Sio kweli, Wahindi Wanaandaa sana Watoto wao kuwa warithi.Serikali na Tasisi zake ni pure African.
Na haina sera ya kuajiri asiekua mweusi. Hii ni sere rasmi kabisa.
tupo tofauti na Kenya. Tuna kaubaguzi fulani ambao unatutafuna na kusambaa hadi kuchaguana kikabila na kidini
mtu atasema mbona wabunge wapo.....hao wote ni fedha yao ndio inatumika.
Sent using Jamii Forums mobile app
Muda na fursa. Usisahau fursa.Ndo uwezo wako wakuwaza umefikia mwisho? Tofauti ya Tajiri na Masikini ni kwenye Muda, Mo anatumia vipi muda wake na Masikini anatumia vipi muda wake
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio wahindi wote ni matajiri....ni wachache sana wengine ni walala hoi sanaSio kweli, Wahindi Wanaandaa sana Watoto wao kuwa warithi.
Chukulia wewe ni Mfanya Biashara mkubwa je mtoto wako au watoto wako vyuoni wanasomea masomo yapi?
Mentality tu zetu za kuamini katika ajira
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa wewe baba yako maskini unataka kujifananisha na mtoto wa Dewji? yaani hauna tofauti na Kigwanomics! Fukara ana muda wa kumuandaa mwanae a some nini? Usipojiongeza inakula kwako, labda akuandae kuja kuwa mpiga ramli
Toooo late.... Mlisha chelewa sana, inahitajika elimu ya nguvu kuwaondoa kwanza mawazo ya utengemezi wa kuajiriwa....
Sio wahindi wote ni matajiri....ni wachache sana wengine ni walala hoi sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha uongo serikali yetu inaajiri raia yeyote bila kujali race yake au rangi yake. Sema watanzania hao wenye asili ya asia au mabara mengine hawapendi sana hizi kazi ambazo za kiofisi na zinazofanana na ukarani tu. Nenda Muhimbili kuna daktari wa kihindi na wengineo kwa maana ukiachana na uhandisi au biashara au urubani hao jamaa hupenda udaktari. Wengi wao hupenda kujiajiri au kuajiriwa na biashara au kampuni za familia zao. Hawapendi kazi za serikali wanataka uhuru flani kama unavyojua utumishi wa umma ukitaka kwenda nje hadi uombe vibali n.k. Mbona Prof. Shivji na wengineo waliajiriwa na serikali? Did you do your home work to find out the truth about it or you just spat what came first in your mind without proof or evidence?Serikali na Tasisi zake ni pure African.
Na haina sera ya kuajiri asiekua mweusi. Hii ni sere rasmi kabisa.
tupo tofauti na Kenya. Tuna kaubaguzi fulani ambao unatutafuna na kusambaa hadi kuchaguana kikabila na kidini
mtu atasema mbona wabunge wapo.....hao wote ni fedha yao ndio inatumika.
Sent using Jamii Forums mobile app
We utakua au ulikua mtoto wa kibosile ambaye pengine alikua fisadi, ivo umeanzia maisha kwenye harusi tu unapewa viwanja, mashamba, nyumba kama zawadi.Mimi hunikalishi kwenye li crowd la watu wengi hvyo eti kisa natafta kazi. Hata kama ningekua sina hela....basi tu hunikalishi pale.
Like seriously bado sija fail life kiasi hicho. Kwa jinsi akili yangu navyoijua i can never do such a thing.
Umenichekesha balaa!Sasa wewe baba yako maskini unataka kujifananisha na mtoto wa Dewji? yaani hauna tofauti na Kigwanomics! Fukara ana muda wa kumuandaa mwanae a some nini? Usipojiongeza inakula kwako, labda akuandae kuja kuwa mpiga ramli
Ukishaingiza mambo ya imani tu umeharibu! Twende kisayansi, Je IQ inatofautiana kutokana na jamii fulan!?Hakuna Mtu mwenye akili zaidi ya Mwenzake...kati ya vitu ambavyo mungu hajafanya Upendeleo ni Kwenye suala la Akili...Sema tu tunatofautiana Namna ya Kuzitumia Akili...
Wenzetu wahindi wanaFikiria vizuri zaidi...ila kama ni akili hata Cici Tunazo sema tunazitumia na Kuwekeza muda mwingi kwenye Mizani ya Kiba na Diamond..
Ila Nakuunga mkono hoja yako kwa 100%
Sent using Jamii Forums mobile app
Mleta mada ni aina ya watu wanaodhani kila MZUNGU anao uwezo wa kutengeneza ndege au kurusha ROCKET !Sio wahindi wote ni matajiri....ni wachache sana wengine ni walala hoi sana
Sent using Jamii Forums mobile app
aseeee we unatema cheche,Ndio hivyo mkuu, elimu yetu imetuandaa kutumikia fedha na siyo fedha zitutumikie sisi.
Ndiyo maana wazazi wanawasisitiza watoto wao wasome kwa bidii waje wapate kazi na mshahara mzuri, nyumba nzuri, promotion n.k
Sasa mambo kumbe hayapo straight hivyo na needs zetu nazo zinabadilika. Inatakiwa inafika wakati fedha zako zinatakiwa zikutumikie wakati wewe nguvu huna tena, That's BUSINESS/INVESTMENTS nazungumzia