Usafiri wa Umma Kenya-The Matatu Madness

Usafiri wa Umma Kenya-The Matatu Madness

Kenya ni "Jungle", hakuna utawala wa sheria, very hopeless country. Purely failed state.
Kwenu Tz ni utawala wa mabavu kutoka kwa Magufuli ...he's the law na akisema wasichana wenye mimba hawaendi shule tena hio ndio inakujua kua sheria.Umesahau vile waandishi habari hawana uhuru ku-report takwimu halisi na vile Tundu Lissu wa chama cha upinzani alipigwa marisasi for standing up against Magufuli dictatorship?

Huu kweli ndio utawala wa sheria Tz?
 


Those things are hugly af. Even if you use mzungu pictures to sanitise, it won't change the fact that they are thug oriented transport.
 
Those things are hugly af. Even if you use mzungu pictures to sanitise, it won't change the fact that they are thug oriented transport.
Yep, they look 'ugly', mein, immense,beasty, intimidating, brave, loud and very present.They are BULLS..NIZAKIUME.love them.No Nairobi without them
 

No way, Nairobi deserves something better than this shit, modern Transport like BRT or Metro or LRT.
Hapo hakuna ajira mmehifadhi mateja na wakora na Wabakaji,
The number of cases of rape in Matatu is so high. Shame
 
Hawakukosea waliposema kwamba nyaoni haoni kundule. Watz mnadhani hatujui kuhusu zile daladala zenu za kubebea mifugo.
usafiri_dar.jpg
Hata kwenye mabasi ya BRT nyani ni wale wale.
dpitnwrxuaatjg9-jpg.894451
Acha ukichaa kujitoa akili.
Hao wanagombania usafiri ila ninyi wakenya mnaleta vurugu kwa road mob.
Nimeamin ninyi mabundle ya kutizama vids hamuna.
 
Acha ukichaa kujitoa akili.
Hao wanagombania usafiri ila ninyi wakenya mnaleta vurugu kwa road mob.
Nimeamin ninyi mabundle ya kutizama vids hamuna.
Acha ujuaji wa peni mbili, hiyo video ni ya zamani na sijaitizama kwa mara ya kwanza kwenye uzi huu. Wewe hata hujaelewa kwamba hizo ni vurugu za wakati wa mgomo na maandamano ya madereva na wamiliki wa matatu. Unamaanisha kwamba ni kawaida kugombania daladala na mabasi na kuabiri kwa mtindo huo wa mieleka? Hayo ni masaibu ya aina yake.
 
Acha ujuaji wa peni mbili, hiyo video ni ya zamani na sijaitizama kwa mara ya kwanza kwenye uzi huu. Wewe hata hujaelewa kwamba hizo ni vurugu za wakati wa mgomo na maandamano ya madereva na wamiliki wa matatu. Unamaanisha kwamba ni kawaida kugombania daladala na mabasi na kuabiri kwa mtindo huo wa mieleka? Hayo ni masaibu ya aina yake.
Asa nikurekebishe.
Tz daily watu hugombania daladala ukatae ukubali.
Ukifika Dar asubuhi fika maeneo ya Temeke Aziz ally utafute mabasi ya kwenda gongo la mboto uone shughuli km watu hawajachomoa p*m**.
Ikifika jioni kiza kinaanza kuingia tafuta magari ya mbagala unaweza kusema mbagala wanaishi dunia nzima.
Tz suala la public transport hapa Dar bado halijakidhi mahitaji.
Kuhusu ninyi mgomo wenu wa ukichaa hamna akili.Huku Tz madereva wa daladala waligoma kwa kuyalaza 90% ya magari yao kwa ugumu wa usafir na kusimama kwa shughuli za kiuchumi wakapata watakacho ili waendelee kutoa huduma.
Asa huo mgomo wenu ni vichekesho aisee.
 
The most funny part is the tanzanians i knw in Nairobi are obsessed wih these matatus
 
Back
Top Bottom