Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 16,096
- 49,651
Hahaha........niletee Kiko basi Mjukuu, ukinikatalia nakupa laana πitakurudia mwenyewe ndoman wazee wa skuiz mnakua wakali mno
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha........niletee Kiko basi Mjukuu, ukinikatalia nakupa laana πitakurudia mwenyewe ndoman wazee wa skuiz mnakua wakali mno
ile kiko yenye ugoro sio πHahaha........niletee Kiko basi Mjukuu, ukinikatalia nakupa laana π
Hakuna funding ya kutosha inayoelekezwa huko sababu mtu akipina na mapato yanaishia hapo, ila akiendelea kutumia dawa maisha yane yote faidi inakuwa kubwa.Kukiua kirusi kinachosababisha ukimwi ni sawa na kuua Cell inayokupa uhai ni impossible
P cat πΉπΉMuda wa Kufunga zipu
Wanawake pia waache kucheza vikoba Kwa kutegemea mauzo ya Pussy cat
Kumbe unajua Mjukuu, niletee hiyo hiyo nivute vute kabla sijaenda Kulalaile kiko yenye ugoro sio π
Hebu kalale hukoππKumbe unajua Mjukuu, niletee hiyo hiyo nivute vute kabla sijaenda Kulala
Ukitaka nikupe hadithi za Mwaka 47, wakati navuta nitaweza kukupatia sasa π€
Hakutakuwa na ArVs za bure tena huko mbele ya safari
Kuna hatari maambukizi mapya ya HIV kushamiri miongoni mwa Watanzania
Hii itapelekea Serikali kutumia gharama kubwa kuyanunua hayo madawa, otherwise tutarajie ule Ukimwi aliouimba Ferouz kwenye nyimbo ya "Starehe" kurudi tena Mtaani
Safi sana bwana trump. Tunyooshe sie manyani tusiokuwa na akili haa duniani. Yaani trump wee kandamiza kabisa mwanawaneShirika la Marekani la Maendeleo ya Kimataifa (USAID) limetangaza kusitisha utoaji wa fedha mpya na usambazaji wa fedha chini ya makubaliano ya malengo ya maendeleo (DOAGs) hadi uhakiki wa programu za msaada wa nje zinazofadhiliwa na USAID utakapokamilika.
Wakati mchakato wa kuhakikisha msaada wote wa nje unalingana na ajenda ya sera ya nje ya Rais Donald Trump ukitarajiwa kutolewa ndani ya siku 30, uhakiki huu unatarajiwa kukamilika ndani ya siku 85 kuanzia Januari 24, 2025.
Kutokana na hilo, USAID imewaagiza maofisa wote kusimamisha kazi, mishahara, na safari kwa asasi na taasisi zote zilizopokea misaada kupitia shirika hilo.
Hayo yamebainishwa kupitia barua rasmi kwa maofisa wa mikataba na makubaliano ya USAID na washirika wake, iliyotolewa na shirika hilo Januari 24, 2025.
Barua hiyo, iliyosainiwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Manunuzi wa USAID, Jami J. Rodgers, imeeleza uamuzi huo unatokana na utekelezaji wa agizo la Rais Trump la kurejelea na kurekebisha misaada ya nje ya Marekani.
Soma kwa undani katika tovuti ya Mwananchi.
View attachment 3215692
Hizo hizo Mjukuu, mabinti/wa Mama waache hayo mamboP cat πΉπΉ
Babu unazingua
Tukikuzua hutumia Jamii Forum unadhani ww utakosa mtandao mzuri WA kutumiaSafi sana,wakati tunampigia debe Kamala,mkasema mwanamke hafai kuongoza kabisa,sasa jiandaeni kuanguka kwa H..IV na kufa kama kuku wa kideri
Ndiyo lakini athari zake zinaweza kuwa kubwa ndani ya muda mfupiHizi ni sera za Trump za kubana matumizi na kuifanya America iwe super power tena, hawezi kuwa Rais wa milele...
Basi babu nawaombea msamaha kina P cats wote, wamekusikia watayaishi maneno yako πΉπΉHizo hizo Mjukuu, mabinti/wa Mama waache hayo mambo
Kwa maana mabinti wengi ndiyo biashara wanayoitegemea kuwaweka Mjini
Muda huu sio rahisi, njoo tuongee ongee wakati navuta Kiko yangu Mjukuu π€Hebu kalale hukoππ
ππΎββοΈππΎββοΈππΎββοΈππΎββοΈππΎββοΈππΎββοΈππΎββοΈππΎββοΈππΎββοΈππΎββοΈππΎββοΈππΎββοΈππΎββοΈππΎββοΈππΎββοΈππΎββοΈππΎββοΈππΎββοΈππΎββοΈππΎββοΈππΎββοΈππΎββοΈππΎββοΈππΎββοΈππΎββοΈππΎββοΈππΎββοΈππΎββοΈππΎββοΈππΎββοΈππΎββοΈππΎββοΈππΎββοΈππΎββοΈππΎββοΈ Trump kajitoa whoMuda huu sio rahisi, njoo tuongee ongee wakati navuta Kiko yangu Mjukuu π€
Wajifunze Kwa sisi Wazee, waone tulivyotulia huku tukiwa busy kwenye shughuli zetu za Kilimo π€Basi babu nawaombea msamaha kina P cats wote, wamekusikia watayaishi maneno yako πΉπΉ
Aaaah mi sina mengi ilanachojua virus is to compex..Naona Kuna Kila dalili baadae zitakuwa zinauzwa elfu 7 hizo ngoja nijipange nifungue kiwanda hapa kigamboni au ephen_ unasemaje nakala kwa Poor Brain na mshamba_hachekwi Cc min -me
Hahahaha................si unajua Wazee tusivyo na mambo mengiππΎββοΈππΎββοΈππΎββοΈππΎββοΈππΎββοΈππΎββοΈππΎββοΈππΎββοΈππΎββοΈππΎββοΈππΎββοΈππΎββοΈππΎββοΈππΎββοΈππΎββοΈππΎββοΈππΎββοΈππΎββοΈππΎββοΈππΎββοΈππΎββοΈππΎββοΈππΎββοΈππΎββοΈππΎββοΈππΎββοΈππΎββοΈππΎββοΈππΎββοΈππΎββοΈππΎββοΈππΎββοΈππΎββοΈππΎββοΈππΎββοΈ Trump kajitoa who