Usafiri wa Dar - Mtwara umenikosha roho

Usafiri wa Dar - Mtwara umenikosha roho

geniveros, nahisi nakufahamu pia!! anyway mastory yenu nahisi tulishawahi mingle somewhere..LOL

yap km kwa km unakaa kwa jionee maana mi dukani kwangu ni coco beach au pale mdule mpya (villa park)
coco beach kunnua matunda matunda na njia yangu ilikua kuelekea kazini
watu maarufu mtwara koo
MBELENJE
SHILINGI
CHAMPIONI
MPINI
KWEKA
MASSAWE
KOKA
MANDANDA
NDUGURU
VIJANA MAARUFU
SAIDI LIMBEGA
P.DIDY(HAJJI MNALY)
MAREHEMU SHANGWE
NA WALE WA MZEE MANDANDA
ATHUMANI CHICHIBI AKA BOSS MTOTO
WENGINE MTAWAWEKA NIMESAHAU
 
Last edited by a moderator:
bandari club ipo ila si km ya mwanzo a
sasa hv umekua ukumbi wa kichen party pabovu tu
litingi pamebomolewa kimejengwa chuo km sikosei au hosteli
magomeni ndo disco vumbi lao
sasa hv makonde club,maisha kuna(strippers)
na kuna supermarket maeneo ya madukani na pia kuna safari lounge

Hahaha hivi Litingi si ndo kuna shule ya King David maeneo hayo sijui kama ile club bado ipo. Na Blantayre naona sikuiz pamekuwa Open University ile club imekufa au imehamishwa?

Hako kaminisuper market nimewah kaona ila friji la ice cream za Azam utakuta wameweka njegere hahaha.
Safari lounge sikuiz pameanza kufulia vumbi tu la maduka makubwa limepaharibu.

Ushirika nadhani sikuizi hakuna disco toto tena pamekufa jirani kuna bank ya BOA.

Naf Beach.. BRN Royal Pam.. Msimbati nasikia sikuiz ndio kuna hit bila kusahau Msemo Beach, Makonde,Maisha club n.k
 
kumbee aisee abdu swamad asingekubali mil200 maana anapesa si anajenga ghorofa huku nyuma ya mnazini anawanunua madiwani kina shilingi kn hana akili nzuri mabo yake yapite
usemayo kweli mil800kwa mjiji mingine ni nyingi sana ila kwa pale watu wanamsikita sana ndogi then eneo ni very potential

Msaada tutani kuna jengo linajengwa jirani na shule ya msingi rahaleo pale zilipokuwa kota za vigaeni kwa sasa zimebomolewa. Lile jengo la ghorofa ni la nini ofisi au?
 
msaada tutani kuna jengo linajengwa jirani na shule ya msingi rahaleo pale zilipokuwa kota za vigaeni kwa sasa zimebomolewa. Lile jengo la ghorofa ni la nini ofisi au?

BOT wale mine wanajenga si jirani na tsd pale?
 
Last edited by a moderator:
Hahaha hivi Litingi si ndo kuna shule ya King David maeneo hayo sijui kama ile club bado ipo. Na Blantayre naona sikuiz pamekuwa Open University ile club imekufa au imehamishwa?

Hako kaminisuper market nimewah kaona ila friji la ice cream za Azam utakuta wameweka njegere hahaha.
Safari lounge sikuiz pameanza kufulia vumbi tu la maduka makubwa limepaharibu.

Ushirika nadhani sikuizi hakuna disco toto tena pamekufa jirani kuna bank ya BOA.

Naf Beach.. BRN Royal Pam.. Msimbati nasikia sikuiz ndio kuna hit bila kusahau Msemo Beach, Makonde,Maisha club n.k

we queen sheb wewe upo mtwara mi nimehama ila hua naenda sana huko sasa hivi
mtwara live vipi iko juu
maana niliache imefunguliwa kisasa
 
Last edited by a moderator:
Wanafunzi wa Naliendele walikuwa wanaviziaga lifti za gari za jeshi au malori ya michanga kama hauna baiskeli hahaha bora sikuizi kuna daladala.

naliendele nomaa na mkuu wao wa mwanzo mwl milanzi au bob milla au kanda bongoman asa hv bob hittu
siku hizi murji kawapa gari kidogo inassidia maana hata hizo hiace bado wanayanyasika sana kule
 
Usinikumbushe Nyani Ngabu, mie nilikuwa naishi Indian Quarters kwa washua.
Ukituchokoza, ugomvi wake wanakuja kusuluhisha wazazi wakirudi job

Hahaha Indian quarters jamani the best street ever kota za TRA,Mamlaka ya korosho na Mkoani ulikuwa maarufu kushinda railway watoto kibao
 
Last edited by a moderator:
naliendele nomaa na mkuu wao wa mwanzo mwl milanzi au bob milla au kanda bongoman asa hv bob hittu
siku hizi murji kawapa gari kidogo inassidia maana hata hizo hiace bado wanayanyasika sana kule

Dah bora wamesaidiwa
 
Msaada tutani kuna jengo linajengwa jirani na shule ya msingi rahaleo pale zilipokuwa kota za vigaeni kwa sasa zimebomolewa. Lile jengo la ghorofa ni la nini ofisi au?

Benki Kuu ya Tanzania Mtwara Branch!
 
Hahaha hivi Litingi si ndo kuna shule ya King David maeneo hayo sijui kama ile club bado ipo. Na Blantayre naona sikuiz pamekuwa Open University ile club imekufa au imehamishwa?

