Kuna demu nilikua nafanya nae kazi mwaka jana dah kilaza kinoma akabahatika kupata kazi alipofika kule bado mambo yale yale sasa kuna jamaa anafanya kituo hiko hiko ,siku nimeenda mbeya nikakutana nae wakati tunapiga stori tukabadilishana namba ndo kuview status nikaona kampost ana muwish. Nikamuuliza akasema anapiga nae kazi ndo akamwaga mchele jinsi alivyo mzigo mpaka watu wanajiuliza alifaulu vipi. Sasa fikiria huyo kama angeenda kwa hii interview angezeekea kwao na naamini kuna watu watazeekea nyumbani.