Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyie mabinti ni shida sana...Kwa Mama Amon kule sio...lololllYaani nikikumbuka vituko vyake.
Siku moja tulienda kwake saa 9 usiku tukiwa na mawe, tukapiga dirisha la chumbani kwake....vioo vyote chini, ile tunakimbia tu, mwenzetu mmoja akaangukia mtaroni akateguka mguu.
Ilibidi tumbebe juu juu huku tukisaidiana.
Tulimuuguza wenyewe mpaka alipona....hivi angeoza mguu sijui ingekuwaje.
Duh mkk NN umetisha...Jana kimekuja kivuuko kippyaaaaaaaaaa Nsangamkuu, ntaweka picha zake badae kidogo!! Ngoja nikakipige mtasaPande za Ligula, Shangani (kuna fukwe nzuri sana huku), Magomeni (hapa kuna klabu moja ya pombe chafu nilikuwa naenda sana kulewa)....maeneo ya Msangankuu....
Mtwara iko bomba sana.
Sasa unafananisha barabara yenye basi 5 na barabara yenye basi 100?? Kwani Ajali zinatokeaga barabara ya Kaskazini tu?? Unafananisha ubusy wa barabara za Kaskazini na Kusini??acha kuzungumzia ajali kbsaa na ata usiombe, vilevile mabasi ya kaskazini yameshajisahau wachaga wale wakishapokea ela yako, hawamkumbuki tena mungu wao wako busy na kuakikisha kama tiketi zote zimelipiwa.
na hii ndio kitu kilifanya nipost topic hii kwa wana jamii kwa kuona condactor anamjali abiria wake na kuwata wamtangulize mungu wao ili awafikishe salama,
sasa bac kutokea kwenye usafiri usiokuwa na uwakika hadi kufikia usafiri bora hatua ya kujivunia jaman,
tuwatie moyo awa jamaa ili wazidishe maarifa
Kipande cha km 15 kimewashinda mwaka wa 8 sasa!
Inabidi tumkumbuke Kikwete.
Hingera jk na magufuri kwa kuwakumbuka watu wa kusini. Tukumbukeni na sisi wakiteto, safari ya kutoka dar mpaka kiteto kipande cha kuanzia runch ya nacompaka kiteto nasi tuwekewe rami.
Sasa unafananisha barabara yenye basi 5 na barabara yenye basi 100?? Kwani Ajali zinatokeaga barabara ya Kaskazini tu?? Unafananisha ubusy wa barabara za Kaskazini na Kusini??
kikwete kaifanyia nini kusini zaidi ya kutuletea wanajeshi watuvunje viuno? hiyo kazi ni efforts za Mkapa super,alfa na omega president wa Tanzania.
Macho unayo lakini hayaoni, masikio unayo lakini hayasikii.
Mkapa huyuhuyu aliyejimilikisha Kiwira? au mwingine?
Bado kipande kidg sana maeneo ya SOMANGA nadhani mwaka huu hautaisha watakamilisha
Usinikumbushe Nyani Ngabu, mie nilikuwa naishi Indian Quarters kwa washua.
Ukituchokoza, ugomvi wake wanakuja kusuluhisha wazazi wakirudi job
Nyie mabinti ni shida sana...Kwa Mama Amon kule sio...lololll
ahaaaa kumbe we mtoto wa ugali mboga nane?!!
siku hizi mangowela ndo kwenye mijengo ya ukwee
Mkapa huyo huyo unae mjua wewe.
Aliyeamua makazi yake ya kustaafu yawe Lushoto na si Ntwara?
mkuu nisaidie bus zuri and at least reliable linalokwenda Newala? Nategemea kufika huko next week,pleasekikwete kaifanyia nini kusini zaidi ya kutuletea wanajeshi watuvunje viuno? hiyo kazi ni efforts za Mkapa super,alfa na omega president wa Tanzania.
imebaki km 1 kukamilika
kwa kile kipande kilichobaki ni kidogo sana na wala akialibu ratiba ya mabus, na ndio maana sasa ivi yako mabus yanaanza safari saa 10:00 asubui kutoka mtwara na yanaingia dar jioni
kwa iyo ni tuseme ni kama vile barabara imeisha / asante sana baba mkapa,asante sana wahisani waliotusaidia watu wa kusini mungu awaongezee maisha marefu, lakini gas yetu wanachukua