Binti Magufuli
JF-Expert Member
- Apr 2, 2011
- 7,479
- 5,157
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
chingas sasa hivi viwanja mtwara ni sh ngapi??
By Nature, nasikia wenyewe wanasema viwanja vimepanda bei lkn c kivile kulinganisha na mikoa ya nyanda za juu, kwa iyo ukiwa m 10 au 15 hadi 20 unapata kiwanja cha kutosha nyumba na garden yake
Vilevile leo nimepita kule Zambia road nimekuta nyumba mbili zenye hali mzuri zinauzwa wameka tangazo kubwa kbs
Ebu ngoja nifanye savey alafu nitkujulisha. Nilichokisoma sasa ivi ni kwamba nyumba nyingi za ktkt ya mji zinauzwa so bado una oportunite ya kupata eneo na ukawekeza
Ok mdada
Mkapa ndiye mwenye mchango mkubwa kwenye hiyo barabara
Asente
Mkapa kaenda kapa.
Kumbuka, hiyo barabara ni jitihada za Kikwete wakati ni waziri wa mambo za nje, Wa Kuwait ndio walitoa msaada. Eti Mkapa, Mkapa alivimbisha tumbo lake tu alipokuwa Ikulu.
Hahaha madam umeanzaaaaaa
,,,,nawee rafiki niwapande za nTWARA,,,,???
Nop!!!
Mie mzungukaji sana
Uliskia wapi Mungu ana isikiliza laana ya MLEVI?Laana unayoitafuta mtaipata tu... Kwa maneno hayo uliyotumia nakuhakikishia huu mwaka hautaisha bila kutokea ajali mbaya kwenye hiyo barabara, god forbid
.....Nimelelewa kwenye mboga nane lakini moyo wangu mgumu na nunda kama chuma cha mjerumani.
Nimefukuzwa Sabasaba, Mtwara girls ndo nikahamia Dar.
Nilikuwa sikamatiki kwa utemi.
Bila wazazi kunidhibiti, nahisi ningekuwa jambazi sugu la kike leo hii....
Umeskia kilicho tokea leo wami darajani?Laana unayoitafuta mtaipata tu... Kwa maneno hayo uliyotumia nakuhakikishia huu mwaka hautaisha bila kutokea ajali mbaya kwenye hiyo barabara, god forbid
Madam B sabasaba mwaka gani hiyo? Coz mwaka wetu kuna mdada alikuaga mbishi balaa sio wewe kweli?.....Nimelelewa kwenye mboga nane lakini moyo wangu mgumu na nunda kama chuma cha mjerumani.
Nimefukuzwa Sabasaba, Mtwara girls ndo nikahamia Dar.
Nilikuwa sikamatiki kwa utemi.
Bila wazazi kunidhibiti, nahisi ningekuwa jambazi sugu la kike leo hii....
Umeskia kilicho tokea leo wami darajani?
Ndugu yangu hiyo aveta yako daah hatari tupu.Kwa njia hiyo bila shaka unamaanisha JM Luxury Coach maana haya mengine mhhhhhhhh
Hapana dada FF hapo umepotoka. Yaani leo uniambie Membe ndo kawezesha jambo bila mkuu wake kuridhia? Sidhan kama iko hivyo!
Ndio barabara ya kwenu hiyo,huyo dereva wa fuso si ajabu ni mangi alikua tungi.Basi la Simba Mtoto ni la Tanga... thas has nothing to do with your chagga hatred. Waambie ndugu zako waache kukaa pembezoni mwa barabara maana kila wiki wanasombwa si chini ya kumi..
hahahahahaNdio barabara ya kwenu hiyo,huyo dereva wa fuso si ajabu ni mangi alikua tungi.
hahahahaha