Jorge WIP
JF-Expert Member
- Jul 12, 2018
- 3,567
- 5,323
Habari za wakati huu my virtual family JF
Nikienda moja kwa moja kwenye mada nina interview hivi karibuni ya TA(Tutorial Assistant) katika institute X kwahiyo naomba kufahamishwa kuwa hizi interview zinakuwa vipi. Accounting & Finance
Hasa nazungumzia written tunayoanza nayo na oral pia itakayofuata, tafadhali naomba nipate abc maana sina experience na hili jambo na pia sitaki kwenda nikiwa blind...nahitaji angalau nipate kufahamu cha kutegemea kukutana nacho
Naomba nipate insights kwa wataalamu kuhusu aina za maswali if possible and hata Do’s & Dont’s, plus ushauri wako uzingatie kuwa nna siku 3 tu za maandalizi
Natanguliza shukrani.
Nikienda moja kwa moja kwenye mada nina interview hivi karibuni ya TA(Tutorial Assistant) katika institute X kwahiyo naomba kufahamishwa kuwa hizi interview zinakuwa vipi. Accounting & Finance
Hasa nazungumzia written tunayoanza nayo na oral pia itakayofuata, tafadhali naomba nipate abc maana sina experience na hili jambo na pia sitaki kwenda nikiwa blind...nahitaji angalau nipate kufahamu cha kutegemea kukutana nacho
Naomba nipate insights kwa wataalamu kuhusu aina za maswali if possible and hata Do’s & Dont’s, plus ushauri wako uzingatie kuwa nna siku 3 tu za maandalizi
Natanguliza shukrani.