Hako kaminisuper market nimewah kaona ila friji la ice cream za Azam utakuta wameweka njegere hahaha.
Safari lounge sikuiz pameanza kufulia vumbi tu la maduka makubwa limepaharibu.

Ushirika nadhani sikuizi hakuna disco toto tena pamekufa jirani kuna bank ya BOA.

Naf Beach.. BRN Royal Pam.. Msimbati nasikia sikuiz ndio kuna hit bila kusahau Msemo Beach, Makonde,Maisha club n.k

msemo inaelekea kufa kabisa maana naskia yule mzungu aliondokaga wabongo wanavurunda tuu
ssa hv naf blantyre imeuzwa haipo tena mi pia nlishangaa nimeenda sikuikuta tena
 
Kuhusu usafiri kuna jambo moja wafanyabiashara hawajaw wabunifu. Kama basi la kwanza linafika Dar saa7 kwa nini hakuna route ndefu kidogo ya hapo?

Kwa mfano mabasi ya Dodoma( Mohammed Trans) hutoka Dar saa nane na kuingia Dodoma saa 3:30 usiku. Magari ya Tanga yanatoka saa 10 na kuingia Tanga saa3 usiku na Magari ya Moro ndo usiseme! Sasa kama mabasi yanayotoka Mtwara yanafika Dar saa7, kwa nini kusiwe na route ya Dar Moro?! Kama gari la Dodoma linafika Dar saa6:30, kwa nini hakuna route ya Dodoma/ Mtwara- Mtwara/ Dodoma!? Watu wanalazimishwa kulala Dar bila sababu ya msingi! Ni suala la Uthubutu tu lakini inawezekana! Changamoto kubwa ni jinsi ya kuvuka foleni ya Malori pale TAZARA na Ubungo. Lakini njia Mbadala zipo. Basi likipita Kisarawe au Kinyerezi kwa yale yanayounga moja kwa moja hamna foleni yoyote. Kipande cha vumbi pale Kinyerez hadi Mbezi Luis ni kilometa10 tu ambazo kwa basi ni dk25tu.

Matajiri wa kusini na Watanzania kwa ujumla wawe na uthubutu.

Au yule wa JM Luxury Coach ajaribu kwa kuwa anauzoefu wa route ndefu za Dar Mbeya. Nina uhakika watamek pesa. Kwa kuanzia trial route ya Mtwara-Moro kwanza,baadae Mtwara-Tanga, Mtwara-Dodoma na mwisho ni Mtwara- Iringa.

Kuna tajir alijaribu Songea Dodoma, alivyopiga hela tu sasa anaendelea!
 
Kuhusu usafiri kuna jambo moja wafanyabiashara hawajaw wabunifu. Kama basi la kwanza linafika Dar saa7 kwa nini hakuna route ndefu kidogo ya hapo?

Kwa mfano mabasi ya Dodoma( Mohammed Trans) hutoka Dar saa nane na kuingia Dodoma saa 3:30 usiku. Magari ya Tanga yanatoka saa 10 na kuingia Tanga saa3 usiku na Magari ya Moro ndo usiseme! Sasa kama mabasi yanayotoka Mtwara yanafika Dar saa7, kwa nini kusiwe na route ya Dar Moro?! Kama gari la Dodoma linafika Dar saa6:30, kwa nini hakuna route ya Dodoma/ Mtwara- Mtwara/ Dodoma!? Watu wanalazimishwa kulala Dar bila sababu ya msingi! Ni suala la Uthubutu tu lakini inawezekana! Changamoto kubwa ni jinsi ya kuvuka foleni ya Malori pale TAZARA na Ubungo. Lakini njia Mbadala zipo. Basi likipita Kisarawe au Kinyerezi kwa yale yanayounga moja kwa moja hamna foleni yoyote. Kipande cha vumbi pale Kinyerez hadi Mbezi Luis ni kilometa10 tu ambazo kwa basi ni dk25tu.

Matajiri wa kusini na Watanzania kwa ujumla wawe na uthubutu.

Au yule wa JM Luxury Coach ajaribu kwa kuwa anauzoefu wa route ndefu za Dar Mbeya. Nina uhakika watamek pesa. Kwa kuanzia trial route ya Mtwara-Moro kwanza,baadae Mtwara-Tanga, Mtwara-Dodoma na mwisho ni Mtwara- Iringa.

Kuna tajir alijaribu Songea Dodoma, alivyopiga hela tu sasa anaendelea!

yaani hili ni bonge la point
mwenyewe huwa nilikua nawaza sana kwa nini hiyo route isiwepo na gari zitafika mapema tu
mi nshaunga ntwara dom nlifika tmk nkachukua bodaboda nikaondoka na mohammedi ya mwisho ile ya saa tisa saa nne niko dom
ni idea nzuri sana hope wataifanyia kazi
 
yaani hili ni bonge la point
mwenyewe huwa nilikua nawaza sana kwa nini hiyo route isiwepo na gari zitafika mapema tu
mi nshaunga ntwara dom nlifika tmk nkachukua bodaboda nikaondoka na mohammedi ya mwisho ile ya saa tisa saa nne niko dom
ni idea nzuri sana hope wataifanyia kazi

Itasaidia kama arusha mbeya
Jana nimepanda Jm nilifika saa tisa kasoro masasi na tulichelewa sababu ya washuka njiani
 
Back
Top Bottom