Usafiri wa umma watakiwa kubeba abiria kwa idadi ya viti 'Level Seat' ili kupambana na mlipuko wa Virusi Corona

Usafiri wa umma watakiwa kubeba abiria kwa idadi ya viti 'Level Seat' ili kupambana na mlipuko wa Virusi Corona

kesho daldala zote hazingii barabarani janga jingine liataanza kwa wafanyakazi
 
Daladala kesho haziamshi maana leo hazitafikisha hesabu. Gari ya Gerezani Kawe level seat itapata 8000 kwa trip atahitaji trip 10 kupata hela ya Boss. Hapo mafuta hajaweka. Hajala. Hajalipa ya brush. Hawajagawana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daladala kesho haziamshi maana leo hazitafikisha hesabu. Gari ya Gerezani Kawe level seat itapata 8000 kwa trip atahitaji trip 10 kupata hela ya Boss. Hapo mafuta hajaweka. Hajala. Hajalipa ya brush. Hawajagawana

Sent using Jamii Forums mobile app
Si afadhali apate hizo kidogo ikiwa lockdown kabisa atapata ngapi?
 
wana JF,

Leo nimeshuhudia abiria mbishi alyeingia kwenye basi baada ya kudai kuchoka kukaa kituo cha basi, wale wote wanaoanzia katikati ya safari ambao sio wa kituo kikuu, hawa wanakuta mabasi yote yamejaa, hivyo hukaa sana kituoni kuona kama kuna abiria aliyepungua ili nao waingie.

Konda ilibidi asaidiwa na abiria wengine ili kumtoa nje asije kukabiliwa na adhabu ya tshs 200,000 kwani leo traffic hawana mchezo.

Leo kwa mara ya kwanza abiria wameaanza kukataana na kusaidiana na konda ili gari iende level sit trafic wasikamate gari na kuanza kucheleweshwa.

Suruhisho la muda au la kudumu, ni polisi kufanya kama nchi za jirani, yule mtu aliyesimama ndiye anatakiwa kushushwa na kuchukuiwa hatu hivyo abiria wote watakuwa makini na konda hatapata shida kugombana na watu.

Mabasi mengine yaanzishe ruti fupi fupi ilikukabiliana na janga hili. Mfano basi linatoka posta linaweza kuishia Africana hili lianze na watu ambao wanakuwa hawajawa wengi. Awepo mabasi yanayoanzia kawe-posta. Posta mbezi chini mpaka Africana.

Sehemu nyingi waanzishe hivyo. Wfanye kama mwendo kasi wanavyofanya kwamba, kuna zinazoishia ubungo na nyingine kimara na nyingine mbezi mwisho
 
We don't want to take collective responsibility.

Ilitakiwa hii kitu ijadiliwe top-down na down-top.

1. Serikali iangalie jinsi ya kurekebisha tozo zao ili kuweka unafuu
2. Route zipunguzwe ili level sit isiumize baadhi ya wakazi wanaokaa njia za kati kati
3. Matajiri wafanye upya assessment za hesabu ili kuona kama ipunguzwe
4. Nauli zijadiliwe upya kwa kipindi hiki
5. Awareness kwa kila mdau, kwamba elimu ifike kila mahali na kwa wahusika wote
6. Trafic wapunguze makusanyo

Otherwise tutafanya kama tunakomoana halafu tutakuwa hatusaidiani.
 
kunguni wa ulaya,
Hizi nguvu zote wangezitumia pale eapoti kuhakikisha kuwa watu wanakaa karantin.
Yani ni wapumbavu kabisa.
Watu hawakai karantine wanapitiliza moja kwa moja.
Wachina wanapita tu.

Yani ni utopole mtupu.
Wanawasumbua watu wa mabasi ili wapewe rushwa
 
Tuliwaambia kuanzia mwanzo fungeni mipaka mkasema wachina Ni ndugu zenu .. Tangu lini wewe muhaya,mchaga au muha ukawa na undugu na mchina kutoka Gwangzou !!!...


Sasa mnakuja kutusumbua waendesha daladala

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom