Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 16,096
- 49,651
Hahaha........ili wote tuhamie Burundi sio😜Ipigwe tu Mnada
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha........ili wote tuhamie Burundi sio😜Ipigwe tu Mnada
Yaani nimesoma huu uzi nilikuwa sielewi kwa nini watanzania tumejawa na uoga na malalamiko,yaani wadau wanavyolaumu utasema ni haki yao,hivi inakuwaje?kweli tumepewa vyote tumenyimwa akili.Hivi tunahitaji misaada kweli? Au ni akili zetu finyu tuu
Tuna bandari tegemezi kwa nchi nane
Tuna madini nchi nzima
Tuna vivutio vya utalii kila kona ya nchi
Tuna bahari
Tuna bandari za kutosha
Tuna ardhi ya kutosha
Tuna moto na maZiwa mengi tuu
Tuna gesi asilia
Tuna mafuta nknk
Tulichokosa/tulichonyimwa ni akili
Kazi ya Serikali ni pamoja na kulinda Usalama wa raia wao, kwahiyo lazima itapambana kuhakikisha wanaendelea kuwapatia hayo madawa hata kama yatakuwa ni ya akina Madabila wa CCMTufe tu
Watakaobaki watakuwa makini zaidi
Ni hatari sana sema basi tu,kama tulilogwa basi aliyetuloga alitumia uchawi mkali sana sana Mungu atusaidie tu.Yaani nimesoma huu uzi nilikuwa sielewi kwa nini watanzania tumejawa na uoga na malalamiko,yaani wadau wanavyolaumu utasema ni haki yao,hivi inakuwaje?kweli tumepewa vyote tumenyimwa akili.
🤣🤣🤣🤣yaani tunaona bila msaada hatuweziNi hatari sana sema basi tu,kama tulilogwa basi aliyetuloga alitumia uchawi mkali sana sana Mungu atusaidie tu.
Neti za nini bro ?
Ulikuwa wapi mwanetu au kwenye kijiwe cha mbege Cc ephen_Neti za nini bro ?
Nilimdharau Lissu alipoanza kwenda kinyume katika harakati za rasimali enzi za magufuli nilimuona ni kama Chawa wa wazungu .. Nchi inapigana imiliki Rasimali kama anavyofanya Trump .. American First yeye anakuwa mpingaji ..As a Lissu backer, I agree. Lakini nina wasiwasi na Batanzani wenziwangu just because wengi banasema Lissu has Dictatorial tendencies just as was Magufuli.
But As a Tanzanian First, we made a big mistake to challenge the late Magufulis Policies on Natural Resources. And this is not only coming from me, hata MAGA niliokutana nao D.C washington walikuwa wakitushangaa.
Kuna haja turudie zile Siasa enzi za Mwalimu
"Ujamaa na kujitegemea"
Vinginevyo tutakopa ili kufidia bajeti za Serikali hadi Nchi ipigwe mnada 🙌
Walikuwa wanataka waungwe mkono, na waliungwa mkono kweli kweli. Ndio maana walishindwa mwanzoni mwa awamu hii kumsema Rais na Serikali ya CCM.Nilimdharau Lissu alipoanza kwenda kinyume katika harakati za rasimali enzi za magufuli nilimuona ni kama Chawa wa wazungu .. Nchi inapigana imiliki Rasimali kama anavyofanya Trump .. American First yeye anakuwa mpingaji ..
Karibu sana jukwaani kakaDah nilitingwa na majukumu kidogo mkuu
Wenye nafasi ya kushauri wamekaa kimya huku tukiwapa Wageni Kila resources zetu huku tukiendelea kukopa kama hatuna mikono, rasilimali, Wala ujuzi wa kutuinua wenyewe
One love bro.Karibu sana jukwaani kaka
Wako sawa 100% kusitisha,kwani wengine wamelala kusubiri misaara,wengine wanafia kazini wakifanya kaziShirika la Marekani la Maendeleo ya Kimataifa (USAID) limetangaza kusitisha utoaji wa fedha mpya na usambazaji wa fedha chini ya makubaliano ya malengo ya maendeleo (DOAGs) hadi uhakiki wa programu za msaada wa nje zinazofadhiliwa na USAID utakapokamilika.
Wakati mchakato wa kuhakikisha msaada wote wa nje unalingana na ajenda ya sera ya nje ya Rais Donald Trump ukitarajiwa kutolewa ndani ya siku 30, uhakiki huu unatarajiwa kukamilika ndani ya siku 85 kuanzia Januari 24, 2025.
Kutokana na hilo, USAID imewaagiza maofisa wote kusimamisha kazi, mishahara, na safari kwa asasi na taasisi zote zilizopokea misaada kupitia shirika hilo.
Hayo yamebainishwa kupitia barua rasmi kwa maofisa wa mikataba na makubaliano ya USAID na washirika wake, iliyotolewa na shirika hilo Januari 24, 2025.
Barua hiyo, iliyosainiwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Manunuzi wa USAID, Jami J. Rodgers, imeeleza uamuzi huo unatokana na utekelezaji wa agizo la Rais Trump la kurejelea na kurekebisha misaada ya nje ya Marekani.
Soma kwa undani katika tovuti ya Mwananchi.
View attachment 3215692
Shirika la Marekani la Maendeleo ya Kimataifa (USAID) limetangaza kusitisha utoaji wa fedha mpya na usambazaji wa fedha chini ya makubaliano ya malengo ya maendeleo (DOAGs) hadi uhakiki wa programu za msaada wa nje zinazofadhiliwa na USAID utakapokamilika.
Wakati mchakato wa kuhakikisha msaada wote wa nje unalingana na ajenda ya sera ya nje ya Rais Donald Trump ukitarajiwa kutolewa ndani ya siku 30, uhakiki huu unatarajiwa kukamilika ndani ya siku 85 kuanzia Januari 24, 2025.
Kutokana na hilo, USAID imewaagiza maofisa wote kusimamisha kazi, mishahara, na safari kwa asasi na taasisi zote zilizopokea misaada kupitia shirika hilo.
Hayo yamebainishwa kupitia barua rasmi kwa maofisa wa mikataba na makubaliano ya USAID na washirika wake, iliyotolewa na shirika hilo Januari 24, 2025.
Barua hiyo, iliyosainiwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Manunuzi wa USAID, Jami J. Rodgers, imeeleza uamuzi huo unatokana na utekelezaji wa agizo la Rais Trump la kurejelea na kurekebisha misaada ya nje ya Marekani.
Soma kwa undani katika tovuti ya Mwananchi.
View attachment 3215692
Kuna haja turudie zile Siasa enzi za Mwalimu
"Ujamaa na kujitegemea"
Vinginevyo tutakopa ili kufidia bajeti za Serikali hadi Nchi ipigwe mnada 🙌
Huna akiliSafi sana,wakati tunampigia debe Kamala,mkasema mwanamke hafai kuongoza kabisa,sasa jiandaeni kuanguka kwa H..IV na kufa kama kuku wa kideri