Come27
JF-Expert Member
- Dec 1, 2012
- 7,723
- 7,408
Sisi waafrika ni wanaume mashine, tumezoea kuzaa na kufanya mapenzi ndio tunachojua. Unakuta Unazaa watoto wengi na wakati hata maisha yenyewe huna. Lazima Umasikini utuue tuuuuuuuu hakuna jinsi. Wenzetu wakizaa wanapanga bajeti ya mtoto, na wakati huku mtu anazaa na wakati hata pesa yenyewe ya kwenda hospital [emoji541] kujifungua ni ishu sana.Mkuu jaribu kuwa positive katika maisha ni kweli wazazi wetu hawakutuandalia maisha lakini haimaanishi kwamba hatuwezi kuandaa maisha ya vizazi vyetu vijavyo
Kingwangala amekuwa akiongea vitu vya ukweli na msingi sana lakini kwa sababu tumejichagulia upande basi akileta hoja tunampinga hapana sio chukueni ya msingi yafanyieni kazi
Hapana we can start now na tukaleta mabadiliko
Sawa wapo maskini pia hoja ya msingi ni kwamba unakiandaaje kizazi chako kukabiliana na changamoto za maisha
Yaani Africa [emoji288] ni upumbavu upumbavu tuuuuuuuu, ndio maana Donald Trump anatutukana laivu laivu.