Usaili wa PCCB Dodoma umenikutanisha na Ex’s wangu kwa ufupi tu ukiona manyoya jua keshaliwa

Usaili wa PCCB Dodoma umenikutanisha na Ex’s wangu kwa ufupi tu ukiona manyoya jua keshaliwa

Baada ya jana kumpokea stendi kuu ya Dodoma na kumlipia lodge, akanipa tunda maana tuna miaka miwili hatujaonana na huyu Mama E.

Asubuhi nikampeleka chuo cha Dodoma kwenye usaili, mchana nikamfuata nikampeleka Malaika Annex kula kuku wa kuchoma baadae nikampeleka room kwake akapumzike kidogo.

Jioni hii nimemfuata, tuko nae hapa Royal tunapata moja mbili na nyamanyama za kutosha.

Kwa kuwa kesho anaondoka kurudi kwa mme wake mkoa X, basi usiku wa leo nitamshughulikia kama kawaida, hakika Mama E kanawiri na amekuwa na utelezi wa kutosha hivyo nitapiga piga vya kutosha kabla hajaondoka rasmi katika mji mkuu wetu wa Dodoma.

Wito, kwa vijana ambao wameoa ni vyema kuwasindikiza saili wake zenu hasa wakija mikoa kama hii kufanya usaili, kwa ufupi viporo vinapashwa kama kawaida.
Kugongewa si mpaka kuwe na usaili au safari ndefu ya nje ya mkoa...!!! Unagongewa hapo hapo huku upo karibu..!! Ni maamuzi tu ya mgongaji na mgongwaji..

Usikute wakati upo malaika na huyo mke wa mtu, huko ulikomuacha wako, wana nao wanachakata mbususu yake
 
Kwani huyu ni ? mtoa mada ni mzee au kijana?.
 
Peleka uvulana wako huko, kwa hiyo kufanya ngono ni jambo la kujisifu kweli? Tena kufanya na mke wa mtu ni jambo la kuja kututangazia? Yani dhambi ni ushujaa siku hizi?
 
Ipo siku mke wako atapigwa mbele na nyuma na X wake na utapata taarifa hiyo.
Naomba usisite kuja kuanzisha thread pia.
Karma exists.
 
Baada ya jana kumpokea stendi kuu ya Dodoma na kumlipia lodge, akanipa tunda maana tuna miaka miwili hatujaonana na huyu Mama E.

Asubuhi nikampeleka chuo cha Dodoma kwenye usaili, mchana nikamfuata nikampeleka Malaika Annex kula kuku wa kuchoma baadae nikampeleka room kwake akapumzike kidogo.

Jioni hii nimemfuata, tuko nae hapa Royal tunapata moja mbili na nyamanyama za kutosha.

Kwa kuwa kesho anaondoka kurudi kwa mme wake mkoa X, basi usiku wa leo nitamshughulikia kama kawaida, hakika Mama E kanawiri na amekuwa na utelezi wa kutosha hivyo nitapiga piga vya kutosha kabla hajaondoka rasmi katika mji mkuu wetu wa Dodoma.

Wito, kwa vijana ambao wameoa ni vyema kuwasindikiza saili wake zenu hasa wakija mikoa kama hii kufanya usaili, kwa ufupi viporo vinapashwa kama kawaida.
kijana wa hovyo umepiga utelezi kiulaini. anyway Malaika annex na Royal zipo good sana
 
Tunaanzia hapa Mungu hadhiakiwi apandacho mtu ndicho atakachovuna, fungua msaafu tupe kifungu
Tena msiba wa kinyaki kabisa. Tukae karibu na Biblia zetu, tutawasaidia kurefer maandiko
 
Kuna wanaume washapata makasiriko wakati sio mke wao[emoji23][emoji23]
 
Baada ya jana kumpokea stendi kuu ya Dodoma na kumlipia lodge, akanipa tunda maana tuna miaka miwili hatujaonana na huyu Mama E.

Asubuhi nikampeleka chuo cha Dodoma kwenye usaili, mchana nikamfuata nikampeleka Malaika Annex kula kuku wa kuchoma baadae nikampeleka room kwake akapumzike kidogo.

Jioni hii nimemfuata, tuko nae hapa Royal tunapata moja mbili na nyamanyama za kutosha.

Kwa kuwa kesho anaondoka kurudi kwa mme wake mkoa X, basi usiku wa leo nitamshughulikia kama kawaida, hakika Mama E kanawiri na amekuwa na utelezi wa kutosha hivyo nitapiga piga vya kutosha kabla hajaondoka rasmi katika mji mkuu wetu wa Dodoma.

Wito, kwa vijana ambao wameoa ni vyema kuwasindikiza saili wake zenu hasa wakija mikoa kama hii kufanya usaili, kwa ufupi viporo vinapashwa kama kawaida.
Hahaha
 
Back
Top Bottom