoje, ni wa uhakika au full kero? Naona tumejikita kwa barabara pekee.

Usafiri uko poa kuna mabasi ya saa 12, saa 3, saa 5 hadi saa 6 na wa uhakika
 
msaada tutani kuna jengo linajengwa jirani na shule ya msingi rahaleo pale zilipokuwa kota za vigaeni kwa sasa zimebomolewa. Lile jengo la ghorofa ni la nini ofisi au?

BOT wale mine wanajenga si jirani na tsd pale?
 
Last edited by a moderator:

we queen sheb wewe upo mtwara mi nimehama ila hua naenda sana huko sasa hivi
mtwara live vipi iko juu
maana niliache imefunguliwa kisasa
 
Last edited by a moderator:
Wanafunzi wa Naliendele walikuwa wanaviziaga lifti za gari za jeshi au malori ya michanga kama hauna baiskeli hahaha bora sikuizi kuna daladala.

naliendele nomaa na mkuu wao wa mwanzo mwl milanzi au bob milla au kanda bongoman asa hv bob hittu
siku hizi murji kawapa gari kidogo inassidia maana hata hizo hiace bado wanayanyasika sana kule
 
Usinikumbushe Nyani Ngabu, mie nilikuwa naishi Indian Quarters kwa washua.
Ukituchokoza, ugomvi wake wanakuja kusuluhisha wazazi wakirudi job

Hahaha Indian quarters jamani the best street ever kota za TRA,Mamlaka ya korosho na Mkoani ulikuwa maarufu kushinda railway watoto kibao
 
Last edited by a moderator:
naliendele nomaa na mkuu wao wa mwanzo mwl milanzi au bob milla au kanda bongoman asa hv bob hittu
siku hizi murji kawapa gari kidogo inassidia maana hata hizo hiace bado wanayanyasika sana kule

Dah bora wamesaidiwa
 
Msaada tutani kuna jengo linajengwa jirani na shule ya msingi rahaleo pale zilipokuwa kota za vigaeni kwa sasa zimebomolewa. Lile jengo la ghorofa ni la nini ofisi au?

Benki Kuu ya Tanzania Mtwara Branch!
 

msemo inaelekea kufa kabisa maana naskia yule mzungu aliondokaga wabongo wanavurunda tuu
ssa hv naf blantyre imeuzwa haipo tena mi pia nlishangaa nimeenda sikuikuta tena
 
Kuhusu usafiri kuna jambo moja wafanyabiashara hawajaw wabunifu. Kama basi la kwanza linafika Dar saa7 kwa nini hakuna route ndefu kidogo ya hapo?

Kwa mfano mabasi ya Dodoma( Mohammed Trans) hutoka Dar saa nane na kuingia Dodoma saa 3:30 usiku. Magari ya Tanga yanatoka saa 10 na kuingia Tanga saa3 usiku na Magari ya Moro ndo usiseme! Sasa kama mabasi yanayotoka Mtwara yanafika Dar saa7, kwa nini kusiwe na route ya Dar Moro?! Kama gari la Dodoma linafika Dar saa6:30, kwa nini hakuna route ya Dodoma/ Mtwara- Mtwara/ Dodoma!? Watu wanalazimishwa kulala Dar bila sababu ya msingi! Ni suala la Uthubutu tu lakini inawezekana! Changamoto kubwa ni jinsi ya kuvuka foleni ya Malori pale TAZARA na Ubungo. Lakini njia Mbadala zipo. Basi likipita Kisarawe au Kinyerezi kwa yale yanayounga moja kwa moja hamna foleni yoyote. Kipande cha vumbi pale Kinyerez hadi Mbezi Luis ni kilometa10 tu ambazo kwa basi ni dk25tu.

Matajiri wa kusini na Watanzania kwa ujumla wawe na uthubutu.

Au yule wa JM Luxury Coach ajaribu kwa kuwa anauzoefu wa route ndefu za Dar Mbeya. Nina uhakika watamek pesa. Kwa kuanzia trial route ya Mtwara-Moro kwanza,baadae Mtwara-Tanga, Mtwara-Dodoma na mwisho ni Mtwara- Iringa.

Kuna tajir alijaribu Songea Dodoma, alivyopiga hela tu sasa anaendelea!
 

yaani hili ni bonge la point
mwenyewe huwa nilikua nawaza sana kwa nini hiyo route isiwepo na gari zitafika mapema tu
mi nshaunga ntwara dom nlifika tmk nkachukua bodaboda nikaondoka na mohammedi ya mwisho ile ya saa tisa saa nne niko dom
ni idea nzuri sana hope wataifanyia kazi
 

Itasaidia kama arusha mbeya
Jana nimepanda Jm nilifika saa tisa kasoro masasi na tulichelewa sababu ya washuka njiani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…