Usafiri wa Dar - Mtwara umenikosha roho

Usafiri wa Dar - Mtwara umenikosha roho

chingas sasa hivi viwanja mtwara ni sh ngapi??

By Nature, nasikia wenyewe wanasema viwanja vimepanda bei lkn c kivile kulinganisha na mikoa ya nyanda za juu, kwa iyo ukiwa m 10 au 15 hadi 20 unapata kiwanja cha kutosha nyumba na garden yake
Vilevile leo nimepita kule Zambia road nimekuta nyumba mbili zenye hali mzuri zinauzwa wameka tangazo kubwa kbs
Ebu ngoja nifanye savey alafu nitkujulisha. Nilichokisoma sasa ivi ni kwamba nyumba nyingi za ktkt ya mji zinauzwa so bado una oportunite ya kupata eneo na ukawekeza
Ok mdada
 
Last edited by a moderator:
By Nature, nasikia wenyewe wanasema viwanja vimepanda bei lkn c kivile kulinganisha na mikoa ya nyanda za juu, kwa iyo ukiwa m 10 au 15 hadi 20 unapata kiwanja cha kutosha nyumba na garden yake
Vilevile leo nimepita kule Zambia road nimekuta nyumba mbili zenye hali mzuri zinauzwa wameka tangazo kubwa kbs
Ebu ngoja nifanye savey alafu nitkujulisha. Nilichokisoma sasa ivi ni kwamba nyumba nyingi za ktkt ya mji zinauzwa so bado una oportunite ya kupata eneo na ukawekeza
Ok mdada

Asante kwa jibu zuri kaka/dada . Nina safari ya mtwara after 3-4 months time nitakushitua nikiwa hapo unisomeshe mawili matatu kuhusu fursa za hapo. BTW huko ndo home kwetu
 
Mkapa ndiye mwenye mchango mkubwa kwenye hiyo barabara

Mkapa kaenda kapa.

Kumbuka, hiyo barabara ni jitihada za Kikwete wakati ni waziri wa mambo za nje, Wa Kuwait ndio walitoa msaada. Eti Mkapa, Mkapa alivimbisha tumbo lake tu alipokuwa Ikulu.
 
Mkapa kaenda kapa.

Kumbuka, hiyo barabara ni jitihada za Kikwete wakati ni waziri wa mambo za nje, Wa Kuwait ndio walitoa msaada. Eti Mkapa, Mkapa alivimbisha tumbo lake tu alipokuwa Ikulu.

Hapana dada FF hapo umepotoka. Yaani leo uniambie Membe ndo kawezesha jambo bila mkuu wake kuridhia? Sidhan kama iko hivyo!
 
Laana unayoitafuta mtaipata tu... Kwa maneno hayo uliyotumia nakuhakikishia huu mwaka hautaisha bila kutokea ajali mbaya kwenye hiyo barabara, god forbid
Uliskia wapi Mungu ana isikiliza laana ya MLEVI?
 
.....Nimelelewa kwenye mboga nane lakini moyo wangu mgumu na nunda kama chuma cha mjerumani.
Nimefukuzwa Sabasaba, Mtwara girls ndo nikahamia Dar.
Nilikuwa sikamatiki kwa utemi.
Bila wazazi kunidhibiti, nahisi ningekuwa jambazi sugu la kike leo hii....

hahaaaaaa
we kweli mtata kote huko...?!!
sabasaba asa hv hamna kitu pale full kufeli wanafunzi
mtwara girls waliotoa o level wakabaki advance asa uv wamewarudisha tena olevel
 
wana radio station km tatu hivi ila mi naikubali pride fm yaani iko kimtwara zaidi vipindi vyao vimejikita sana kwa kusini hawana kuiga km radio safari wanawaiga clouds kila kitu ubunifu zero
hongera sana andrew mturi na crew yako ya asubuhi
 
Laana unayoitafuta mtaipata tu... Kwa maneno hayo uliyotumia nakuhakikishia huu mwaka hautaisha bila kutokea ajali mbaya kwenye hiyo barabara, god forbid
Umeskia kilicho tokea leo wami darajani?
 
.....Nimelelewa kwenye mboga nane lakini moyo wangu mgumu na nunda kama chuma cha mjerumani.
Nimefukuzwa Sabasaba, Mtwara girls ndo nikahamia Dar.
Nilikuwa sikamatiki kwa utemi.
Bila wazazi kunidhibiti, nahisi ningekuwa jambazi sugu la kike leo hii....
Madam B sabasaba mwaka gani hiyo? Coz mwaka wetu kuna mdada alikuaga mbishi balaa sio wewe kweli?
 
Umeskia kilicho tokea leo wami darajani?

Basi la Simba Mtoto ni la Tanga... thas has nothing to do with your chagga hatred. Waambie ndugu zako waache kukaa pembezoni mwa barabara maana kila wiki wanasombwa si chini ya kumi..
 
Hapana dada FF hapo umepotoka. Yaani leo uniambie Membe ndo kawezesha jambo bila mkuu wake kuridhia? Sidhan kama iko hivyo!


Kikwete ni kitu ingine ile, ione vile vile.
 
Basi la Simba Mtoto ni la Tanga... thas has nothing to do with your chagga hatred. Waambie ndugu zako waache kukaa pembezoni mwa barabara maana kila wiki wanasombwa si chini ya kumi..
Ndio barabara ya kwenu hiyo,huyo dereva wa fuso si ajabu ni mangi alikua tungi.
 
Back
Top Bottom