USAID yatangaza kusitisha misaada nje ya nchi

Wamechelewa Sana, bado UK Aid, DANIDA, KOICA na NORAD, hii misaada imetufanya tuwe maskini, tunalala na kuzaliana kusubiri tuletewe mipira ya uzazi, chanjo, kukatwa mikono sweta na USA kwa msaada wa watu wa Marekani.
 
TRump kishateua Administrator wa USAID, shirika linazikwa hilo.
Wale viaja wa ICAP, USAID, MDH, walikuwa wanatesa mjini kwenye kumbi za starehe sasa wanakutana na wanawetu huko Itumishi, walikuwa wanatamba mitandaoni, sasa wataanza kuimba wimbo mmoja na akija MSHANA.
 
Yale ma deals ya TACAIDS ndio basi tena.......Kumaanisha!!
Kuna watu wengi sana wamegeuza huu ugonjwa mtaji, ile barabara ya mikocheni kuna vi NGO kibao vinapiga pesa kwa kisingizi cha awareness, hakika nawahakikishia, huu ugonjwa ukinyimwa funding, utapotea wenyewe moja kwa moja..

Ni kama Corona, ukileta tu funding, unashangaa ugonjwa unalipuka upya!!
 
Ss kuna Vi NGO vitakufa kifo cha mende..vile vilikuwa vinasurvive kwa ajili ya ukimwi vitapata mhaho..
 
Hatariiiiiizzzzz......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…