FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Sitaki.Naomba niku PM mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sitaki.Naomba niku PM mkuu
Sisi ni wa ajabu mbele za watuKwakweli ni ujonga mnoooo huyu maza anafanya
Aaa wapi.Mama anakusanya kodi chekwa.Hawezi kubabaika kamwe.Usikute Trump alikua anacheki tu vile mabao yananunuliwa anajisemea
"anhaaa nakusaidia hela ya kula kumbe we zako unanunua mabao"
Hiyo ya Net niliipata kutoka Kwa mtu wa Jikoni kabisaNet was business from someone,dawa ilikua kuua vyanzo vya mazalia ya mbu na wadudu wanaotambaa,mengine yote ni upigaji tu
Tutakuwa na waumini wengi sana wenye imani thabiti kwa madhehebu tofautitofauti.Mkuu,
Bila ARV hata ule kama faru lazima kinga ishuke, kwani zamani walikuwa hawali vizuri?
Itokee tu hizi dawa ziadimike kwa miaka mitano, utashangaa yatakayoikuta dunia ya ulimwengu wa tatu.
Wabongo wanajikutaga mambo ya watu ni ya kwao😂ulimpigiaje debe kamala huku kwetu ilhali wanaochagua rais wao ni wamarekani wenyewe?
For sure...kuna vipaumbele vingi sana kama Taifa ila kawekeza kwny mipira na wasanii..tuna balaa zito...Sisi ni wa ajabu mbele za watu
Ni kweliKina haja ya kuachana na biashara ya kula vya nje, hatari inayokuja ni kubwa.
Hoja yangu tuanze kujenga mentality ya KujitegemeaUjamaa na Kujitegemea ulikuwa unaishi kwenye nyimbo majeshini na kwenye shule za msingi tu zikiwaandaa vijana waje kuwa masikini jeuri.
Kiuhalisia USAID na SIDA wapo tangu 1961.
Oyi Oyiiiiiii Massive Unemployment once again..... DahShirika la Marekani la Maendeleo ya Kimataifa (USAID) limetangaza kusitisha utoaji wa fedha mpya na usambazaji wa fedha chini ya makubaliano ya malengo ya maendeleo (DOAGs) hadi uhakiki wa programu za msaada wa nje zinazofadhiliwa na USAID utakapokamilika.
Wakati mchakato wa kuhakikisha msaada wote wa nje unalingana na ajenda ya sera ya nje ya Rais Donald Trump ukitarajiwa kutolewa ndani ya siku 30, uhakiki huu unatarajiwa kukamilika ndani ya siku 85 kuanzia Januari 24, 2025.
Kutokana na hilo, USAID imewaagiza maofisa wote kusimamisha kazi, mishahara, na safari kwa asasi na taasisi zote zilizopokea misaada kupitia shirika hilo.
Hayo yamebainishwa kupitia barua rasmi kwa maofisa wa mikataba na makubaliano ya USAID na washirika wake, iliyotolewa na shirika hilo Januari 24, 2025.
Barua hiyo, iliyosainiwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Manunuzi wa USAID, Jami J. Rodgers, imeeleza uamuzi huo unatokana na utekelezaji wa agizo la Rais Trump la kurejelea na kurekebisha misaada ya nje ya Marekani.
Soma kwa undani katika tovuti ya Mwananchi.
View attachment 3215692
Naona Kuna Kila dalili baadae zitakuwa zinauzwa elfu 7 hizo ngoja nijipange nifungue kiwanda hapa kigamboni au ephen_ unasemaje nakala kwa Poor Brain na mshamba_hachekwi Cc min -me😂😂😂🤣 ndomu je?
Kwa uzi unaweza kumwelewa Trump kwanini kachukua maamuzi hayaD.Trump wants to help Amerika, cha ajabu tanzagiza ambapo >50% ya fedha ni msaada ndiyo inaongoza kwa kuchezea fedha, raisi ikulu 3, magari kila siku land cruiser mpya, USA inabana matumizi kusaidia wananchi, tanzagiza shopping kwa kwenda mbele …
Tupunguze bajeti ya ma VX new model tunajiweza mbona?Hakutakuwa na ArVs za bure tena huko mbele ya safari
Kuna hatari maambukizi mapya ya HIV kushamiri miongoni mwa Watanzania
Hii itapelekea Serikali kutumia gharama kubwa kuyanunua hayo madawa, otherwise tutarajie ule Ukimwi aliouimba Ferouz kwenye nyimbo ya "Starehe" kurudi tena Mtaani
ARV serikali hununua,tangu zile za madabida mpaka hiziNi msaada mkuu