Kwenu Tz ni utawala wa mabavu kutoka kwa Magufuli ...he's the law na akisema wasichana wenye mimba hawaendi shule tena hio ndio inakujua kua sheria.Umesahau vile waandishi habari hawana uhuru ku-report takwimu halisi na vile Tundu Lissu wa chama cha upinzani alipigwa marisasi for standing up against Magufuli dictatorship?Kenya ni "Jungle", hakuna utawala wa sheria, very hopeless country. Purely failed state.
Huu kweli ndio utawala wa sheria Tz?