Usafiri wa ndege TZ: Wahabeshi/Ethiopian Airlines wamewezaje, tukashindwa sisi?

and 300

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2012
Posts
26,398
Reaction score
36,406
Jamani mimi huwa nakiuliza hivi iweje Tanzania kweli tunakosa shirika la ndege lenye ndege za kuruka sehemu ambazo kimsingi ni potential kwa biashara kama DUBAI, JOHANNESBURG, LAGOS/ACCRA ENTEBBE, LUSAKA hata LONDON etc?

Mbona hawa wahabeshi/ET wameweza pamoja na kuwa sisi tuna kila kitu? tumilogwa? ukipita ADDIS ABABA ukiona jinsi hawa wahabeshi walivyo na ndege nyingi zinazoruka duniani kote ndo utashangaa!!
 
Nataarifiwa kuwa Ethiopian Airline ni 100% mali ya serikali hakuna mwekezaji wa nje kama ilivyo Kenya Airways (KQ) zaidi Haille Selassie aliingia mkataba na kampuni moja ya kutengeneza ndege (sikumbuki jina la kampuni) kuwa kila wakitoa toleo jipya wawakopeshe kwa idadi Fulani. kw hapa kwetu kwakweli naona kama bado sana huenda hata hao wenye airlines za nje wanalihujumu shirika letu( AIR TWIGA)
 
watanzania tumejiridhikia na hatuna presha ya kutafuta pesa yaani kama tumerogwa vile. tunachoweza ni ku-export waganga wa kienyeji to Kenya, Zambia, Malawi mpaka South Africa nashauri waundiwe kitengo chao pale Wizara ya Mambo ya Nje kiitwe SANGOMAS IN DIASPORA DESK.ndo tunachoweza
 
safari ni hatua tutafika huko mnapopataka, tuwe wavumilivu tu, lilianzishwa mwaka 1945 mpaka sasa linapasua anga pote duniani kwa bei poa ukilinganisha na mashirika mengine, hao KQ wanawagwaya sana hawa jamaa kwa bei zao poooa.
 
Hivi ATCL wamebaki na ndege ngapi? Aibu tupu kwa ki-nchi kidogo kama Rwanda kina shirika bora la Ndege Africa wakiruka NAIROBI, JOHANNESBURG, DUBAI, ACCRA, LIBREVILLE, MOMBASA, MWANZA sisi tumekalia maneno maneno tu.
 
Jiulizeni ni kwa nini rubani Wengi wa ET Huzamia mataifa ya kigeni?....Kama Yule et pilot aliye seek asylum, in Sweden by abandoning the plane kule.....udikteta wa serikali ya uhAbeshi......hawalipi pilots ukitishia unawawa.....pia serikali inzamisha posho za kufa mtu year in year out kwenye airline.....na kupelekea kukosekana kwa huduma muhimu....

wengi wao huzamia nje ya nchi Kama wahamiaji haramu ......soviet socialist policies......siku nchi ile itakuwa ya kidemokrasia ya kweli.....wananchi hawatokubali kamwe kuibeba shirika lenye hasara........at the expense of social services.......jiulizeni pia kwa nini hawachapishi financial reports openly Kama mashirika mengine......Ili tuweze kuona kiwango cha faida au hasara waliopata?......itajifia tu kiulaini.......wee wacha tu demokrasia Ikite mixizi
 
Kipi bora kusaidia shirika la ndege liendelee au kulipana posho kwa vitu wa kijinga (SITTING ALLOWANCE)? kwa taarifa tu Ethiopia pamoja na kutokuwa na resources nyingi kama Tanzania wao wameamua kuwekeza kwenye service industries (Airline,

Sasa wamejikita kwenye MEDICAL TOURISM, na wanajenga bwawa la kuzalisha umeme) bora UDIKTETA wao kuliko DEMOKRASIA yenu isiyowapa chochote.
 
Wahabesh akili zao ni nzuri.
 

It comes down two important ingredients for running a business enterprise: Leadership and a workable business model. The airline was founded in 40s with the help of Americans who continued to run the airline until early 70s. The first Ethiopian to run the organization was an insider who started as a pilot and found his way to the top through hard-work and excellence.

With regard to the business model, the airline primary target is Africans. It understands what Africans travelers want and the way to serve them. More importantly, it has learned to operate in very difficult conditions. For example in 90s there was a civil war in Ethiopia to topple dictator Mengistu. Instead of closing its business, the airline moved its operations outside Ethiopia, continuity of business operations.

Excellence in running organizations is a tradition that passed from one generation of leaders to the next one. In Tanzania, there's no such traditions. Business leaders are appointed for political reasons and what's worse they don't have business experience to run viable business entities.

Take for example ATCL. It was formed as a symbol of the nation. Since other nations had airlines, we thought we should have one. It sounds good on paper and for national pride but that isn't the way business is run. Business serves customers and if you don't know your customer then it will be difficult to run a business that sustain itself.
 

Naona umekuja na Id nyingine hahah, different I'd bt same same old ----.
 

Mungu akubariki sana mkuu
Brilliant idea aisee
Siqmini kama mdau hapo juu hajayaona haya yote au ni utumwa Wa fikra tu
 
Tz in laana. Viongozi wa ccm kazi yao kutengeneza makampuni feki na kuliibia taifa na kuifisidi nchi kwa kugawana rasilimali. Hakuna kiongozi wa ccm anayefikiria miaka 20 ijayo wote wanafikiria dili binafsi za fasta. Sasa hivi Tuko hivi imagine tusingekuwa na rais ambaye ni Dr na profess!!!!!
 

Watanzania tunashindwa kwa kuwa ni wezi na wazembe. Mtanzania kishaweka akilini mwake kuwa kazi ni "deal" hususan kwenye mashirika ya umma na wizara na idara za Serikali.

Vitafanywa vikao visivyo kuwepo, yatafanywa makongamano yasiyokuwepo, zinafanywa safari zisizohitajika, vitanunuliwa vitu si kwa bei yake, mradi tu waibe.

Nani asiyeyajuwa hayo?

Halafu bado tunauliza kwanini wenzetu wanaweza sisi tunashindwa?
 

Usiseme wezi ni CCM pekee, sikatai wapo lakini tuuseme ukweli, Watanzania wengi sana wezi na wengi wapo kwenye vyama na wasiokuwepo kwenye vyama. Kuna walioiibia Serikali na kuuwa mashirika ya umma Tanzania hii zaidi ya Wachagga, Wahaya na Wanyakyusa? Tuseme kweli.
 

As if hakuna uongozi eeenh. . . . . .??!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…