USAID yatangaza kusitisha misaada nje ya nchi

USAID yatangaza kusitisha misaada nje ya nchi

Kikwete alisema wazungu wanatoa mahela ya bure ni kujitahidi kuyachota tu.Naamini saa hizi anatuandalia neno la kujizatiti na dhahma ijayo ya kukosa mahela ya bure.Hata hivyo,huwa tunawadharau sana USA na kuwaita ni mashoga.Ni muda muafaka tujikite kubanana na China na Urusi.
Urusi ana uafadhari, lakini sio china,...
 
Nguo ya kuazimiaโ€ฆโ€ฆโ€ฆโ€ฆ mmoja amalizie
 
Shirika la Marekani la Maendeleo ya Kimataifa (USAID) limetangaza kusitisha utoaji wa fedha mpya na usambazaji wa fedha chini ya makubaliano ya malengo ya maendeleo (DOAGs) hadi uhakiki wa programu za msaada wa nje zinazofadhiliwa na USAID utakapokamilika.

Wakati mchakato wa kuhakikisha msaada wote wa nje unalingana na ajenda ya sera ya nje ya Rais Donald Trump ukitarajiwa kutolewa ndani ya siku 30, uhakiki huu unatarajiwa kukamilika ndani ya siku 85 kuanzia Januari 24, 2025.

Kutokana na hilo, USAID imewaagiza maofisa wote kusimamisha kazi, mishahara, na safari kwa asasi na taasisi zote zilizopokea misaada kupitia shirika hilo.

Hayo yamebainishwa kupitia barua rasmi kwa maofisa wa mikataba na makubaliano ya USAID na washirika wake, iliyotolewa na shirika hilo Januari 24, 2025.

Barua hiyo, iliyosainiwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Manunuzi wa USAID, Jami J. Rodgers, imeeleza uamuzi huo unatokana na utekelezaji wa agizo la Rais Trump la kurejelea na kurekebisha misaada ya nje ya Marekani.

Soma kwa undani katika tovuti ya Mwananchi.

View attachment 3215692
Dah.. kweli mtegemea cha nduguye ufa masikini..
Yaani hatupati tena fedha hizo.
 
Mbona wale wagonjwa wa 90s walishindwa kupandisha kinga zao wenyewe, wakawa wanakauka kama mti uliopigwa radi.
Umasikini na ugonjwa ni vitu viwili tofauti.., hiyo lishe unatoa wapi wakati hata milo miwili tu ya makande kwa siku ni shida?

- Hivi unafahamu kwamba Ukimwi (AIDS) sio ugonjwa, bali ni mkusanyiko wa magonjwa yanayosababishwa na kushuka kwa kinga mwilini? Mfano T.B

- Unafahamu kwamba magonjwa hayo yote yana tiba kamili zinazofahamika?

- Unafahamu kwamba mtu anaweza kupata magonjwa hayo bila hata kuwa na upungufu wa kinga mwilini? (Ukimwi?)

- Unafahamu kwamba magonjwa mapya yaliyo ndani ya kundi hilo yalipngezeka baada ya matumizi ya ARVs, nayo ni Kufeli ini, kufeli figo, na kufeli Moyo?
 
Umasikini na ugonjwa ni vitu viwili tofauti.., hiyo lishe unatoa wapi wakati hata milo miwili tu ya makande kwa siku ni shida?

- Hivi unafahamu kwamba Ukimwi (AIDS) sio ugonjwa, bali ni mkusanyiko wa magonjwa yanayosababishwa na kushuka kwa kinga mwilini? Mfano T.B

- Unafahamu kwamba magonjwa hayo yote yana tiba kamili zinazofahamika?

- Unafahaku kwamba mtu anaweza kupata magonjwa hayo bila hata kuwa na upungufu wa kinga mwilini? (Ukimwi?)
Jibu swali langu mkuu, nimeuliza swali moja umekuja na matatu-manne.
 
Back
Top Bottom