CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,872
- 9,263
Wahindi ukiachilia mbali mambo yao mengine wale jamaa huwa ni watu wenye akili sana, Hatuwezi lingana nao kwa akili.
Wahindi huwanandaa sana watoto wao Kisaikolojia tangu wakiwa Chekechea.
Wahindi huwaandaa watoto wao kuja kuwa Wafanya biashara au kuja kurithi Biashara zao.
Wahindi ni Made Entrepreners.
Ndo maana Chuoni hutawakuta aanasoma kozi tofauti na zinazo endana na Kile wanacho fanya wazazi wao.
Wahindi utawakuta wanasoma.
- IT
-Law
-Marketing
-Accounting
-Procurement
-Na Uhandisi
Wanaosoma wakimanisha kabisa.
Niwakati sasa wa kuwaandaa watoto wetu kisaikolojia, waandae wasome waje kuwa Wafanya biashara wakubwa, wakulima wakubwa, wafugaji wakubwa na kadhalika.
Wacha kuwaaminisha kwamba wanasoma waje kuwa na maisha mazuri au waje kuwa Mameneja wa benki
Sent using Jamii Forums mobile app
Wahindi huwanandaa sana watoto wao Kisaikolojia tangu wakiwa Chekechea.
Wahindi huwaandaa watoto wao kuja kuwa Wafanya biashara au kuja kurithi Biashara zao.
Wahindi ni Made Entrepreners.
Ndo maana Chuoni hutawakuta aanasoma kozi tofauti na zinazo endana na Kile wanacho fanya wazazi wao.
Wahindi utawakuta wanasoma.
- IT
-Law
-Marketing
-Accounting
-Procurement
-Na Uhandisi
Wanaosoma wakimanisha kabisa.
Niwakati sasa wa kuwaandaa watoto wetu kisaikolojia, waandae wasome waje kuwa Wafanya biashara wakubwa, wakulima wakubwa, wafugaji wakubwa na kadhalika.
Wacha kuwaaminisha kwamba wanasoma waje kuwa na maisha mazuri au waje kuwa Mameneja wa benki
Sent using Jamii Forums mobile app