Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni muda sasa wa kugeukia nchi nyingine zinazonufaika na rasilimali zetu hasa China ili tuone msaada wao kwetu,Shirika la Marekani la Maendeleo ya Kimataifa (USAID) limetangaza kusitisha utoaji wa fedha mpya na usambazaji wa fedha chini ya makubaliano ya malengo ya maendeleo (DOAGs) hadi uhakiki wa programu za msaada wa nje zinazofadhiliwa na USAID utakapokamilika.
Wakati mchakato wa kuhakikisha msaada wote wa nje unalingana na ajenda ya sera ya nje ya Rais Donald Trump ukitarajiwa kutolewa ndani ya siku 30, uhakiki huu unatarajiwa kukamilika ndani ya siku 85 kuanzia Januari 24, 2025.
Kutokana na hilo, USAID imewaagiza maofisa wote kusimamisha kazi, mishahara, na safari kwa asasi na taasisi zote zilizopokea misaada kupitia shirika hilo.
Hayo yamebainishwa kupitia barua rasmi kwa maofisa wa mikataba na makubaliano ya USAID na washirika wake, iliyotolewa na shirika hilo Januari 24, 2025.
Barua hiyo, iliyosainiwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Manunuzi wa USAID, Jami J. Rodgers, imeeleza uamuzi huo unatokana na utekelezaji wa agizo la Rais Trump la kurejelea na kurekebisha misaada ya nje ya Marekani.
Soma kwa undani katika tovuti ya Mwananchi.
View attachment 3215692
Mueleze huyo shemejiUzuri huwa hafichi kasema yeye anakula vizuri tu chezea my baby wewe.!hata virus vyenyewe vitakuwa vimekaa pembeni vinakula some kwa mzabzab
Kwanza sikusalimia,, shkamoo babuuGonga mlango uniletee
Upo sahihi.Mbumbuuu umbuu umbuuu nao sasa watashangiliaaa
Wacha Ujinga.Hapa sasa ule ukimwi wa miaka ya 1997 utaanza kuonekana bila chenga.
Aisee nimeandika vizuri tu maoni yangu, wewe unaniita punguani.Wacha Ujinga.
Ukimwi wa 1997 ndio Upi? Watu tuko 2025 ww unaleta za kuleta.
&Franco Don hevu mueleweshe huyu punguani.&
Bro. Tumia akili na sio kukariri talking points za Internet Trolls na ma teroristi.
Huna akili ww na huna ulijualo, hence ww ni bard brein yani Punguani.Aisee nimeandika vizuri tu maoni yangu, wewe unaniita punguani.
Sasa nakwambia punguani mama yako na baba yako waliokuzaa. Siku wakati wanabanduana kukuzaa wewe bora wangepiga nyeto tu au angekojolea nyuma pumbaf kabisa.
Banasema Mabeberu yametushika kumkichwa.Hivi tunahitaji misaada kweli? Au ni akili zetu finyu tuu
Tuna bandari tegemezi kwa nchi nane
Tuna madini nchi nzima
Tuna vivutio vya utalii kila kona ya nchi
Tuna bahari
Tuna bandari za kutosha
Tuna ardhi ya kutosha
Tuna moto na maZiwa mengi tuu
Tuna gesi asilia
Tuna mafuta nknk
Tulichokosa/tulichonyimwa ni akili
Under the ruling party hizi ni ndoto.. Huyu ndio adui mkubwa no moja wa kumalizana naye kwanza.. Misa ya kwanzaBanasema Mabeberu yametushika kumkichwa.
Mm nasema, Ni uamuzi tu, Turudishe sheria ya Kulinda hizo Mali Asili. Tuwafukuze(deport) wale wote waliokuwa wakiiba fedha za forodha, ushuru na Leseni, hata ikiwa banatoka mrogoro, wadepotiwe huko, akiwa na wa India, warudishe huko. We have to start somwhere. Tusitishe na kuReview all Contracts for 90days kama Dictator Trump.
As a Lissu backer, I agree. Lakini nina wasiwasi na Batanzani wenziwangu just because wengi banasema Lissu has Dictatorial tendencies just as was Magufuli.Under the ruling party hizi ni ndoto.. Huyu ndio adui mkubwa no moja wa kumalizana naye kwanza.. Misa ya kwanza
Vp kuhusu ARV's aka Njugumawe?Vipi kuhusu ARV's aka Shudu?
Aloo so poa etii.