Usaili wa jana wa TRA kuna mtu aliniambia hajaona mtoto wa Kihindi pale, Unajua kwa nini?

Usaili wa jana wa TRA kuna mtu aliniambia hajaona mtoto wa Kihindi pale, Unajua kwa nini?

Zamani walikuwepo kila Idara... Jeshini,Polisi n.k pengine mnawanyanyapaa na pia wanaona kama watawabania nafasi za kazi and then mtawachukia so wamechukua tahadhari.

Kuna Mzee mmoja mhindi alikuwa pale NBC miaka ya Dingi zetu aliitwa S.Pira alipiga kazi hadi akastaafu mwenyewe kisha akaajiliwa bank ya DTB kama mkurugenzi wa kwanza... Wahindi huwa bright sana
 
Serikali na Tasisi zake ni pure African.
Na haina sera ya kuajiri asiekua mweusi. Hii ni sere rasmi kabisa.
tupo tofauti na Kenya. Tuna kaubaguzi fulani ambao unatutafuna na kusambaa hadi kuchaguana kikabila na kidini
mtu atasema mbona wabunge wapo.....hao wote ni fedha yao ndio inatumika.


Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kweli, Wahindi Wanaandaa sana Watoto wao kuwa warithi.

Chukulia wewe ni Mfanya Biashara mkubwa je mtoto wako au watoto wako vyuoni wanasomea masomo yapi?

Mentality tu zetu za kuamini katika ajira

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Toooo late.... Mlisha chelewa sana, inahitajika elimu ya nguvu kuwaondoa kwanza mawazo ya utengemezi wa kuajiriwa....
 
Sasa wewe baba yako maskini unataka kujifananisha na mtoto wa Dewji? yaani hauna tofauti na Kigwanomics! Fukara ana muda wa kumuandaa mwanae a some nini? Usipojiongeza inakula kwako, labda akuandae kuja kuwa mpiga ramli

Mkuu jaribu kuwa positive katika maisha ni kweli wazazi wetu hawakutuandalia maisha lakini haimaanishi kwamba hatuwezi kuandaa maisha ya vizazi vyetu vijavyo

Kingwangala amekuwa akiongea vitu vya ukweli na msingi sana lakini kwa sababu tumejichagulia upande basi akileta hoja tunampinga hapana sio chukueni ya msingi yafanyieni kazi

Toooo late.... Mlisha chelewa sana, inahitajika elimu ya nguvu kuwaondoa kwanza mawazo ya utengemezi wa kuajiriwa....

Hapana we can start now na tukaleta mabadiliko

Sio wahindi wote ni matajiri....ni wachache sana wengine ni walala hoi sana

Sent using Jamii Forums mobile app

Sawa wapo maskini pia hoja ya msingi ni kwamba unakiandaaje kizazi chako kukabiliana na changamoto za maisha
 
Poor and middle class people work for money while rich people work for them.

great thinker
 
Serikali na Tasisi zake ni pure African.
Na haina sera ya kuajiri asiekua mweusi. Hii ni sere rasmi kabisa.
tupo tofauti na Kenya. Tuna kaubaguzi fulani ambao unatutafuna na kusambaa hadi kuchaguana kikabila na kidini
mtu atasema mbona wabunge wapo.....hao wote ni fedha yao ndio inatumika.


Sent using Jamii Forums mobile app
Acha uongo serikali yetu inaajiri raia yeyote bila kujali race yake au rangi yake. Sema watanzania hao wenye asili ya asia au mabara mengine hawapendi sana hizi kazi ambazo za kiofisi na zinazofanana na ukarani tu. Nenda Muhimbili kuna daktari wa kihindi na wengineo kwa maana ukiachana na uhandisi au biashara au urubani hao jamaa hupenda udaktari. Wengi wao hupenda kujiajiri au kuajiriwa na biashara au kampuni za familia zao. Hawapendi kazi za serikali wanataka uhuru flani kama unavyojua utumishi wa umma ukitaka kwenda nje hadi uombe vibali n.k. Mbona Prof. Shivji na wengineo waliajiriwa na serikali? Did you do your home work to find out the truth about it or you just spat what came first in your mind without proof or evidence?
 
Mimi hunikalishi kwenye li crowd la watu wengi hvyo eti kisa natafta kazi. Hata kama ningekua sina hela....basi tu hunikalishi pale.

Like seriously bado sija fail life kiasi hicho. Kwa jinsi akili yangu navyoijua i can never do such a thing.
We utakua au ulikua mtoto wa kibosile ambaye pengine alikua fisadi, ivo umeanzia maisha kwenye harusi tu unapewa viwanja, mashamba, nyumba kama zawadi.
 
Sasa wewe baba yako maskini unataka kujifananisha na mtoto wa Dewji? yaani hauna tofauti na Kigwanomics! Fukara ana muda wa kumuandaa mwanae a some nini? Usipojiongeza inakula kwako, labda akuandae kuja kuwa mpiga ramli
Umenichekesha balaa!
 
Waombe hiyo kazi muanze kuwabagua na kuwanyanyapa na kuwahoji uzalendo wao na kuwaletea figisu figisu kibao kama Wallace karia TFF ?
 
Mjeremani nasikia alitupeleka vizuri katika mlengo wa kujitegemea, Aliyekuja kuharibu ni Muingereza baada ya kuwekwa chini yake, alianza kutufundisha ku-kremu....... sijui Civics means a greek word..................... According to newton............
 
Hakuna Mtu mwenye akili zaidi ya Mwenzake...kati ya vitu ambavyo mungu hajafanya Upendeleo ni Kwenye suala la Akili...Sema tu tunatofautiana Namna ya Kuzitumia Akili...
Wenzetu wahindi wanaFikiria vizuri zaidi...ila kama ni akili hata Cici Tunazo sema tunazitumia na Kuwekeza muda mwingi kwenye Mizani ya Kiba na Diamond..
Ila Nakuunga mkono hoja yako kwa 100%

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukishaingiza mambo ya imani tu umeharibu! Twende kisayansi, Je IQ inatofautiana kutokana na jamii fulan!?
 
Ndio hivyo mkuu, elimu yetu imetuandaa kutumikia fedha na siyo fedha zitutumikie sisi.

Ndiyo maana wazazi wanawasisitiza watoto wao wasome kwa bidii waje wapate kazi na mshahara mzuri, nyumba nzuri, promotion n.k


Sasa mambo kumbe hayapo straight hivyo na needs zetu nazo zinabadilika. Inatakiwa inafika wakati fedha zako zinatakiwa zikutumikie wakati wewe nguvu huna tena, That's BUSINESS/INVESTMENTS nazungumzia
aseeee we unatema cheche,
SALUTE

*Akifa shekhe kazi ya Mungu*
*Akifa mlevi sababu ya Pombe*
 
Back
Top Bottom