Nijambo jema sana kiukweli nimetokea kupapenda sana Mtwara,,,! Unajua kile kipande cha Somanga kimechukua muda sababu pale ni Bonde nadhani ndilo eneo watu walipokuwa wanakaa zaidi ya wk kipindi cha Masika,,!
Jamani bus gani zuri linakwenda Newala
Mkapa huyo huyo unae mjua wewe.
Kwa Newala safiri na LEO luxury bus, ofisi zao zipo Temeke mwisho; lingine ni IBRA.
Mkapa huyo huyo unae mjua wewe.
Ni kwa mara kwanza kusafiri na basi ambalo ni luxury kutokea Dar kwenda mkoa ule ambao miaka ya nyuma inasemekana ni mkoa uliosahaulika na ni sehemu ya adhabu kwa wafanyakazi wa serikali hii ya bongo.
Kilichonikosha roho ni kuona basi hili likitoa huduma ambayo tulizoea kuziona kwenye njia za mikoa ile ya ukanda wa kaskazini, mwanzo kabisa wa safari wahudumu hujitambulisha kwa abiria wao, then kuwahabarisha utaratibu wa safari abiria wote kuhusu kufunga mkanda kwa usalama wetu, kutoa mifuko ya kuweka uchafu,utaratibu wa kuongea na muhudumu bila kubugudhi abiria mwezako, utaratibu wa kushuka kwenye gari,vinywaji baridi vya Azam. mwisho kumtanguliza Mungu kwenye safari.
Sasa kutokana hali hiyo nikakumbuka safari yangu ya 1995 kutoka huko Kusini kuja Dar ambao tulisafiri na lory kwa siku sita, usafiri mwingine ilikuwa meli siku mbili majini, duh Kusini tumetoka mbali.
Ewaaaaa!! Ndo kwenyewe!! DahYeah, kule chini kwenye miembe yenye rojo.
karibu na shamba la mndimu
Kwa Newala safiri na LEO luxury bus, ofisi zao zipo Temeke mwisho; lingine ni IBRA.
asante sanaYap Ibra liko poa!
Unapapenda Mtwara au umeoa Mtwara?
Nakubaliana na wewe kwa ubora wa magari na huduma katika mabasi ya JM Luxury. Nilisafiri kwa basi lao toka MTR-DSM mwezi August. Wakati tunaanza safari utangulizi wao ni kama ulivyoeleza ila kwa safari yetu walitueleza tutasafiri kwa masaa 8 tutapata chakula Nangurukuru na Ikwiriri. Mtwara tulitoka saa 1:30 asubuhi, saa 9:30 tulifika Mbagala na saa 9:45 alasiri tulikuwa Temeke mwisho.
Kwa ujumla mleta mada uko sahihi kabisa, kwani usafiri ule na hali hii ya leo kuna tofauti kubwa sana. Hivi sasa unaweza kupata chai ya asubuhi Mtwara, chakula cha mchana DSM na cha usiku, saa 2 ukapata Tanga, Morogoro, Dodoma, hata Iringa.
Mwenye picha za magari ya enzi zile kama MKARAMO, TAWAQAL, AMWENYE, SUPER CONCORD/MWAMBAO, KAWAMBWA, SOLLO SR & JR, MAKUTI na hata picha za meli kama MV LINDI, KILINDONI, MAPINDUZI, MAENDELEO, MS MTWARA, NK. atuwekee tujikumbushe. Ila pia tuwashukuru wenye yale magari maana kwa njia ile mtu kupeleka gari yako, yataka moyo.
We vipi? hata barabara ingekua na basi milioni kama madereva wanafata sheria ajali inakua nadra sana kutokea,tatizo lenu wachaga mnalewa kama komba huku mnaendesha ndio maana mnaua ndugu zenu daily barabarani.
Ewaaaaa!! Ndo kwenyewe!! Dah
Ha ha haaa,,,,,,,Rafiki mi cjaoa nTWARA banaa,,,,,! Ila naupenda ule mji na vitongoji vyoke cz watu wakule ni wakarimu sana hawana majivuno sema labda hapo baadae wageni wengi wakiwa kule huenda ikachangia kuwa na watu wa Hovyo ila natamani cku moja niwe na makazi yakudumu asee,,,,!
Muda sana mbona mambo yalishakuwa shwari tangia 2011...Haha kumbe wa home. Me pia kwetu steshenWameanza miaka miwili ago. Sisi wengine hatukuona kama ni habari kubwa hivi. Nyumbani Nachingwea lindi.
Inabidi tumkumbuke Kikwete.
Hahaha madam umeanzaaaaaaYote tisa, kumi Mr.Mkapa alipotuletea MV. SANTORINI
hahahaha, mpaka ikaitwa meli ya wanafunzi.
Maana yake likizo ikifika wanafunzi wooooote wa kusini haoooo melini, sema tu wale mabaharia wao walikuwa malaya sana, wanafunzi wametolewa sana bikira kule chini na hawa mabaharia wa Kigiriki.
Wanawavizia mkishuka ngazi, mnakuta wamejipanga huku wanakunywa bia, na walivyo wazuri basi wanafunzi wakiitwa tu, hao wanawafuata.
Wanaingizwa vyumbani mwao, wanakandamiziwa ukuni.
Aiseeee...tumetoka mbali saaaaaana.
Ila MV. SAFARI, sina hamu nayo!!!, umepanda meli kama umepanda mtumbwi unaoelekea MsangaMkuu!!