Usaili kada ya Afya utaanza Septemba 2 mpaka 9, 2024

Usaili kada ya Afya utaanza Septemba 2 mpaka 9, 2024

neno ni upanga

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2022
Posts
494
Reaction score
1,656
Leo utumishi wametoa majina ya wasailiwa kada ya afya, usaili huo utaanza septemba 2 mpaka tarehe 9, katika mikoa waliombea nafasi!

Niwapongeze sekretariati ya umma kwa kazi nzuri ambapo kwa sasa ni imani yangu saili zote zitafanyika kwenye mikoa ya waombaji hii itawaondolea vijana gharama na itawafanya wote kushiriki usaili huo tofauti na mwanzo, maudhurio yalikuwa ni madogo kwa sababu wengi walikuwa wanashindwa nauli na gharama za kwenda Dodoma!

Niwatakie wasailiwa wote mithani mema! Niwahakikishie tu kama wewe ni compentent wala huna haja ya kuogopa lakini mtihani ni mtihani tu hata kama wewe ni kichwa kusimama mbele ya panel yamkini wengine uzoefu huo hamna! Lakini kila jambo ni kumtanguliza Mungu!

All the best madaktari wetu!

PIA SOMA
- Huu usaili wa kada za afya una walakini na unatengeneza mianya ya rushwa
 

Attachments

Leo utumishi wametoa majina ya wasailiwa kada ya afya, usaili huo utaanza septemba 2 mpaka tarehe 9, katika mikoa waliombea nafasi!

Niwapongeze sekretariati ya umma kwa kazi nzuri ambapo kwa sasa ni imani yangu saili zote zitafanyika kwenye mikoa ya waombaji hii itawaondolea vijana gharama na itawafanya wote kushiriki usaili huo tofauti na mwanzo, maudhurio yalikuwa ni madogo kwa sababu wengi walikuwa wanashindwa nauli na gharama za kwenda Dodoma!

Niwatakie wasailiwa wote mithani mema! Niwahakikishie tu kama wewe ni compentent wala huna haja ya kuogopa lakini mtihani ni mtihani tu hata kama wewe ni kichwa kusimama mbele ya panel yamkini wengine uzoefu huo hamna! Lakini kila jambo ni kumtanguliza Mungu!
All the best madaktari wetu!
Usiseme hivyo kunawatu wanafanya oral na wamesema hivi ;
USAILI HUU UTAFANYIKA KATIKA MKOA AMBAO MSAILIWA ALIOMBEA NAFASI ZA KAZI (KWA TAARIFA ZAIDI TEMBELEA TOVUTI YA SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA).

sasa wewe ukisema wanafanyia mkoa husika sijui unamaana gani?
 
Usiseme hivyo kunawatu wanafanya oral na wamesema hivi ;
USAILI HUU UTAFANYIKA KATIKA MKOA AMBAO MSAILIWA ALIOMBEA NAFASI ZA KAZI (KWA TAARIFA ZAIDI TEMBELEA TOVUTI YA SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA).

sasa wewe ukisema wanafanyia mkoa husika sijui unamaana gani?
Mkoa husika ni mkoa uliombea kazi!
 
Leo utumishi wametoa majina ya wasailiwa kada ya afya, usaili huo utaanza septemba 2 mpaka tarehe 9, katika mikoa waliombea nafasi!

Niwapongeze sekretariati ya umma kwa kazi nzuri ambapo kwa sasa ni imani yangu saili zote zitafanyika kwenye mikoa ya waombaji hii itawaondolea vijana gharama na itawafanya wote kushiriki usaili huo tofauti na mwanzo, maudhurio yalikuwa ni madogo kwa sababu wengi walikuwa wanashindwa nauli na gharama za kwenda Dodoma!

Niwatakie wasailiwa wote mithani mema! Niwahakikishie tu kama wewe ni compentent wala huna haja ya kuogopa lakini mtihani ni mtihani tu hata kama wewe ni kichwa kusimama mbele ya panel yamkini wengine uzoefu huo hamna! Lakini kila jambo ni kumtanguliza Mungu!
All the best madaktari wetu!
Over 8,000 applicants kwa nafasi ngapi? UJINGA MTUPU WA SERIKALI HII. Why call all that mass for 600 slots? Rubbish!
 
Back
Top Bottom