Mlaleo
JF-Expert Member
- Oct 11, 2011
- 14,809
- 11,825
Zamani walikuwepo kila Idara... Jeshini,Polisi n.k pengine mnawanyanyapaa na pia wanaona kama watawabania nafasi za kazi and then mtawachukia so wamechukua tahadhari.
Kuna Mzee mmoja mhindi alikuwa pale NBC miaka ya Dingi zetu aliitwa S.Pira alipiga kazi hadi akastaafu mwenyewe kisha akaajiliwa bank ya DTB kama mkurugenzi wa kwanza... Wahindi huwa bright sana
Kuna Mzee mmoja mhindi alikuwa pale NBC miaka ya Dingi zetu aliitwa S.Pira alipiga kazi hadi akastaafu mwenyewe kisha akaajiliwa bank ya DTB kama mkurugenzi wa kwanza... Wahindi huwa bright sana