USAID yatangaza kusitisha misaada nje ya nchi

USAID yatangaza kusitisha misaada nje ya nchi

Kukiua kirusi kinachosababisha ukimwi ni sawa na kuua Cell inayokupa uhai ni impossible
Hakuna funding ya kutosha inayoelekezwa huko sababu mtu akipina na mapato yanaishia hapo, ila akiendelea kutumia dawa maisha yane yote faidi inakuwa kubwa.

Ni hivi, kuna dawa ambazo zinaweza kutumika kama bait kumtoa kirusi ndani ya seli hai, akitoka tu kinamezwa.., hii inawezekana, tatizo ni faida itapungua.., hivyo tiba haipewi msukumo
 
ile kiko yenye ugoro sio 😌
Kumbe unajua Mjukuu, niletee hiyo hiyo nivute vute kabla sijaenda Kulala

Ukitaka nikupe hadithi za Mwaka 47, wakati navuta nitaweza kukupatia sasa πŸ€—
 
Kumbe unajua Mjukuu, niletee hiyo hiyo nivute vute kabla sijaenda Kulala

Ukitaka nikupe hadithi za Mwaka 47, wakati navuta nitaweza kukupatia sasa πŸ€—
Hebu kalale hukoπŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hakutakuwa na ArVs za bure tena huko mbele ya safari

Kuna hatari maambukizi mapya ya HIV kushamiri miongoni mwa Watanzania

Hii itapelekea Serikali kutumia gharama kubwa kuyanunua hayo madawa, otherwise tutarajie ule Ukimwi aliouimba Ferouz kwenye nyimbo ya "Starehe" kurudi tena Mtaani

Hizi ni sera za Trump za kubana matumizi na kuifanya America iwe super power tena, hawezi kuwa Rais wa milele...
 
Shirika la Marekani la Maendeleo ya Kimataifa (USAID) limetangaza kusitisha utoaji wa fedha mpya na usambazaji wa fedha chini ya makubaliano ya malengo ya maendeleo (DOAGs) hadi uhakiki wa programu za msaada wa nje zinazofadhiliwa na USAID utakapokamilika.

Wakati mchakato wa kuhakikisha msaada wote wa nje unalingana na ajenda ya sera ya nje ya Rais Donald Trump ukitarajiwa kutolewa ndani ya siku 30, uhakiki huu unatarajiwa kukamilika ndani ya siku 85 kuanzia Januari 24, 2025.

Kutokana na hilo, USAID imewaagiza maofisa wote kusimamisha kazi, mishahara, na safari kwa asasi na taasisi zote zilizopokea misaada kupitia shirika hilo.

Hayo yamebainishwa kupitia barua rasmi kwa maofisa wa mikataba na makubaliano ya USAID na washirika wake, iliyotolewa na shirika hilo Januari 24, 2025.

Barua hiyo, iliyosainiwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Manunuzi wa USAID, Jami J. Rodgers, imeeleza uamuzi huo unatokana na utekelezaji wa agizo la Rais Trump la kurejelea na kurekebisha misaada ya nje ya Marekani.

Soma kwa undani katika tovuti ya Mwananchi.

View attachment 3215692
Safi sana bwana trump. Tunyooshe sie manyani tusiokuwa na akili haa duniani. Yaani trump wee kandamiza kabisa mwanawane
 
Safi sana,wakati tunampigia debe Kamala,mkasema mwanamke hafai kuongoza kabisa,sasa jiandaeni kuanguka kwa H..IV na kufa kama kuku wa kideri
Tukikuzua hutumia Jamii Forum unadhani ww utakosa mtandao mzuri WA kutumia
 
Hizi ni sera za Trump za kubana matumizi na kuifanya America iwe super power tena, hawezi kuwa Rais wa milele...
Ndiyo lakini athari zake zinaweza kuwa kubwa ndani ya muda mfupi

Unakumbuka ule Ukimwi wa miaka ya 2000 mwanzoni ulivyoua Kwa Kasi?

