Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,361
- 21,680
Hii ni chai kabisa[emoji28][emoji28][emoji28]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda mkabadilishane virusi, ukiona demu mlipotezana na ghafla mnakutana anapanua basi ujue umeumia. Kimbia mpaka nyayo zipate pancha.Baada ya jana kumpokea stendi kuu ya dodoma na kumlipia lodge, akanipa tunda maana tuna miaka miwili hatujaonana na huyu Mama E.
Asubuhi nikampeleka chuo cha dodoma kwenye usaili, mchana nikamfuata nikampeleka Malaika Annex kula kuku wa kuchoma baadae nikampeleka room kwake akapumzike kidogo.
Jioni hii nimemfuata, tuko nae hapa Royal tunapata moja mbili na nyamanyama za kutosha.
Kwa kuwa kesho anaondoka kurudi kwa mme wake mkoa X, basi usiku wa leo nitamshughulikia kama kawaida, hakika Mama E kanawiri na amekuwa na utelezi wa kutosha hivyo nitapiga piga vya kutosha kabla hajaondoka rasmi katika mji mkuu wetu wa dodoma.
Wito, kwa vijana ambao wameoa ni vyema kuwasindikiza saili wake zenu hasa wakija mikoa kama hii kufanya usaili, kwa ufupi vipiro vinapashwa kama kawaida
Mirinda nyeusi itahusika kukutoa marinda wewe endelea kula matunda ya watu na kujisifu hadharani.... Ujue wake za watu wangapi wamekuja kwenye huo usaili na wamo humu JF wewe endelea ujinga hadi kuweka evidence mlipokuwa ....... Yakikuta utakuja na thread NIKIVYOTOLEWA MARINDA NA MME WA MAMA E BAADA YA KUGUNGUA NILIMLA KIPINDA CHA USAILI PCCB.. 😀😀Baada ya jana kumpokea stendi kuu ya dodoma na kumlipia lodge, akanipa tunda maana tuna miaka miwili hatujaonana na huyu Mama E.
Asubuhi nikampeleka chuo cha dodoma kwenye usaili, mchana nikamfuata nikampeleka Malaika Annex kula kuku wa kuchoma baadae nikampeleka room kwake akapumzike kidogo.
Jioni hii nimemfuata, tuko nae hapa Royal tunapata moja mbili na nyamanyama za kutosha.
Kwa kuwa kesho anaondoka kurudi kwa mme wake mkoa X, basi usiku wa leo nitamshughulikia kama kawaida, hakika Mama E kanawiri na amekuwa na utelezi wa kutosha hivyo nitapiga piga vya kutosha kabla hajaondoka rasmi katika mji mkuu wetu wa dodoma.
Wito, kwa vijana ambao wameoa ni vyema kuwasindikiza saili wake zenu hasa wakija mikoa kama hii kufanya usaili, kwa ufupi vipiro vinapashwa kama kawaida.
Cha ngapi huko.....😁Kwa hiyo siku ukiliwa utamu wako na kijana uliyemzidi umri, hali yako ya ubibi itakoma. Acha kujiona mkamilifu ndio kwanza bado mbichi hujayajua mapenzi bado.
Shikamoo..kwema?Kwa hiyo siku ukiliwa utamu wako na kijana uliyemzidi umri, hali yako ya ubibi itakoma. Acha kujiona mkamilifu ndio kwanza bado mbichi hujayajua mapenzi bado.
Sasa kwanini na nyie mnavua chupi kiboya boya?Na wajukuu zako wanajiita wana babu kabisa?
Kuandika na kusimulia story Kama hizi Ni upuuzi tu na ulimbukeni piga shoo kaa kimya, haya Mambo wanafanya ma underground kwenye industryKawaida sanaa, That's life...
#YNWA
Povu lotee hili unanitolea Mimi, Kwani mi nahusika ??😳😳😳Kuandika na kusimulia story Kama hizi Ni upuuzi tu na ulimbukeni piga shoo kaa kimya, haya Mambo wanafanya ma underground kwenye industry
Kwani mama E nae katumwa kuvua chupi bana...Real men hula kimyakimya na hawaji kujisifia kiboya hivi. Sasa hapa si umemletea shida mama E, assuming mumewe yupo anasoma hizi tambo zako za kiboya?
Nashukuru wangu nilimpaki kwa shangazi yangu na amepokelewa na dogo toka stendi so hawezi fanya uhuni maana ana kiumbe kichanga 😅 kwa hili wamenikosa!Wanaume wametangaziwa msiba, kama nawaona watakavokuja kujiliza liza hapa 😁😁.....
Heaven Sent Habun amkeni mfariji wafiwa
Wajuba wakiamua watampata tu.... kwani shangazi atampeleka kwenye usaili?😁Nashukuru wangu nilimpaki kwa shangazi yangu na amepokelewa na dogo toka stendi so hawezi fanya uhuni maana ana kiumbe kichanga 😅 kwa hili wamenikosa!
Niwape pole wafiwa wote, alamsiki!
Hawawezi ana cctv camera kwenye ziwaWajuba wakiamua watampata tu.... kwani shangazi atampeleka kwenye usaili?😁