cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nikiwaza lab tech wanahitajika 300 tu na pdf imetema 2000 na something nachanganyikiwa[emoji1][emoji1]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nikiwaza lab tech wanahitajika 300 tu na pdf imetema 2000 na something nachanganyikiwa[emoji1][emoji1]
Mbona mavi tena🤣😂😂😂😂😂😂😂Written nani atasahihisha makaratasi ya watu 8,000? Mavi matupu
Sasa unachanganyikiwa nn mbona ratio ni nzuri tu unamaana kwenye watu saba atoke mmoja. Kuna za TRA waliitaji watu 400 Pdf ikatema watu 50,000 sembuse watu 2000.Nikiwaza lab tech wanahitajika 300 tu na pdf imetema 2000 na something nachanganyikiwa😄😄
Mambo ni mashokolomageni😅😅💔[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Shukran nimekuelewa mkuuMmepishana lugha mkuu!! Wewe ndo hujawaelewa wewe uliomba kazi wapi??? Kama uliomba kazi lindi ulipaswa uweke anuani ya lindi currently wanaamini upo hapo! Vinginevyo lazima utagharamika maana mfano wewe upo dar unaomba kazi mwanza maanake lazima utaenda usaili mwanza mkuu! Bado kosa sio lao
Unataka nani aachwe wakati wote wanasifa?Lab tech wanahitajika 300 tu tz nzima
Pdf imetema karibia elfu 2 na ushee Sasa ndo nn takataka Kabisa yani
Usiende ili kupunguza idadiWritten nani atasahihisha makaratasi ya watu 8,000? Mavi matupu
Mkuu unapiga sana spana tumetubu😂😂Kuna baadhi ya watu wa afya na najua na waalimu nao wataingia humu humu ikifika wakati wao, ety wanasema inakuaje watu wengi hvy hy mitihani itasahihishwa vp kumaliza watu wote.
Majibu ya written interview ni multiple choice hvy Jibu Ni moja tuu hvy system itahesabu majibu sahihi kwa muda mfupi sana na ndio mana majibu mtayapata siku hy hy.
Kwahy nyie watu wa afya na waalimu acheni upumbavu wenu ety watu wengi hvy mitihani yao itasahihishwa vp.
Utumishi shikilieni hapo hapo 🔥🔥🔥
Mpaka muite maji mma 😂Mkuu unapiga sana spana tumetubu😂😂
Swali mkuu dogo anatumia majina mawili ila NIDA Ina matatu na hiyo anatakiwa awe na DEED POLL?DONDOO ZA USAHILI WA WRITTEN KUPITIA MFUMO WA KIDIGITALI
Mtihani unafanyika kwa njia ya kidigitali, cha muhimu unatakiwa ufike kwenye kituo utakachopangiwa siku ya interview mapema kabla ya saa 1 asuhuhi maana huwa kuna heka heka za hapa na pale. Mnaweza kuhamishwa darasa au kupewa maelekezo ya ziada. Kituo ulichopangiwa utakiona kwenye akaunti yako ya ajira portal. Hakikisha unaenda kwenye kituo hicho na si vinginevyo.
Nenda na viambatanisho muhimu la sivyo utazuiliwa kufanya huo mtihani; Hakikisha unabeba
1. Vyeti halisi (original copies) cha form four na form six
2. Cheti halisi cha chuo
3. Cheti cha kuzaliwa
4. Kitambulisho kinachokubalika (NIDA, Pass ya kusafiria, leseni ya udereva au kitambulisho cha mpiga kura)
5. Kama majina yako ya academic certificates na kitambulisho au cheti cha kuzaliwa hayafanani hakikisha unatafuta DEED POLL mapema kutoka kwa mwanasheria au wakili yeyote la sivyo utazuiliwa kufanya mtihani.
Tukirudi kwenye mtihani;
Hakikisha unaijua vizuri email yako na password unayotumia kuingilia kwenye account yako ya ajira portal maana ndio utakayoitumia ku-access mtihani wa written.
Msimamizi ndiye atakaye weka address (URL) ya wewe kuuona mtihani wako, atakupangia komputa ya kukaa ikiwa na Login page (ina sehemu ya kuingiza email na password ileile ya ajira portal).
Ukisha-login, utaona maswali 50 ya kuchagua (multiple choice). Muda wa kujibu ni lisaa limoja (1 hour). Hakikisha unajibu maswali yote kabla ya ku-submit. Unaweza ukachagua jibu na kisha ukabadilisha na kuweka lingine.
Mara baada ya kumaliza mtihani wako, hakikisha unajiridhisha umejibu maswali yote kabla ya ku-submit, kuna panel kushoto itaonesha maswali uliyojibu kwa kuyawekea rangi ya kijani na ambayo haujayajibu kwa rangi ya gray(kijibu). Once ukisha-submit ndio basi huwezi kulog-in tena wala kufanya chochote zaidi ya kusubiri matokeo ambayo utayapata siku hiyo hiyo.
MAMBO YA KUZINGATIA:
Achana na mambo ya kupiga chabo. Maana ule mtihani upo very tricky, swali la kwanza kwako sio la kwanza la jirani yako.
Baada tu ya ku-log in screen ya maelekezo itakuja na itadumu kwa dakika tatu kisha mtihani utakuja. Utakuwa kwenye screen yote. Usije ukathubutu ku-minimize ile screen kwa sababu yoyote ile. Ukifanya hivyo mtihani utaji-submit na utakuwa umeshafeli.
Zingatia sheria zote za mtihani maana ukikamatwa unaibia utafungiwa kufanya mitihani ya PSRS kwa muda usiojulikana pia unaweza kuchukuliwa hatua za kinidhamu.
Simu, saa zote na vifaa vya kidigitali haviruhusiwi wakati wa kufanya mtihani, ukijanavyo utalazimika kuviacha mbele ya chumba cha usaili.
BAADA YA MTIHANI:
Kama uliomba nafasi zaidi ya moja utaendelea kusubiri kwenye chumba cha mtihani ili kufanya interview nyingine mpaka zote umalize.
Baada ya kumaliza mtihani subiri matokeo yako kwenye account yako kama umekuwa SELECTED au NOT SELECTED kwa hatua inayofuata. Marks ulizopata zitawekwa kwenye tovuti ya ajira utumishi kwa namba yako ya mtihani. Mara nyingi majibu hutoka kuanzia jioni maana interview zote zinakuwa zimeshamalizika za siku husika.
Kama kuna jambo sijalitaja wataalamu wengine watatoa mwongozo. Best wishes watumishi wa umma.
Huu ni ujinga wako binafsiMbona tatizo hili gharama haziepukiki hapa za nauli maana nimeomba kazi lindi ila natokea mbeya na anuani niliyo andika ni ya mbeya
Sawa tukutane kwenye PDF ya mwishoHuu ni ujinga wako binafsi
.
. Mimi tena 😁😁, Umenirudisha nyuma sana kijana.Sawa tukutane kwenye PDF ya mwisho
Ushafeli intaviuu kabla hata ya tareheSijaelewa inamaana written interview haipo ,, kwa hiyo moja kwa moja tunaenda oral interview ?????
Lab tech wanahitajika 300 tu tz nzima
Pdf imetema karibia elfu 2 na ushee Sasa ndo nn takataka Kabisa yani
I pray to everybody to score a good grade