Yaani mtu anakatika hivi hivi unamwona πŸ™Œ
 
Hizo hizo Mjukuu, mabinti/wa Mama waache hayo mambo

Kwa maana mabinti wengi ndiyo biashara wanayoitegemea kuwaweka Mjini
Basi babu nawaombea msamaha kina P cats wote, wamekusikia watayaishi maneno yako 😹😹
 
Muda huu sio rahisi, njoo tuongee ongee wakati navuta Kiko yangu Mjukuu πŸ€—
πŸƒπŸΎβ€β™€οΈπŸƒπŸΎβ€β™€οΈπŸƒπŸΎβ€β™€οΈπŸƒπŸΎβ€β™€οΈπŸƒπŸΎβ€β™€οΈπŸƒπŸΎβ€β™€οΈπŸƒπŸΎβ€β™€οΈπŸƒπŸΎβ€β™€οΈπŸƒπŸΎβ€β™€οΈπŸƒπŸΎβ€β™€οΈπŸƒπŸΎβ€β™€οΈπŸƒπŸΎβ€β™€οΈπŸƒπŸΎβ€β™€οΈπŸƒπŸΎβ€β™€οΈπŸƒπŸΎβ€β™€οΈπŸƒπŸΎβ€β™€οΈπŸƒπŸΎβ€β™€οΈπŸƒπŸΎβ€β™€οΈπŸƒπŸΎβ€β™€οΈπŸƒπŸΎβ€β™€οΈπŸƒπŸΎβ€β™€οΈπŸƒπŸΎβ€β™€οΈπŸƒπŸΎβ€β™€οΈπŸƒπŸΎβ€β™€οΈπŸƒπŸΎβ€β™€οΈπŸƒπŸΎβ€β™€οΈπŸƒπŸΎβ€β™€οΈπŸƒπŸΎβ€β™€οΈπŸƒπŸΎβ€β™€οΈπŸƒπŸΎβ€β™€οΈπŸƒπŸΎβ€β™€οΈπŸƒπŸΎβ€β™€οΈπŸƒπŸΎβ€β™€οΈπŸƒπŸΎβ€β™€οΈπŸƒπŸΎβ€β™€οΈ Trump kajitoa who
 
Basi babu nawaombea msamaha kina P cats wote, wamekusikia watayaishi maneno yako 😹😹
Wajifunze Kwa sisi Wazee, waone tulivyotulia huku tukiwa busy kwenye shughuli zetu za Kilimo πŸ€—
 
πŸƒπŸΎβ€β™€οΈπŸƒπŸΎβ€β™€οΈπŸƒπŸΎβ€β™€οΈπŸƒπŸΎβ€β™€οΈπŸƒπŸΎβ€β™€οΈπŸƒπŸΎβ€β™€οΈπŸƒπŸΎβ€β™€οΈπŸƒπŸΎβ€β™€οΈπŸƒπŸΎβ€β™€οΈπŸƒπŸΎβ€β™€οΈπŸƒπŸΎβ€β™€οΈπŸƒπŸΎβ€β™€οΈπŸƒπŸΎβ€β™€οΈπŸƒπŸΎβ€β™€οΈπŸƒπŸΎβ€β™€οΈπŸƒπŸΎβ€β™€οΈπŸƒπŸΎβ€β™€οΈπŸƒπŸΎβ€β™€οΈπŸƒπŸΎβ€β™€οΈπŸƒπŸΎβ€β™€οΈπŸƒπŸΎβ€β™€οΈπŸƒπŸΎβ€β™€οΈπŸƒπŸΎβ€β™€οΈπŸƒπŸΎβ€β™€οΈπŸƒπŸΎβ€β™€οΈπŸƒπŸΎβ€β™€οΈπŸƒπŸΎβ€β™€οΈπŸƒπŸΎβ€β™€οΈπŸƒπŸΎβ€β™€οΈπŸƒπŸΎβ€β™€οΈπŸƒπŸΎβ€β™€οΈπŸƒπŸΎβ€β™€οΈπŸƒπŸΎβ€β™€οΈπŸƒπŸΎβ€β™€οΈπŸƒπŸΎβ€β™€οΈ Trump kajitoa who
Hahahaha................si unajua Wazee tusivyo na mambo mengi

Hebu njoo nikusimulie mambo yalivyokuwa wakati wa vita vya pili vya Dunia 😜
 
Tuache kubweteka na Vitu vya kupewa bure. Tujifunze kujitegemea. Serikali ianze kubana matumizi. Iondoe au kupunguza matumizi yasiyo ya lazima.
 
Back
Top Bottom