Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu usaili ni wa kidigitali kama umewahi kwenda maswali ni mulitiple chòice yanakuwa 20 dakika 25 ukimaliza tu matokeo yako unayaona automatically wala hamna wa kukusahishiaWritten nani atasahihisha makaratasi ya watu 8,000? Mavi matupu
Ni kwa sababu haujawahi kupiga interview za dodoma ndo maana unaongea hivyo lakini waliopiga interview dodoma wanajua maana ya nauli kupunguaMbona tatizo hili gharama haziepukiki hapa za nauli maana nimeomba kazi lindi ila natokea mbeya na anuani niliyo andika ni ya mbeya
Acha uoga wewe! Ulifikiri waitwe watu kumi?? Kumbuka kila mmoja anaogopa kama wewe! Ukighairi kwenda ndo maana ya mchunjo sasa unajichunja mapema kama hujiamini!Sina hata mzuka wa kwenda kwenye interview zao mm
Ndo maana ya usailiOver 8,000 applicants kwa nafasi ngapi? UJINGA MTUPU WA SERIKALI HII. Why call all that mass for 600 slots? Rubbish!
Ndo maanakeHivi kwenye account yako ukiandikiwa oral interview inaanisha hautafanya Written ama vipi
Sasa kosa ni lako mkuu wao wanafuata anuani ulioandika maana ya anuani maanake ni sehemu uliopo kwa wakati huo! Kama uliomba lindi ulipaswa kuandika anuani ya lindi mkuu, Usije kujichanganya kwenda sehemu ambayo hujapangwa mkuu!!Mbona tatizo hili gharama haziepukiki hapa za nauli maana nimeomba kazi lindi ila natokea mbeya na anuani niliyo andika ni ya mbeya
Mbona nasikia course za afya ni ngumu sasa wewe mpenda kuzagamua uliwenzaje!! Au basi ngoja nikuache..Tukutane duce...ila mi siendi😅
Kazi ya kuzagamuana,,,, hv nayo ni kazi kweli?Nakwambia ukoo wenu wote hakuna mwenye kazi kama yangu!
🤣🤣Nimecheka sanaMbona nasikia course za afya ni ngumu sasa wewe mpenda kuzagamua uliwenzaje!! Au basi ngoja nikuache..
Amna mkuu anuani nimeandika ya mbeya ila ukiingia kwenye account wanasema interview itafanyika sehem uliyo ombea kazi na sehemu niliyo ombea kazi ni kundiSasa kosa ni lako mkuu wao wanafuata anuani ulioandika maana ya anuani maanake ni sehemu uliopo kwa wakati huo! Kama uliomba lindi ulipaswa kuandika anuani ya lindi mkuu, Usije kujichanganya kwenda sehemu ambayo hujapangwa mkuu!!
Sio kama naogopa interview mm nopAcha uoga wewe! Ulifikiri waitwe watu kumi?? Kumbuka kila mmoja anaogopa kama wewe! Ukighairi kwenda ndo maana ya mchunjo sasa unajichunja mapema kama hujiamini!
Unashauri wangefanyeje?,Ili applicants wasiwe 8000?Over 8,000 applicants kwa nafasi ngapi? UJINGA MTUPU WA SERIKALI HII. Why call all that mass for 600 slots? Rubbish!
Sasa unajuaje kua katika hao 300?,nafasi Yako haipo?Sio kama naogopa interview mm nop
Nikiangalia lab tech wanahitajika watu 300 halafu pdf imetema 2000 naaa mzuka unakata aisee
Mbona wakata tamaa mapema hivyo. Sometimes hizi mambo ni bahati kazi nayofanya tulikuwa elfu ishirini na mbili tukaenda hivyo hadi tukabaki 100
Ingekuaje?,ili usiwe ujinga mtupu?8125 hawa ndio wa clinical medicine oral interview? mbona ni ujinga mtupu
Unafanya KAZI ya kurudisha roho zilizokufa?Nakwambia ukoo wenu wote hakuna mwenye kazi kama yangu!
Umeona eeh ntaenda tu inshallah mungu anaweza leta heri zakeSasa unajuaje kua katika hao 300?,nafasi Yako haipo?
Hiyo kawaida mkuu! Wengine tulishazoea mtu mmoja wanaitwa watu 800! Nenda kapige iterview ukifaulu hata kama hutapata nafasi utakuwa database muda wowote utaitwa kaziniSio kama naogopa interview mm nop
Nikiangalia lab tech wanahitajika watu 300 halafu pdf imetema 2000 naaa mzuka unakata aisee
Mmepishana lugha mkuu!! Wewe ndo hujawaelewa wewe uliomba kazi wapi??? Kama uliomba kazi lindi ulipaswa uweke anuani ya lindi currently wanaamini upo hapo! Vinginevyo lazima utagharamika maana mfano wewe upo dar unaomba kazi mwanza maanake lazima utaenda usaili mwanza mkuu! Bado kosa sio laoAmna mkuu anuani nimeandika ya mbeya ila ukiingia kwenye account wanasema interview itafanyika sehem uliyo ombea kazi na sehemu niliyo ombea kazi ni kundi