Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
๐๐๐๐๐totatoboa mashuka๐๐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
๐๐๐๐๐totatoboa mashuka๐๐
Urusi ana uafadhari, lakini sio china,...Kikwete alisema wazungu wanatoa mahela ya bure ni kujitahidi kuyachota tu.Naamini saa hizi anatuandalia neno la kujizatiti na dhahma ijayo ya kukosa mahela ya bure.Hata hivyo,huwa tunawadharau sana USA na kuwaita ni mashoga.Ni muda muafaka tujikite kubanana na China na Urusi.
Dah.. kweli mtegemea cha nduguye ufa masikini..Shirika la Marekani la Maendeleo ya Kimataifa (USAID) limetangaza kusitisha utoaji wa fedha mpya na usambazaji wa fedha chini ya makubaliano ya malengo ya maendeleo (DOAGs) hadi uhakiki wa programu za msaada wa nje zinazofadhiliwa na USAID utakapokamilika.
Wakati mchakato wa kuhakikisha msaada wote wa nje unalingana na ajenda ya sera ya nje ya Rais Donald Trump ukitarajiwa kutolewa ndani ya siku 30, uhakiki huu unatarajiwa kukamilika ndani ya siku 85 kuanzia Januari 24, 2025.
Kutokana na hilo, USAID imewaagiza maofisa wote kusimamisha kazi, mishahara, na safari kwa asasi na taasisi zote zilizopokea misaada kupitia shirika hilo.
Hayo yamebainishwa kupitia barua rasmi kwa maofisa wa mikataba na makubaliano ya USAID na washirika wake, iliyotolewa na shirika hilo Januari 24, 2025.
Barua hiyo, iliyosainiwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Manunuzi wa USAID, Jami J. Rodgers, imeeleza uamuzi huo unatokana na utekelezaji wa agizo la Rais Trump la kurejelea na kurekebisha misaada ya nje ya Marekani.
Soma kwa undani katika tovuti ya Mwananchi.
View attachment 3215692
Umasikini na ugonjwa ni vitu viwili tofauti.., hiyo lishe unatoa wapi wakati hata milo miwili tu ya makande kwa siku ni shida?Mbona wale wagonjwa wa 90s walishindwa kupandisha kinga zao wenyewe, wakawa wanakauka kama mti uliopigwa radi.
Afadhali?Fuatilia taarifa zake.Urusi ana uafadhari, lakini sio china,...
๐๐๐Baaba ana gubu huyo..sasa kina mzabzab watapata wapi dawa zao jamani...
unaweza ukawa sahihi, lakini China ni hatari zaidi..,Afadhali?Fuatilia taarifa zake.
Labda walikuwa hawana ujuzi wa upandishaji kinga.Mbona wale wagonjwa wa 90s walishindwa kupandisha kinga zao wenyewe, wakawa wanakauka kama mti uliopigwa radi.
Una dhambi weweee...Uzuri mie hizo dawa sijawahi kutumia miaka 19 nadunda town nacheza na mbususu tuu
Jibu swali langu mkuu, nimeuliza swali moja umekuja na matatu-manne.Umasikini na ugonjwa ni vitu viwili tofauti.., hiyo lishe unatoa wapi wakati hata milo miwili tu ya makande kwa siku ni shida?
- Hivi unafahamu kwamba Ukimwi (AIDS) sio ugonjwa, bali ni mkusanyiko wa magonjwa yanayosababishwa na kushuka kwa kinga mwilini? Mfano T.B
- Unafahamu kwamba magonjwa hayo yote yana tiba kamili zinazofahamika?
- Unafahaku kwamba mtu anaweza kupata magonjwa hayo bila hata kuwa na upungufu wa kinga mwilini? (Ukimwi?)
Kwakweli ni ujonga mnoooo huyu maza anafanyaUsikute Trump alikua anacheki tu vile mabao yananunuliwa anajisemea
"anhaaa nakusaidia hela ya kula kumbe we zako unanunua mabao"
Naomba niku PM mkuuWagonjwa Tayari wapo, na wanapandisha kinga zao kwa njia hii muda wote..,
Nahisi niliandika ile comment nikiwa nimelewa Kiko yangu Mjukuu ๐๐Hahahaha ๐ ๐ ๐ babuuuu nna mashaka na ujana wako
Nimekujibu, umasikini.Jibu swali langu mkuu, nimeuliza swali moja umekuja na matatu-manne.
Mkuu,Labda walikuwa hawana ujuzi wa upandishaji kinga.