USAID yatangaza kusitisha misaada nje ya nchi

USAID yatangaza kusitisha misaada nje ya nchi

Hakutakuwa na ArVs za bure tena huko mbele ya safari

Kuna hatari maambukizi mapya ya HneIV kushamiri miongoni mwa Watanzania

Hii itapelekea Serikali kutumia gharama kubwa kuyanunua hayo madawa, otherwise tutarajie ule Ukimwi aliouimba Ferouz kwenye nyimbo ya "Starehe" kurudi tena Mtaani
Natamani niuone huo ukimwi
 
Daah aisee tunakokwenda huko hatari sana bora wakihakiki walete hizo dawa itakua shida sana aisee watu wataanza kuuza tena hizo dawa kutoka nje ya Nchi..
 
Shirika la Marekani la Maendeleo ya Kimataifa (USAID) limetangaza kusitisha utoaji wa fedha mpya na usambazaji wa fedha chini ya makubaliano ya malengo ya maendeleo (DOAGs) hadi uhakiki wa programu za msaada wa nje zinazofadhiliwa na USAID utakapokamilika.

Wakati mchakato wa kuhakikisha msaada wote wa nje unalingana na ajenda ya sera ya nje ya Rais Donald Trump ukitarajiwa kutolewa ndani ya siku 30, uhakiki huu unatarajiwa kukamilika ndani ya siku 85 kuanzia Januari 24, 2025.

Kutokana na hilo, USAID imewaagiza maofisa wote kusimamisha kazi, mishahara, na safari kwa asasi na taasisi zote zilizopokea misaada kupitia shirika hilo.

Hayo yamebainishwa kupitia barua rasmi kwa maofisa wa mikataba na makubaliano ya USAID na washirika wake, iliyotolewa na shirika hilo Januari 24, 2025.

Barua hiyo, iliyosainiwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Manunuzi wa USAID, Jami J. Rodgers, imeeleza uamuzi huo unatokana na utekelezaji wa agizo la Rais Trump la kurejelea na kurekebisha misaada ya nje ya Marekani.

Soma kwa undani katika tovuti ya Mwananchi.

View attachment 3215692
Siku tukijitambua na kuelewa nini maana ya kujitegemea tutaheshimiana sana tufanye kazi kwa bidii tujitegemee tudhibiti mianya ya kupoteza pesa za umma pia kupunguza matumizi yasiyo na tija.
 
Shirika la Marekani la Maendeleo ya Kimataifa (USAID) limetangaza kusitisha utoaji wa fedha mpya na usambazaji wa fedha chini ya makubaliano ya malengo ya maendeleo (DOAGs) hadi uhakiki wa programu za msaada wa nje zinazofadhiliwa na USAID utakapokamilika.

Wakati mchakato wa kuhakikisha msaada wote wa nje unalingana na ajenda ya sera ya nje ya Rais Donald Trump ukitarajiwa kutolewa ndani ya siku 30, uhakiki huu unatarajiwa kukamilika ndani ya siku 85 kuanzia Januari 24, 2025.

Kutokana na hilo, USAID imewaagiza maofisa wote kusimamisha kazi, mishahara, na safari kwa asasi na taasisi zote zilizopokea misaada kupitia shirika hilo.

Hayo yamebainishwa kupitia barua rasmi kwa maofisa wa mikataba na makubaliano ya USAID na washirika wake, iliyotolewa na shirika hilo Januari 24, 2025.

Barua hiyo, iliyosainiwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Manunuzi wa USAID, Jami J. Rodgers, imeeleza uamuzi huo unatokana na utekelezaji wa agizo la Rais Trump la kurejelea na kurekebisha misaada ya nje ya Marekani.

Soma kwa undani katika tovuti ya Mwananchi.

View attachment 3215692
Watu wengi wasichokijua ni kwamba, sehemu ya misaada hiyo ilitumika kukandamiza demokrasia na maendeleo ya watu nchi husika
 
Natamani niuone huo ukimwi
Nimewahi kuwaona wagonjwa wa ule Ukimwi wa zamani Mwaka 1999

Mtu amekonda amebaki kichwa tu

Hata kama ulikuwa na mwili Mkubwa kama wa Peter Msechu ama Muigizaji JB lakini utakonda na kubaki na kilo kama 7 hivi

It was a disaster 🙌
 
Uzuri wake siku hizi Bajeti ya Serikali kwa asilimia kubwa inatekelezwa na fedha za ndani sio kama zamani tulivyokuwa tunategemea wafadhili.

Hapo ndio kama nchi ndipo inatupasa tujitafakari sana kuwa karibu na hawa mabeberu vigeugeu
Una uhakika?
 
Upo vizuri, sasa tuendelee..

- Unajua kwamba makampuni ya dawa hupata faida kwa watu kuendelea kuumwa na sio kupona? Na je, unadhani wanakupa ARVs ili upone kisha wakose mapato au wanakupa ili uendelee kusurvive (usife) ila uendelee kuumwa na kuwapa mapato? Kumbuka, misaada haitolewi na makampuni ya dawa , bali marekani huzinunua kisha kutoa misaada.

- Unajuankwammba ARVs hufanya kazi kwa kufubaza Virusi vya Ukimwi? Na je, kama dawa ya kufubaza inawezeka, kwa kiaka zaidi ya 40, dawa ya kuuwa kabisa hivyo virusi imeshindikanaje? Jibu ndio hilo kwenye point ya kwanza hapo juu..

Sasa je, Figo na Ini hazina haaki ya kusherehekea uamuzi huu?

Makampuni ya dawa nchini na nje ya nchi hayana haki ya kukasirika juu ya uamuzi huu kiasi sasa wanamuhonga Anna Tibaijuka ili awapigie kampeni? Hadi anadanganya kwamba ARVs zinaongeza kinga, wakati si kweli..
Tutumie nn ili tuongeze kinga ya mwili
 
Back
Top Bottom