PSL god
JF-Expert Member
- Nov 18, 2023
- 8,435
- 6,476
Kuwa na ukimwi ni kutokuwa na akiliDuh!!!
Wenye ngoma roho mkononi Trump anaumiza kote kwa wenye akili na kwa wasiokuwa na akili.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuwa na ukimwi ni kutokuwa na akiliDuh!!!
Wenye ngoma roho mkononi Trump anaumiza kote kwa wenye akili na kwa wasiokuwa na akili.
HaituhusuWapuuzi watafurahia uona eti' serikali ya CCM inakosa misaada huku wakisahau dada zako wanaoishi na VVU/UKIMWI.
Natamani niuone huo ukimwiHakutakuwa na ArVs za bure tena huko mbele ya safari
Kuna hatari maambukizi mapya ya HneIV kushamiri miongoni mwa Watanzania
Hii itapelekea Serikali kutumia gharama kubwa kuyanunua hayo madawa, otherwise tutarajie ule Ukimwi aliouimba Ferouz kwenye nyimbo ya "Starehe" kurudi tena Mtaani
HahahaHv haifai kuficha hizo dawa, hapo mbeleni nikatemana na umasikini?!
UKIMWI umedharaulika sana, et nilidhani umepata mimba kumbe Ukimwi TU😂
Ndipo sasa UKIMWI utapewa heshima yake ile ya miaka ya 90's😂😁
Ana shoboulimpigiaje debe kamala huku kwetu ilhali wanaochagua rais wao ni wamarekani wenyewe?
Siku tukijitambua na kuelewa nini maana ya kujitegemea tutaheshimiana sana tufanye kazi kwa bidii tujitegemee tudhibiti mianya ya kupoteza pesa za umma pia kupunguza matumizi yasiyo na tija.Shirika la Marekani la Maendeleo ya Kimataifa (USAID) limetangaza kusitisha utoaji wa fedha mpya na usambazaji wa fedha chini ya makubaliano ya malengo ya maendeleo (DOAGs) hadi uhakiki wa programu za msaada wa nje zinazofadhiliwa na USAID utakapokamilika.
Wakati mchakato wa kuhakikisha msaada wote wa nje unalingana na ajenda ya sera ya nje ya Rais Donald Trump ukitarajiwa kutolewa ndani ya siku 30, uhakiki huu unatarajiwa kukamilika ndani ya siku 85 kuanzia Januari 24, 2025.
Kutokana na hilo, USAID imewaagiza maofisa wote kusimamisha kazi, mishahara, na safari kwa asasi na taasisi zote zilizopokea misaada kupitia shirika hilo.
Hayo yamebainishwa kupitia barua rasmi kwa maofisa wa mikataba na makubaliano ya USAID na washirika wake, iliyotolewa na shirika hilo Januari 24, 2025.
Barua hiyo, iliyosainiwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Manunuzi wa USAID, Jami J. Rodgers, imeeleza uamuzi huo unatokana na utekelezaji wa agizo la Rais Trump la kurejelea na kurekebisha misaada ya nje ya Marekani.
Soma kwa undani katika tovuti ya Mwananchi.
View attachment 3215692
Watu wengi wasichokijua ni kwamba, sehemu ya misaada hiyo ilitumika kukandamiza demokrasia na maendeleo ya watu nchi husikaShirika la Marekani la Maendeleo ya Kimataifa (USAID) limetangaza kusitisha utoaji wa fedha mpya na usambazaji wa fedha chini ya makubaliano ya malengo ya maendeleo (DOAGs) hadi uhakiki wa programu za msaada wa nje zinazofadhiliwa na USAID utakapokamilika.
Wakati mchakato wa kuhakikisha msaada wote wa nje unalingana na ajenda ya sera ya nje ya Rais Donald Trump ukitarajiwa kutolewa ndani ya siku 30, uhakiki huu unatarajiwa kukamilika ndani ya siku 85 kuanzia Januari 24, 2025.
Kutokana na hilo, USAID imewaagiza maofisa wote kusimamisha kazi, mishahara, na safari kwa asasi na taasisi zote zilizopokea misaada kupitia shirika hilo.
Hayo yamebainishwa kupitia barua rasmi kwa maofisa wa mikataba na makubaliano ya USAID na washirika wake, iliyotolewa na shirika hilo Januari 24, 2025.
Barua hiyo, iliyosainiwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Manunuzi wa USAID, Jami J. Rodgers, imeeleza uamuzi huo unatokana na utekelezaji wa agizo la Rais Trump la kurejelea na kurekebisha misaada ya nje ya Marekani.
Soma kwa undani katika tovuti ya Mwananchi.
View attachment 3215692
Nimewahi kuwaona wagonjwa wa ule Ukimwi wa zamani Mwaka 1999Natamani niuone huo ukimwi
Arv zinaenda kuwa adimu,jiandae kwa maumivu,huyo ndio Trump!Huna akili
Sawa,ndio mjitegemee sasa na mtengeneze ARV zenuWatu wengi wasichokijua ni kwamba, sehemu ya misaada hiyo ilitumika kukandamiza demokrasia na maendeleo ya watu nchi husika
Una uhakika?Uzuri wake siku hizi Bajeti ya Serikali kwa asilimia kubwa inatekelezwa na fedha za ndani sio kama zamani tulivyokuwa tunategemea wafadhili.
Hapo ndio kama nchi ndipo inatupasa tujitafakari sana kuwa karibu na hawa mabeberu vigeugeu
Sina ukimwi na sitokaa nipate ukimwiArv zinaenda kuwa adimu,jiandae kwa maumivu,huyo ndio Trump!
Tutumie nn ili tuongeze kinga ya mwiliUpo vizuri, sasa tuendelee..
- Unajua kwamba makampuni ya dawa hupata faida kwa watu kuendelea kuumwa na sio kupona? Na je, unadhani wanakupa ARVs ili upone kisha wakose mapato au wanakupa ili uendelee kusurvive (usife) ila uendelee kuumwa na kuwapa mapato? Kumbuka, misaada haitolewi na makampuni ya dawa , bali marekani huzinunua kisha kutoa misaada.
- Unajuankwammba ARVs hufanya kazi kwa kufubaza Virusi vya Ukimwi? Na je, kama dawa ya kufubaza inawezeka, kwa kiaka zaidi ya 40, dawa ya kuuwa kabisa hivyo virusi imeshindikanaje? Jibu ndio hilo kwenye point ya kwanza hapo juu..
Sasa je, Figo na Ini hazina haaki ya kusherehekea uamuzi huu?
Makampuni ya dawa nchini na nje ya nchi hayana haki ya kukasirika juu ya uamuzi huu kiasi sasa wanamuhonga Anna Tibaijuka ili awapigie kampeni? Hadi anadanganya kwamba ARVs zinaongeza kinga, wakati si kweli..
Mboga mboga zaidi…, na matunda..Tutumie nn ili tuongeze kinga ya mwili
Halafu pia tusisahau kupunguza sana au ikiwezekana kuacha kabisa kukaa kwenye "viti virefu".Mboga mboga zaidi…, na matunda..