Undetectable
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 1,570
- 2,076
Mtanikumbuka,by JPM
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na Ndomuneti za bure
Hasa SIDA,waswidi ndiyo wazungu walioonekana zaidi tz baada ya ukoloniUjamaa na Kujitegemea ulikuwa unaishi kwenye nyimbo majeshini na kwenye shule za msingi tu zikiwaandaa vijana waje kuwa masikini jeuri.
Kiuhalisia USAID na SIDA wapo tangu 1961.
Naomba kwa hiari kabisa niwe mpuuzi number moja maana pesa ya kununulia ma VX ya billions tunayo lakini ya ARVs hatuna.. We must be mentally castratedWapuuzi watafurahia uona eti' serikali ya CCM inakosa misaada huku wakisahau dada zako wanaoishi na VVU/UKIMWI.
Alijenga kiwanda cha ARV?Mtanikumbuka,by JPM
Hilo linawezekana, lakini Daktari wa Uchumi atakubali Mawaziri wenzake wasiendeshe maV8 😅Tupunguze bajeti ya ma VX new model tunajiweza mbona?
Huyo atanunua Nchi na watu wake woteMchina yupo usijali Ila hanaga kazi ya hasara
Hakika MkuuMachawa hawana tofauti na panyaroad/redscorpions wa kileo.Ni hatari kwa mustakabali wa nchi.
Fungua kiwanda, mimi mhasibu wako.Naona Kuna Kila dalili baadae zitakuwa zinauzwa elfu 7 hizo ngoja nijipange nifungue kiwanda hapa kigamboni au ephen_ unasemaje nakala kwa Poor Brain na mshamba_hachekwi Cc min -me
USA hawana msaada wowote wa maana kwetu zaidi ya condom,arv,vilainishi,vidhibiti uzazi na kujenga uwezo,hatushindwi nunua arvKikwete alisema wazungu wanatoa mahela ya bure ni kujitahidi kuyachota tu.Naamini saa hizi anatuandalia neno la kujizatiti na dhahma ijayo ya kukosa mahela ya bure.Hata hivyo,huwa tunawadharau sana USA na kuwaita ni mashoga.Ni muda muafaka tujikite kubanana na China na Urusi.
Madabida alikua na kiwanda cha ARVFungua kiwanda, mimi muhasibu wako.
Hufa siyo ufa,nyi wangese msiojua kuandika kiswahili mpo wengi,mlisoma shule gani!?Dah.. kweli mtegemea cha nduguye ufa masikini..
Yaani hatupati tena fedha hizo.
Michezo na burudani ni kiwanda kikubwa,kinaajiri wengi,ni sharti uki-stimulate,hebu changanua hicho kiwanda marekani na uingereza uone kimeajiri wangapi na kinaingiza bei ganiFor sure...kuna vipaumbele vingi sana kama Taifa ila kawekeza kwny mipira na wasanii..tuna balaa zito...
Alikuwa na mpango huo..au umesahau?Alijenga kiwanda cha ARV?
Miaka mitambo na hakujenga kiwanda simple hivyo!?..hebu nioneshe huo mpango ulipouona,zaidi alifubaza juhudi za watu waliokua wakifanya hiloAlikuwa na mpango huo..au umesahau?
Tumekuwa mipumbavu sana. Mfumo wa kisiasa wa kurithishana na kula kwa zamu usiozingatia uhitaji wa nchi na wananchi wakeHoja yangu tuanze kujenga mentality ya Kujitegemea
Haiwezekani una rasilimali lukuki lakini Ujenzi wa matundu ya choo tu tunaomba msaada Kwa Wahisani
Serikali hununua ARV bana,halafu mkoa kama tabora unataka mkuu wa mkoa atembelee harrier tako la nyani?Naomba kwa hiari kabisa niwe mpuuzi number moja maana pesa ya kununulia ma VX ya billions tunayo lakini ya ARVs hatuna.. We must be mentally castrated
Trump hana mpango kunyonya nchi masikini na hio misaada ndio ilikua mitego yenu kunyonywa ,sasa ndio muda muafaka wa kuanza kujitegemea maana hakuna tena mashartiSafi sana,wakati tunampigia debe Kamala,mkasema mwanamke hafai kuongoza kabisa,sasa jiandaeni kuanguka kwa H..IV na kufa kama kuku wa kideri